All News Posts Tagged 'championi11' (1,652)

Kisa Ngassa kusaini Yanga, Liewig awa mbogo kambini

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Liewig.

Na Khatimu Naheka

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Liewig amekuwa mbogo kutokana na taarifa za kiungo wake mshambuliaji, Mrisho Ngassa kusaini Yanga, lakini…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:30am — 2 Comments

Minziro: Simba si watoto, wamekomaa wale!

Kocha Msaidizi wa Yanga, Fred Minziro.

Na Hans Mloli

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Fred Minziro ameuliza kwa mshangao juu ya nani anayedai Simba inaundwa na wachezaji watoto, ambapo amesisitiza kuwa…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:30am — 2 Comments

Sure Boy: Siondoki Azam ng'o

Salum Abubakari ‘Sure Boy’ akiwa na John Bocco 'JB'.

Na Wilbert Molandi

NAHODHA na kiungo wa Azam FC, Salum Abubakari ‘Sure Boy’ amesema hafikirii kuihama timu hiyo.

Sure Boy anawaniwa vikali…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Yanga: Tutamtambulisha Ngassa baada ya mechi ya Simba

Na Khatimu Naheka

SIKU chache baada ya kuelezwa kuwa Yanga imeshamsainisha Mrisho Ngassa wa Simba, klabu hiyo ya Jangwani imeelezwa kuwa inafanya mpango wa kumtambulisha mara baada ya mechi ya kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Mmoja wa mabosi wazito wa Yanga, ameliambia Championi Ijumaa…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 3 Comments

Kim aongezewa miaka miwili, amuita Barthez

Na Khatimu Naheka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemuongezea mkataba wa miaka miwili Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen.

Angetile Osiah ambaye ni Katibu Mkuu wa TFF amesema shirikisho limemuongezea Kim ajira kutokana na kuvutiwa na mafanikio aliyoyapata kikosini hapo.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 2 Comments

Manji ndani Taifa, Malkia azuiwa Oman

Waandishi Wetu, Dar, Muscat

HOMA ya jiji ni mechi ya keshokutwa, Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ambaye ni nadra kutokea uwanjani, amesema atakuwepo Uwanja wa Taifa jijini hapa.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 6 Comments

Barua ya Simba kupinga mwamuzi yapotea TFF

Na Khatimu Naheka

BARUA iliyoandikwa na Simba kuelekea ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuhusu kuhoji juu ya kubadilishwa kwa mwamuzi wa mchezo wao wa kesho dhidi ya Yanga, haionekani ndani ya shirikisho hilo.

Awali Simba waliliambia Championi Ijumaa kuwa, waliiandikia barua TFF juzi…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Wazenji: Mazoezi ya Yanga mepesii!

Na Abdi Suleiman, Pemba

KITENDO cha Yanga kufanya mazoezi ya kawaida kimewashangaza mashabiki wa soka kisiwani Pemba ambao wametamka: “Mazoezi yenyewe mbona ya kawaida tu!”

Yanga ilikuwa imeweka kambi kisiwani hapa na kufanya mazoezi katika Uwanja wa Gombani kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba itakayopigwa kesho jijini Dar.

Wakizungumza na gazeti hili, mashabiki waliofika uwanjani hapo jana walisema walitegemea kuona mazoezi ya nguvu.

“Mazoezi…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Refa wa kesho ni askari magereza, alonga na Championi

Na Daudi Julian, Morogoro

MWAMUZI Martin Saanya wa Morogoro atakayechezesha pambano la Simba na Yanga, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ikiwa ni mechi ya mwisho ya Ligi Kuu Bara, ameahidi kufuata sheria zote 17 za soka.

Akizungumza na Championi Ijumaa katika mahojiano…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 1 Comment

MAJANGA!

Na Waandishi Wetu

SIMBA na Yanga zitaumana kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Saalam, timu itakayopoteza mchezo huo itakuwa na huzuni kubwa, neno moja tu litafaa kwa watakaotoka vichwa chini, nalo ni ‘majanga’.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 9:00am — 4 Comments

Nyosso agoma kwenda Taifa kuziona Simba, Yanga

Juma Nyosso.

Na Lucy Mgina

BEKI wa Simba, Juma Nyosso amesema Yanga haina ubavu wa kuifunga Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara kesho kwenye Uwanja wa Taifa, lakini akasisitiza kuwa hana mpango wa kwenda…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 2 Comments

Emmanuel Gabriel: Kagera haitoki kesho

Emmanuel Gabriel.

Na Khadija Mngwai

MSHAMBULIAJI wa Tanzania Prisons, Emmanuel Gabriel, amesema wamejipanga kuhakikisha wanafanikiwa kushinda mechi yao ya mwisho dhidi ya Kagera Sugar ili waweze kujitengenezea heshima.

Akizungumza na…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 1 Comment

Straika aliyetua Simba anyimwa jezi

Na Wilbert Molandi

KINDA mshambuliaji Ibrahim Twaha, maarufu kama Messi, amejikuta katika wakati mgumu baada ya uongozi wa Coastal Union kumnyima jezi wakati timu yake ilipoivaa Yanga.

Hali ya kunyimwa jezi ilitokana na uongozi wa Coastal Union kupata taarifa za uhakika kwamba kinda huyo…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 2 Comments

Presha Simba v Yanga, kondoo afukiwa ufukweni

Na Khadija Mngwai

SIKU chache kabla ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa mnamo Mei 18, mwaka huu, wadau wa moja ya klabu hizo wamenaswa wakimfukia kondoo kwenye ufukwe wa bahari, ikiaminika kuwa ni sehemu ya kujiandaa kwa ajili ya mpambano huo.

Tukio hilo lilitokea kwenye Ufukwe wa Bamba…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 4 Comments

Kapombe ampa tuzo Samatta

Shomari Kapombe.

Na Hans Mloli

MCHEZAJI kiraka wa Simba SC, Shomari Kapombe amedai kuwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka kwa Wanaume, inastahili kwenda kwa straika wa TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Sure Boy ajitoa tuzo Taswa

Na Hans Mloli

KIUNGO wa Azam FC, Aboubakar Salum ‘Sure Boy’ amefunguka wazi na kusema kuwa hafikirii juu ya kushinda tuzo zilizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa).

Hatua ya mchezaji huyo kusema maneno hayo inakuja baada ya chama hicho kutangaza kutoa tuzo za wanamichezo bora wa mwaka 2012/2013 ambapo Sure Boy anawania katika kipengele cha Mchezaji Bora Chipukizi.

Akizungumza na Championi Ijumaa, Sure Boy alisema hana haja ya…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Daktari Mkuu ajiondoa Simba

Na Khatimu Naheka

KLABU ya Simba imepata taarifa mbaya mwishoni mwa msimu huu, baada ya daktari wao mkuu, Cosmas Kapinga kuandika barua rasmi ya kuachia ngazi.

Awali, daktari huyo ambaye ni mwajiriwa wa serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, alikiacha kikosi hicho miezi michache iliyopita baada ya kutakiwa kwenda kwenye majukumu mkoani Lindi.

Taarifa ambazo Championi Ijumaa ilizipata jana jioni, zilisema kuwa daktari huyo aliutaarifu uongozi wa klabu…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Simba yalikimbia jiji, yatua Zanzibar

Na Khatimu Naheka

KIKOSI cha Simba kimewazidi kete watani wao, Yanga, baada ya kutamka kwamba wanatua visiwani Zanzibar tayari kwa maandalizi ya mchezo wao wa Mei 18.

Akizungumza na Championi Ijumaa, Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang’are, maarufu kama Mzee Kinesi, alisema kufuatia…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Brandts amfuata Liewig Taifa, apigwa chenga

Kocha wa Yanga, Ernie Brandts.

Khatimu Naheka na Wilbert Molandi

KOCHA wa Yanga, Ernie Brandts, juzi alifika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, lengo likiwa ni kuishuhudia Simba kabla ya kupambana…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Barthez atoa neno kuhusu Taifa Stars B

Ally Mustapha ‘Barthez’.

Na Joan Lema

KIPA namba moja wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, amesema uwepo wake kwenye kikosi cha pili cha Taifa Stars ni changamoto kubwa kwake.

Inaelezwa…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service