All News Posts Tagged 'ijumaa11' (1,321)

ALIYEMFUMANIA MKEWE GESTI AGEUZIWA KIBAO!

Na Issa Mnally

LILE sakata la hivi karibuni la mwanaume aliyefahamika kwa jina la Baba Asha kudai kumfumania mshikaji wake aitwaye Beda Mloka mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam akiwa na mkewe gesti, lililoripotiwa na gazeti ndugu na hili la Risasi Mchanganyiko, limechukua sura mpya kufuatia…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 10:20am — 8 Comments

VUNJA MBAVU ZA WAZIRI MAGUFULI BUNGENI DODOMA

Na Mohammed Kuyunga

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli ndiye waziri namba moja hadi sasa kwa kulivunja mbavu Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma kutokana na vichekesho vyake wakati alipokuwa akijibu hoja za wabunge mbalimbali hivi karibuni.

Magufuli ambaye wengi humuita…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 4 Comments

DIAMOND ATOBOA KWA NINI KIWEMBE!

Na Sifael Paul

KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 14 Comments

DAVINA AMWANIKA MTOTO WAKE KWA MARA YA KWANZA

Na Hamida Hassan

MSANII wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ hivi karibuni amemuanika mtoto wake mtandaoni kwa mara ya kwanza baada ya kujifungua licha ya kuwepo madai kuwa, baba wa mtoto huyo hataki kusikia mwanaye ameuza nyago kwenye magazeti.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:00am — 3 Comments

HUSNA MAULID: SIJAMPA PENZI MWANA FA

Na Musa Mateja

MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:00am — 6 Comments

DIVA AIFUNGUKIA NDOA YAKE NA PREZZO

Na Hamida Hassan

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Redio,  Loveness Malinzi ‘Diva’ ameifungukia ndoa yake na staa wa muziki wa Kenya, Jackson  Makini ‘Prezzo’ kuwa haiko mbali kwani hatua waliyofikia ni nzuri.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:00am — 12 Comments

MAMA KANUMBA: CHONDECHONDE, KABURI LA MWANANGU LISIGEUZWE MTAJI

Kaburi la marehemu Steven Kanumba.

Na Gladness Mallya

BAADA ya siku za hivi karibuni kubainika kuwa baadhi ya vijana wanaolinda makaburi ya Kinondoni wamegeuza mtaji kaburi la aliyekuwa…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 8:00am — 3 Comments

KESI YA MADAWA YA KULEVYA MUME WA JACK PATRICK ARUDI URAIANI

Na Imelda Mtema

MUME wa mwanamitindo maarufu hapa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira ‘Tiff”, aliyekuwa jela ya Gereza la Keko jijini Dar alikokuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya madawa ya kulevya, amerudi uraiani baada ya kupata dhamana.…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 8:00am — 15 Comments

MAINDA, YEYE NA BIBLIA, BIBLIA NA YEYE

Na Hamida Hassan

MSANII wa filamu ambaye alikuwa Muislam na baadaye kuamua kuingia kwenye Ukristo na kuokoka, Ruth Suka ‘Mainda’ sasa anaonekana kupambana vilivyo kuhakikisha anaiboresha imani yake kwa kutembea na Biblia kila anakoenda.…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 8:00am — 15 Comments

KIBANO!

Richard Bukos na Dennis Mtima

WAREMBO watatu wanaodaiwa kuwa ni madenti wa chuo kikuu kimoja jijini Dar, waliojitambulisha kwa jina mojamoja, Rachel, Neema na Suzan, wamekumbana na balaa zito baada ya kupokea kibano cha kutosha, Ijumaa lina mkanda kamili.…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 7:30am — 15 Comments

RAY: WASANII TUNANYONYWA

Na Joseph Shaluwa

STAA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amelipuka na kudai kuwa wasanii wa filamu wa Tanzania wanakandamizwa sana na wasambazaji.…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 7:30am — 2 Comments

MAMA DIAMOND, PENNY WAFANYA SHEREHE

Penny akimlisha keki mkwewe mtarajiwa,…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 7:30am — 22 Comments

BOMU KANISANI, MATESO JUU YA MATESO

Mwandishi Wetu, Arusha

WATU saba miongoni mwa sabini waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu lililorushwa na dereva wa Bodaboda, Victor Ambrose (20) katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Olasiti jijini hapa hali zao ni mateso juu ya mateso, Ijumaa limebaini.…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 7:30am — 2 Comments

JACQUELINE WOLPER AIJUTIA HISTORIA YAKE YA MAPENZI

Na Imelda Mtema

DIVA wa kiwango cha juu cha filamu hapa Bongo, Jacqueline Wolper, ameonekana kujutia historia yake ya kimapenzi baada ya kufungukia kitendo cha yeye kumuanika kila aliyekuwa akimpenda kwamba kimemtibulia na sasa amejifunza kutokana na makosa.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 12 Comments

WEMA AJINUNULIA MASHINE YA ‘MASAJI’

Na Imelda Mtema

BEAUTIFUL Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu amejinunulia mtambo wa kufanyia masaji kwa lengo la kuondoa uchovu anaporejea nyumbani kwake akiwa amechoka.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 12 Comments

GARDNER: NINGEKUWA SIJAOA NINGEMUOA VANESA MDEE

Na Mwandishi Wetu

MUME wa Legend wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jadee’, Gardner G Habash ‘Kapteini’ aliwaacha watu midomo wazi baada ya kusema kama angekuwa hajaoa, basi angemuoa msanii anayekuja kwa kasi kwenye gemu, Vanessa Mdee.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 26 Comments

WOSIA KIFO CHA JIDE

Na Mwandishi Wetu

TAKRIBAN mwaka mmoja tangu alipoeleza aina ya jeneza atakalotaka azikwe siku akifa, mwanamuziki  Judith Wambura 'Jide' au 'Anaconda'  ameibua jingine jipya, safari hii ameandika wosia wa kifo chake, Ijumaa lina uchambuzi kamili.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 28 Comments

MCHUMBA WA MTU ATUPWA JELA KWA KUJIUZA!

Na Richard Bukos

MREMBO Brandina Barthon (24), Jumatatu iliyopita alihukumiwa kwenda jela miezi 6 baada ya kupatikana na hatia kwenye kesi ya ukahaba iliyokuwa ikimkabili katika Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji) jijini Dar.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 29 Comments

LINEX AKATAA KUFUNGA NDOA KWA FASHENI

Na Gladness Mallya

KUTOKANA na ndoa za mastaa wengi kuvunjika, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu ‘Linex’ amefunguka kuwa japokuwa ana mchumba hayupo tayari kuoa kwa fasheni kwa kumuiga mtu f’lani kwani anaogopa kuharibu dira nzima ya maisha yake.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 3 Comments

WAKATI MWINGINE WANAWAKE HUKOSEA BILA KUJUA!

KILA aliye kwenye uhusiano ana ndoto zake; wapo ambao wapo kwa ajili ya kupoteza muda, wengine wakiwa na nia ya kudumu na wenzi wao wakitegemea siku moja kufunga ndoa. Hawa ndiyo ninaozungumza nao katika mada hii.…

Added by GLOBAL on April 26, 2013 at 12:49pm — 2 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service