All News Posts Tagged 'ijumaawikienda11' (1,039)

POLISI AMCHARANGA MAPANGA MWANAYE KISA MAPENZI

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

KATI ya stori za mwaka zinazosikitisha, hii ni mojawapo! Polisi mstaafu, mkazi wa Kitongoji cha Sango, Kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani hapa, Samson Bwire (54), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga binti yake, Devotha Gerald (4), kisa kikidaiwa…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:45am — 5 Comments

NISHA ADAIWA KUWATOSA WATOTO YATIMA

Na Chande Abdallah

MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 1 Comment

MSANII WA ZE COMEDY AFANYA UCHAFU ‘BICHI’

Na Mwandishi Wetu

MSANII memba wa Kundi la Ze Comedy linaloruka kupitia Runinga ya East Africa, Master Face amenaswa akifanya uchafu wa kushikana ‘kimalovee’ na msanii mwenzake aitwaye Happy ambaye alikuwa ametinga kivazi cha nusu utupu.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 7 Comments

KILICHOMPATA MADAM RITA KINASIKITISHA!

Na Imelda Mtema

KILICHOMPATA Madam Rita kinasikitisha! Ndivyo unavyoweza kusema ukibahatika kumuona the big boss wa Benchmark Production inayoratibu Shindano la Bongo Star Search, Rita Poulsen ‘Madam’ anayetembelea magongo baada ya kupata ajali mbaya ya gari.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 8 Comments

RAY: SIZALISHI FILAMU CHINI YA KIWANGO

Na Mwandishi Wetu

THE GREATEST, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema kutokana na vifaa vipya vya kuzalisha filamu alivyonunua hivi karibuni, kamwe hawezi kuzalisha filamu chini ya kiwango.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 1 Comment

LISA JENSEN ATUNDIKWA MIMBA BILA NDOA!

Na Musa Mateja

STAA mrembo wa Kibongo aliyewakilisha Tanzania kwenye Shindano la Miss World 2012, Lisa Jensen kwa sasa anaitwa mama kijacho baada ya kutundikwa mimba kabla ya ndoa.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 6 Comments

TUMEMUUA DK. MASSAU

Na Mwandishi Wetu

JIJI la Dar es Salaam bado linazizima kufuatia kifo cha aliyekuwa mwasisi wa Taasisi ya Moyo Tanzania (THI), Dk. Ferdinand Massau Magessa aliyefariki dunia, majira ya saa 12 jioni ya Mei 16, mwaka huu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kukutoa…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:00am — 10 Comments

JIDE KORTINI

Na Erick Evarist

HUKU sakata lake na Kituo cha Redio Clouds FM likiendelea kushika kasi, habari ya mjini ni kwamba inadaiwa mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ leo anatarajia kufikishwa Mahakama ya Kinondoni, Dar bila kutajwa aina ya mashitaka yanayomkabili.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 2 Comments

JOHARI: SIMTEGEMEI RAY

Na Mwandishi Wetu

MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa levo aliyofikia hivi sasa ni ya kuweza kusimama mwenyewe na anaweza kusimamia filamu pasipo mkurugenzi mwenzake wa Kampuni ya RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 3 Comments

WASANII WA KAOLE WAPATA AJALI

Na Gladness Mallya

WASANII wa Kundi la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ na Herry Mohamed ‘Niko’ wamepata ajali na kuumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi na kuacha njia.

Ajali hiyo ilitokea hivi karibuni maeneo ya Kiteto mkoani Manyara ambapo wasanii hao ambao ni…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 6 Comments

AUNT: NIMERUDI NA FURAHA SAUZI

Na Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya kutua Bongo akitokea Afrika Kusini ‘Sauzi’, mwigizaji Aunt Ezekiel ameweka bayana kuwa amekuwa na furaha baada ya kukutana na mumewe, Sunday Demonte.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 7 Comments

MAKUBWA! AISHA BUI ASAKA WA KUZAA NAYE

Na Hamida Hassan

KWELI haya ni makubwa! Baada ya kuadimika kwa muda mrefu, mwigizaji wa filamu za Kibongo, Aisha Bui ameibuka na kusema kuwa anatafuta mwanaume ambaye atamzalia mtoto na hatimaye waoane ila akadai wa kumuoa kwa sasa hamuoni.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:00am — 14 Comments

ALIYEFUMANIWA NA DENTI… FAINI DOLA 400

Issa Mnally na Richard Bukos

YULE mfanyabiashara ‘alwatani’ wa jijini Dar ambaye hivi karibuni alifumaniwa gesti akiwa na mwanafunzi wa kidato cha pili, huenda akapandishwa kizimbani siku yoyote, Ijumaa Wikienda limeinyaka.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:00am — 10 Comments

TUHUMA NZITO: WABUNGE BONGO WANAJICHUBUA!

Na Erick Evarist

KUMBE! Baadhi ya wabunge wa kike ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatumia vipodozi vinavyochubua ngozi ya juu ya mwili ili wawe na mwonekano mweupe (kama wazungu).…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:00am — 8 Comments

JACK ABANWA SKENDO, RUSHWA YA NGONO!

Na Gladness Mallya

AHADI ni deni na dawa ya deni ni kulipa! Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, wiki hii unapata fursa ya kumsikia msanii wa filamu za Kibongo ambaye ni mshiriki wa kipute cha Maisha Plus mwaka 2009, Jacqueline Dustan akijibu na kudadavua maswali mliyomuuliza. SHUKA NAYO…



NGUO…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 9:00am — 1 Comment

WOLPER ATUPIWA VITU NJE

Na Hamida Hassan

STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kutupiwa nje na baadaye kuzuiliwa vyombo vyake kwenye ile nyumba ya kifahari ya kupanga aliyokuwa akiishi Mbezi Beach, Dar es salaam.…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 8:30am — 11 Comments

SIRI NJE!

Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa

NYUMA ya habari ya mfanyabiashara tajiri wa Kariakoo jijini, Costa Shirima (47), anayedaiwa kujirusha kutoka ghorofa ya tisa katika Hoteli ya Concord iliyopo Kariakoo Mtaa wa Mchikichini, Dar es Salaam na kufariki dunia, kuna siri ambayo Ijumaa Wikienda…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 8:30am — 14 Comments

RAY ‘ASINGIZIWA’ MTOTO WA BATULI

Na Mwandishi Wetu

KATIKA hali ya kushangaza, mashabiki wameibuka na kumsingizia mtoto wa mwigizaji Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ kuwa ni wa Vincent Kigosi ‘Ray’.…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 8:30am — 11 Comments

BABU SEYA, PAPII KOCHA WAPATA PIGO LINGINE

Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’.

Na Imelda Mtema

MAMA mzazi wa mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ aitwaye…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 8:30am — 5 Comments

MACHOZI YA MWANAMKE HUYU… LAANA KWA JACK PENTZEL

Na Gladness Mallya

NAOMBA nikutambulishe kwa wasomaji wangu wewe Jacqueline Steven Pentzel. Wengi walikufahamu kwa jina la Jack Chuz kwa kuwa ulikuwa mpenzi wa mwigizaji ambaye ni Mkurugenzi wa Tuesday Entertainment, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’.…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 8:30am — 9 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

John Hatchett posted a status
1 minute ago
John Hatchett posted a status
1 minute ago
John Hatchett posted a status
1 minute ago
John Hatchett posted a status
1 minute ago
hope commented on GLOBAL's blog post Big skrini kuonyesha Fainali ya Uefa Dar Live
"kila la kheri watakoingia pale dar live"
2 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post Waarabu wampa mkataba Haruna Niyonzima
"shauri yako laza damu sasa bahati haziji mala mbili unafikilia nini"
2 minutes ago
Faridi Mohamed commented on GLOBAL's blog post HENYAHENYA!
"Polisi hawamfanyi kitu tapeli wamejaa tele matapeli wa kubadilisha  wakishirikiana na…"
2 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post Beki Mtibwa atua Simba kwa Sh 30m
"safi sana nawapongeza mumefanya jambo la maana sana kwa baba ubaya"
2 minutes ago
hope commented on GLOBAL's blog post Yaw Berko arudi Yanga SC, asaini mkataba mpya
"huyu naye aseme tu hana pakwenda kucheza"
2 minutes ago
BEN BENO commented on GLOBAL's blog post Queen of the Gorillas (Malkia wa Masokwe) - 113
"Duh! Patamu hapo."
2 minutes ago
BEN BENO commented on GLOBAL's blog post Kibadeni kuanza kuinoa Simba Mei 28
"Timua Timua mpaka lini simba? Mnali zalilisha soka letu."
2 minutes ago
verdiana moris commented on GLOBAL's blog post MUME WA MTU ANASWA NA DENTI
"Jamani! na hiyo kanga alikua nayo au alitumia ya mwenye nyumba??!!!!"
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service