Stewart aipeleka Azam FC Afrika Kusini
Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall.
Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amewapa mapumziko ya mwezi mmoja nyota wa kikosi hicho, lakini habari nzuri kwa wachezaji hao ni juu…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments
Wabunge Simba, Yanga kurudiana Julai
Timu za Wabunge wa Simba na Yanga zikiimba wimbo wa taifa kabla ya mechi yao.
Na Lucy Mgina
TIMU ya Wabunge Wapenzi wa Simba inatarajiwa kupambana na ile ya Wabunge Wapenzi wa Yanga katika…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments
Mrisho Ngassa aikataa jezi ya Yanga SC
Ngassa kutambulishwa kwa mashabiki Juni 3
Mrisho Ngassa akitambulishwa kwa wanahabari.
Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam umepanga kumtambulisha rasmi kiungo wake mpya Mrisho Ngassa kwa mashabiki wa…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments
Micho kocha mpya Uganda
Kocha mpya wa timu ya Uganda, Milutin ‘Micho’ Sredojevic.
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Yanga, Milutin ‘Micho’ Sredojevic, jana alitarajiwa kutangazwa kama kocha mkuu wa timu ya Uganda, The Cranes.
Micho alitimuliwa kama kocha mkuu wa timu…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments
SIMBA YAMPANDISHA NGASSA MAHAKAMANI
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Simba umechukua uamuzi wa kumpandisha kizimbani kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa kutokana na uamuzi wake wa kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 3 Comments
Kiungo Coastal aziita Simba, Yanga
Na Hans Mloli
IMEFAHAMIKA kuwa kiungo wa timu ya Coastal Union, Suleiman Kassim ‘Selembe’, anataka kuchezea timu mbili tu za Tanzania Bara baada ya kuihama Coastal ambazo ni mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga SC na Wekundu wa Msimbazi, Simba SC.
Selembe alitoa kauli ya kuzitaka timu hizo mara baada ya Mwenyekiti wa Coastal, Ahmed Aurora, kumweka sokoni mchezaji huyo aliyewahi kuichezea timu ya Azam huku akiwa na mkataba wa mwaka mmoja zaidi na timu hiyo ya…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — No Comments
Hussein Javu ataka milioni 30, gari, nyumba atue Simba SC
Mwamuzi wa Simba, Yanga ailalamikia TFF
Na Joan Lema
MWAMUZI Martin Saanya wa Morogoro, amelilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwamba pamoja na kuumia, hakuna hata mmoja aliyemfuata kumjulia…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 2 Comments
Brandts atimka Yanga
Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts.
Na Khatimu Naheka
SIKU moja baada ya timu yake kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kishindo kwa kuwafunga watani wao Simba mabao 2-0, Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — No Comments
Milovan atupia neno mechi ya Simba v Yanga
Mtanzania kuzichapa na Mjapani
Na Richard Bukos
BINGWA wa ngumi Kanda ya Kusini, Adili Mwakyusa, anatarajia kuzichapa na Thom Kado kutoka Japan, katika pambano la raundi 8, uzito wa kati kwenye Ukumbi wa Tulubo mkoa mpya wa Njombe, Mei 26, mwaka huu.
Akizungumza na Championi Jumatano, mratibu wa pambano hilo, Omary Yazidu, amesema maandalizi yote ya mpambano huo wa raundi nane, yameshakamilika.
Yazidu amesema mpambano huo umeandaliwa kufuatia wawili hao kutambiana kwa muda mrefu.
Katika…

Shabani Kisiga azitega Simba, Yanga SC
Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Shabani Kisiga, amesema yupo tayari kurudi Simba au kusaini kuichezea Yanga kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kisiga ambaye msimu huu wa ligi aliichezea Mtibwa Sugar baada ya kupotea kwa muda mrefu, alikorofishana na kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime na kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo ni huru kutokana na mkataba wake kutarajiwa…

Usajili wavuruga mechi ya Simba, Yanga
Na Khatimu Naheka
PAMBANO la Simba na Yanga limechukua sura mpya baada ya klabu hizo sasa kutupiana mpira juu ya tuhuma za kuhujumiana katika usajili.
Mechi hiyo ya Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kupigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam lakini tayari timu zote zimeanza kulaumiana ambapo kila moja imedai kurubuni wachezaji wa timu pinzani kwa kigezo cha kuwasajili.
Taarifa ambazo Championi Jumatano limezipata zinasema Yanga ndiyo walikuwa…

Kamati Miss Tanzania yavamia Ustawi
Na Khatimu Naheka
ZIKIWA zimesalia siku mbili kabla ya kufanyika kwa Reds Miss Ustawi, Kamati Kuu ya Miss Tanzania imetembelea kambi ya walimbwende hao iliyopo maeneo ya Sinza- Mori, jijini Dar.
Kamati hiyo ambayo iliongozwa na Mwenyekiti wake,…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — No Comments
Arsenal yaishusha Wigan kwa kishindo, Manchester City yashinda
Ngassa asaini Yanga miaka 2
Na Saleh Ally
KIUNGO mwenye kasi, Mrisho Khalfan Ngassa, amerejea Yanga na kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea tena timu hiyo.
Ngassa alianza kupata umaarufu mkubwa akiwa na Yanga kabla ya kuondoka na kujiunga na Azam FC kwa kitita cha jumla ya Sh milioni 98 na kuweka rekodi mpya ya…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — 5 Comments
Kaseja aweka mkataba pembeni, aisubiri Yanga
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja.
Na Lucy Mgina
NAHODHA wa Simba, Juma Kaseja, amesema atazungumzia mustakabali wake dhidi ya timu yake hiyo mara baada ya mechi dhidi ya Yanga Mei 18, mwaka…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — 5 Comments
Messi: Simba imeninyima nafasi Coastal
Na Lucy Mgina
KINDA wa Coastal Union anayedaiwa kusaini Simba, Ibrahim Twaha ‘Messi’, amesema mpaka sasa hajui kama atashirikishwa kucheza katika mchezo wa mwisho baada ya viongozi wa timu hiyo kumchunia kutokana na kusaini Simba.
Katika mchezo uliopita dhidi ya Yanga, mshambuliaji huyo hakuchezeshwa baada ya viongozi wake kumnyima jezi kutokana na kujua kuwa kasaini Simba.
Akizungumza na Championi Jumatano, Messi alisema mpaka sasa hajui kitu chochote…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:30am — No Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
hope commented on GLOBAL's blog post NISHA AKOMA KUTANGAZA MCHUMBA’KE
hope commented on GLOBAL's blog post LULU AIBUA JIPYA
Mishy chunga commented on GLOBAL's blog post WAZAZI KUKWEPA MAJUKUMU YAO SABABU ZA WATOTO KUJIAJIRI JIJINI MBEYA
hope commented on GLOBAL's blog post JINI KABULA, ISABELLA ‘WAMTAPIKA’ JACK CHUZ
hope commented on GLOBAL's blog post SHULE ZA KATA ZAJIENDESHA KWA FEDHA ZA WALIMU WAKUU© 2013 Created by Global Publishers.



