All News Posts Tagged 'amani11' (1,188)

NISHA AKOMA KUTANGAZA MCHUMBA’KE

Na Gladness Mallya

MWANADADA anayesukuma laifu lake kwa uigizaji Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ametoa kali ya mwaka baada ya kukiri kuwa na mchumba lakini anaogopa kumuanika hadharani  akihofia kuibiwa kama ilivyomtokea awali.…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:30am — No Comments

JINI KABULA, ISABELLA ‘WAMTAPIKA’ JACK CHUZ

Na Gladness Mallya

MASTAA wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabella Mpanda ‘wamemtapika’ mwenzao, Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’ katika kundi lao.…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

DUDE AKIRI KUBADILISHWA TABIA NA UMRI

Kulwa Kikumba ‘Dude’.

Na Gladness Mallya

MSANII wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kwamba kutokana na umri wake mkubwa na kuwa na mtoto, kumemfanya kubadili tabia yake ya zamani na…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

LULU AIBUA JIPYA

Na Musa Mateja

NYOTA wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, ameibua jipya ambapo kwa sasa habari ya mjini ni kwamba ana bwana mpya aliyetajwa kwa jina moja la Junior, Amani limezinasa habari hizo.…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

INAUMA JAMANI

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

YULE mtoto wa miaka minne, Devotha Gerald aliyecharangwa mapanga kikatili na baba yake mzazi na kukimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga kwa matibabu, ameaga dunia.…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

MCHUNGAJI ALITAKA PENZI BILA KINGA MWANDISHI WETU, MOSHI

Na Mwandishi Wetu, Moshi

KESI ya kutorosha wanafunzi inayomkabili Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (TAG), Jean Felix Bamana, Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jumatatu wiki hii ilianza kurindima katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Kilimanjaro huku upande wa…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

JINA LA SUGU LAMTATIZA SPIKA WA BUNGE, LAPIGWA STOP

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’.

Na Mwandishi Wetu

KATIKA hali iliyoonesha sintofahamu, jina la utani la Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chadema, Mhe. Joseph…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — No Comments

KIZAAZAA SHULENI

Gladness Mallya na Imelda Mtema

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Manzese iliyopo Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam wamezua taharuki kwa wakazi wa eneo la Manzese Uzuri kufuatia baadhi yao kuanguka hovyo, kupiga kelele na kupoteza fahamu huku uchawi ukitajwa kuwa chanzo, Amani lilikuwepo…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:00am — 4 Comments

USTADHI MBARONI KWA ULAWITI

Na Gladness Mallya

USTADHI aliyetajwa kwa jina moja la Ahmad (38) anayefundisha Chuo cha Tawfiq kilichopo Kinondoni B, Dar ambaye pia ni mfanyabiashara, anashikiliwa na polisi kwa madai ya kuwalawiti watoto watatu ambao ni wanafunzi wa Shule ya Msingi Msisiri.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:00am — 19 Comments

DEMU AMFANYIA TIMBWILI HEMED

Na Erick Evarist

STAA mwenye swaga za kupitiliza Bongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ amepatwa na masaibu ya kutaka kushushiwa kipondo hevi na demu ambaye jina lake halikupatikana mara moja baada ya kumpulizia pafyumu bila ridhaa yake.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:00am — 10 Comments

UKAHABA WALIGUSA BUNGE

Na Mwandishi Wetu

BIASHARA ya ukahaba imeligusa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani Jumanne iliyopita takribani dakika nane zilitumika kuijadili inavyoshamiri na namna ya kuitokomeza.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 6 Comments

CHAZ BABA AMVISHA PETE MCHUMBA’KE JUKWAANI

Na Musa Mateja

PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba,’ juzikati aliendeleza harakati za maandalizi ya ndoa kwa mashabiki wake baada ya kumvisha pete jukwaani mchumba’ke, Rehema Sospeter.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 8 Comments

MASOGANGE: SIKWENDA AFRIKA KUSINI KUJIUZA

Na Mwandishi Wetu

VIDEO Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ ameibuka na kusema kuwa hakwenda Afrika ya Kusini ‘Sauz’ kujiuza kama baadhi ya watu walivyompakazia.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 14 Comments

MABAKI YA MWANAMKE YAKUTWA JIRANI NA MAGEREZA

Na Francis Godwin, Iringa

MABAKI ya mwili  wa mwanamke  anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa  eneo la Magereza, Kata  ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya  Iringa.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 9 Comments

BABY CANDY AELEZA ISHU YA KUWEHUKA

Na Hamida Hassan

VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Mimah Mohammed  ‘Baby Candy’ ameibuka na kueleza namna ambavyo aliugua malaria kali hadi kudaiwa kuwa amerogwa na shosti wake, Jacqueline Pentzel.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:00am — 8 Comments

AUNTY LULU APIGWA STOP KUTEMBEA NA ‘KUKU WATAMU’

Na Gladness Mallya

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amepigwa ‘stop’ kutembea na marafiki wanaodaiwa kuwa ni wanaume wenye vitendo vya kike ‘Kuku Watamu’.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:00am — 5 Comments

KAJALA AAHIDI KUPIGA MZIGO MKALI

Na Imelda Mtema

BAADA ya kurejea uraiani, mwigizaji, Kajala Masanja amesema anawashukuru wote waliomuombea hadi akachomoka kwenye mikono ya sheria na kuahidi mashabiki kuwa zawadi yao itakuwa ni kuzalisha kazi bora.…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:34am — 8 Comments

ALIYEMKAMATA MLIPUA BOMU KANISANI ANENA MAZITO

Na Mwandishi Wetu

ALIYEMKIMBIZA hadi kumkamata mtu anayedaiwa kuhusika na kulipua bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, jijini Arusha Jumapili iliyopita na kuua watu 3 na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa ameibuka.…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:12am — 30 Comments

WEMA SEPETU AMUANIKA BABA YEKE

Na Mwandishi Wetu

KWA mara ya kwanza Beautiful Onyinye, Wema Sepetu amemuanika baba yake mzazi katika mtandao wa Instagram.

Zilipendwa huyo wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ aliiposti picha hiyo juzikati ikimuonesha akiwa na rafiki yake wa karibu, Pettman pamoja na mzee Abraham Sepetu ambapo wadau kibao…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:00am — 12 Comments

DEREVA AZIMIKA BARABARANI

Na Gladness Mallya

MWANAUME mmoja aliyetambulika kwa jina la Joseph Mwaleni anayedaiwa kuwa ni dereva wa kituo kimoja cha redio Bongo (jina tunalihifadhi), alikutwa amezimika ghafla na kuuchapa uzingizi barabarani akiwa kwenye gari lake.…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:00am — 11 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Laurie Durden posted a status
7 minutes ago
Laurie Durden posted a status
8 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
14 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
14 minutes ago
GLOBAL's 12 blog posts were featured
14 minutes ago
GLOBAL posted blog posts
14 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
""
19 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
19 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
19 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
19 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
19 minutes ago
Jeremy Wilke posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
19 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service