All News Posts Tagged 'jumatano11' (1,522)

Stewart aipeleka Azam FC Afrika Kusini

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall.

Na Khatimu Naheka

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amewapa mapumziko ya mwezi mmoja nyota wa kikosi hicho, lakini habari nzuri kwa wachezaji hao ni juu…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments

Wabunge Simba, Yanga kurudiana Julai

Timu za Wabunge wa Simba na Yanga zikiimba wimbo wa taifa kabla ya mechi yao.

Na Lucy Mgina

TIMU ya Wabunge Wapenzi wa Simba inatarajiwa kupambana na ile ya Wabunge Wapenzi wa Yanga katika…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments

Mrisho Ngassa aikataa jezi ya Yanga SC

Mrisho Ngassa baada ya mechi ya Simba na Yanga.

Na Khatimu Naheka

BAADA ya kutua Yanga, kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa, amesema hataweza kung’ang’ania jezi zake za zamani na kwamba yupo tayari…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Ngassa kutambulishwa kwa mashabiki Juni 3

Mrisho Ngassa akitambulishwa kwa wanahabari.

Na Wilbert Molandi

UONGOZI wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam umepanga kumtambulisha rasmi kiungo wake mpya Mrisho Ngassa kwa mashabiki wa…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments

Micho kocha mpya Uganda

Kocha mpya wa timu ya Uganda, Milutin ‘Micho’ Sredojevic.

Na Mwandishi Wetu

KOCHA wa zamani wa Yanga, Milutin ‘Micho’ Sredojevic, jana alitarajiwa kutangazwa kama kocha mkuu wa timu ya Uganda, The Cranes.

Micho alitimuliwa kama kocha mkuu wa timu…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:30am — No Comments

Brandts akabidhi usajili Yanga SC

Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 1 Comment

SIMBA YAMPANDISHA NGASSA MAHAKAMANI

Na Mwandishi Wetu

UONGOZI wa Simba umechukua uamuzi wa kumpandisha kizimbani kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa kutokana na uamuzi wake wa kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 3 Comments

Kiungo Coastal aziita Simba, Yanga

Na Hans Mloli

IMEFAHAMIKA kuwa kiungo wa timu ya Coastal Union, Suleiman Kassim ‘Selembe’, anataka kuchezea timu mbili tu za Tanzania Bara baada ya kuihama Coastal ambazo ni mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga SC na Wekundu wa Msimbazi, Simba SC.

Selembe alitoa kauli ya kuzitaka timu hizo mara baada ya Mwenyekiti wa Coastal, Ahmed Aurora, kumweka sokoni mchezaji huyo aliyewahi kuichezea timu ya Azam huku akiwa na mkataba wa mwaka mmoja zaidi na timu hiyo ya…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — No Comments

Hussein Javu ataka milioni 30, gari, nyumba atue Simba SC

Hussein Javu akishangilia moja ya mabao aliyoifungia timu yake ya Mtibwa Sugar.

Na Khadija Mngwai

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Hussein Javu, ameishangaza Klabu ya Simba kwa kuiambia kuwa iwapo…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Mwamuzi wa Simba, Yanga ailalamikia TFF

Mwamuzi Martin Saanya.

Na Joan Lema

MWAMUZI Martin Saanya wa Morogoro, amelilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwamba pamoja na kuumia, hakuna hata mmoja aliyemfuata kumjulia…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am — 2 Comments

Brandts atimka Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts.

Na Khatimu Naheka

SIKU moja baada ya timu yake kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kishindo kwa kuwafunga watani wao Simba mabao 2-0, Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — No Comments

Milovan atupia neno mechi ya Simba v Yanga

Kocha wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic.

Na Saleh Ally

KOCHA wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic, ameamua kufungua mdomo wake kwa mara ya kwanza na kuizungumzia mechi ya watani, Yanga na Simba…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Mtanzania kuzichapa na Mjapani

Na Richard Bukos

BINGWA wa ngumi Kanda ya Kusini, Adili Mwakyusa, anatarajia kuzichapa na Thom Kado kutoka Japan, katika pambano la raundi 8, uzito wa kati kwenye Ukumbi wa Tulubo mkoa mpya wa Njombe, Mei 26, mwaka huu.

Akizungumza na Championi Jumatano, mratibu wa pambano hilo, Omary Yazidu, amesema maandalizi yote ya mpambano huo wa raundi nane, yameshakamilika.

Yazidu amesema mpambano huo umeandaliwa kufuatia wawili hao kutambiana kwa muda mrefu.

Katika…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Shabani Kisiga azitega Simba, Yanga SC

Na Wilbert Molandi

KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Shabani Kisiga, amesema yupo tayari kurudi Simba au kusaini kuichezea Yanga kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kisiga ambaye msimu huu wa ligi aliichezea Mtibwa Sugar baada ya kupotea kwa muda mrefu, alikorofishana na kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime na kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo ni huru kutokana na mkataba wake kutarajiwa…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Usajili wavuruga mechi ya Simba, Yanga

Na Khatimu Naheka

PAMBANO la Simba na Yanga limechukua sura mpya baada ya klabu hizo sasa kutupiana mpira juu ya tuhuma za kuhujumiana katika usajili.

Mechi hiyo ya Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kupigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam lakini tayari timu zote zimeanza kulaumiana ambapo kila moja imedai kurubuni wachezaji wa timu pinzani kwa kigezo cha kuwasajili.

Taarifa ambazo Championi Jumatano limezipata zinasema Yanga ndiyo walikuwa…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Kamati Miss Tanzania yavamia Ustawi

Hashim Lundenga.

Na Khatimu Naheka

ZIKIWA zimesalia siku mbili kabla ya kufanyika kwa Reds Miss Ustawi, Kamati Kuu ya Miss Tanzania imetembelea kambi ya walimbwende hao iliyopo maeneo ya Sinza- Mori, jijini Dar.

Kamati hiyo ambayo iliongozwa na Mwenyekiti wake,…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — No Comments

Arsenal yaishusha Wigan kwa kishindo, Manchester City yashinda

LONDON, England

USHINDI wa mabao 4-1 ilioupata Arsenal dhidi ya Wigan Athletic katika mechi ya Ligi Kuu ya England ‘Premier’, jana kwenye Uwanja wa Emirates, umeishusha daraja rasmi Wigan ambayo imeungana na QPR na Reading ambazo tayari zilikuwa zimeshashuka.

Mechi hiyo ambayo ilikuwa ya…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Ngassa asaini Yanga miaka 2

Na Saleh Ally

KIUNGO mwenye kasi, Mrisho Khalfan Ngassa, amerejea Yanga na kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea tena timu hiyo.

Ngassa alianza kupata umaarufu mkubwa akiwa na Yanga kabla ya kuondoka na kujiunga na Azam FC kwa kitita cha jumla ya Sh milioni 98 na kuweka rekodi mpya ya…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — 5 Comments

Kaseja aweka mkataba pembeni, aisubiri Yanga

Nahodha wa Simba, Juma Kaseja.

Na Lucy Mgina

NAHODHA wa Simba, Juma Kaseja, amesema atazungumzia mustakabali wake dhidi ya timu yake hiyo mara baada ya mechi dhidi ya Yanga Mei 18, mwaka…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 9:00am — 5 Comments

Messi: Simba imeninyima nafasi Coastal

Na Lucy Mgina

KINDA wa Coastal Union anayedaiwa kusaini Simba, Ibrahim Twaha ‘Messi’, amesema mpaka sasa hajui kama atashirikishwa kucheza katika mchezo wa mwisho baada ya viongozi wa timu hiyo kumchunia kutokana na kusaini Simba.

Katika mchezo uliopita dhidi ya Yanga, mshambuliaji huyo hakuchezeshwa baada ya viongozi wake kumnyima jezi kutokana na kujua kuwa kasaini Simba.

Akizungumza na Championi Jumatano, Messi alisema mpaka sasa hajui kitu chochote…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:30am — No Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

John Hatchett posted a status
9 seconds ago
bianca kingu liked GLOBAL's blog post KAMA UNATAKA FURAHA, FUATA MTINDO HUU WA MAISHA!
3 minutes ago
John Hatchett posted a status
5 minutes ago
John Hatchett posted a status
5 minutes ago
John Hatchett posted a status
5 minutes ago
bianca kingu liked GLOBAL's blog post Kuridhika ni tiba ya usaliti katika mapenzi
5 minutes ago
John Hatchett posted a status
5 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post NISHA AKOMA KUTANGAZA MCHUMBA’KE
"Muda si mrefu utatutangazia tena hapa hapa"
6 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post LULU AIBUA JIPYA
"Tulia wewe mtoto umeanza tena habari zako Lol"
6 minutes ago
Mishy chunga commented on GLOBAL's blog post WAZAZI KUKWEPA MAJUKUMU YAO SABABU ZA WATOTO KUJIAJIRI JIJINI MBEYA
"ukatili gani huu, hao waajiri kwanini wasichukuliwe hatua? wazazi wao wako wapi? kwanini wazazi…"
6 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post JINI KABULA, ISABELLA ‘WAMTAPIKA’ JACK CHUZ
"Mbona  nyie wote ni walewale au munapenda kuuza sura tu hapa"
6 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post SHULE ZA KATA ZAJIENDESHA KWA FEDHA ZA WALIMU WAKUU
"Mwandishi vipi mi nikajua walimu ndo wanaziendesha hizo shule kumbe ni michango ya wazazi?"
6 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service