WAFANYAKAZI WA AIRTEL TANZANIA WATUNUKIWA TUNZO BAADA YA KUHITIMU MAFUNZO YA MAUZO
OGUN FIRST LADY COMMENDS AIRTEL FOR UPLIFTING PRIMARY EDUCATION
Chief Executive Officer and Managing Director, Airtel Nigeria, Segun Ogunsanya; First Lady of Ogun State, Mrs. Olufunso Amosun; Chairman, Ijebu North Local Government Area, Otunba Olaide Osifeso and Sopen Lukele, Oke-Sopen, Oba M. A…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:41pm — No Comments
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MAALUMU KWA WATEJA WAKE IJULIKANAYO KAMA AIRTEL PREMIUM
Mkurugenzi mkuu wa Airtel Sunil Colaso akimzawadia, bi Rose Maina mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 3:00pm — No Comments
FUNDI UASHI AIBUKA MSHINDI WA MAMILIONI YA AIRTEL
Mshindi wa shilingi milioni 15 wa promosheni ya Amka Milionea, Juma Ibrahim Hamza, ambaye ni fundi uashi akilia kwa furaha na kushindwa kuongea mara baada ya kutangazwa mshindi wa shilingi milioni 15 kupitia promosheni ya Amka Millionea.…

Added by GLOBAL on May 8, 2013 at 1:40pm — No Comments
WASANII WA KIZAZI KIPYA WANG'ARISHA TAMASHA LA AIRTEL YATOSHA MBAGALA
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI TANGA
Meneja Mauzo wa Airtel mikoa ya Tanga na Kilimanjaro, Bw. Edmund Lasway (kushoto) akikabidhi baadhi ya vitabu vya sekondari kwa afisa elimu wa wilaya ya Korogwe, Bw. Shaaban Shemzighwa (katikati) ikiwa ni msaada ulitolewa kuchangia elimu toka…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 12:00pm — No Comments
Airtel yatangaza mshindi wa million 50 wa promosheni ya Amka millionea
Mwandishi wa Clouds TV Austin Bayadi ( wakwanza kushoto) akibonyesha kitufe cha komputa wakati wa droo kubwa ya mwisho ya kumtafuta mshindi wa shilingi million 50 wa promosheni ya Amka millionea ambapo bwana Layakal Akbar Thawer mkazi wa Dar es salaam aliibuka mshindi wa…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 2:39pm — No Comments
TAMASHA LA AIRTEL YATOSHA KUFANYIKA TEMEKE MWISHONI MWA WIKI HII
Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya Hip Hop, Nay Wamitego akitumbuiza katika moja ya matamasha ya Airtel Yatosha.…

Added by GLOBAL on May 2, 2013 at 1:02pm — No Comments
WASANII BONGO FLEVA WAFUNIKA KAMPENI YA AIRTEL YATOSHA JIJINI MWANZA
Added by GLOBAL on April 29, 2013 at 1:00pm — No Comments
Airtel Money Yaendeleza udhamini wake katika semina ya wapiga picha wa vyombo 15 vya habari nchini
Airtel na Nokia wazindua Offer Kabambe ya Nokia Lumia 620
Meneja Biashara wa Nokia Nchini Tanzania Samson Majwala( kushoto) akimkabidhi simu ya Nokia Lumia 620 BatuliChombo mwandishi wa habari wa Sikuba kwenye bahati nasibu wakati wa uzinduzi wa Simu hiyo kwa ushirikiano katiya Airtel na Nokia …

Added by GLOBAL on April 16, 2013 at 11:00am — 5 Comments
SIMU AINA YA NOKIA LUMIA 620 YATUA ‘BONGO’
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) na Meneja wa Nokia Tanzania, Samson Majwala, wakionesha aina ya simu hiyo.…

Added by GLOBAL on April 15, 2013 at 3:30pm — 4 Comments
TAMASHA LA UZINDUZI WA AIRTEL YATOSHA LAFUNIKA CHALINZE MKOANI PWANI
Mmoja wa wasanii chipukizi kutoka Chalinze aliyetambulika kwa jina la Jane akiwarusha wakazi wa mji wa Chalinze mwishoni mwa wiki, wakati wa tamasha la uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Yatosha, lililofanyika mkoa wa Pwani kwa muda wa siku mbili (Jumamosi &…

Added by GLOBAL on April 15, 2013 at 1:30pm — 3 Comments
TAMASHA LA AIRTEL YATOSHA KUAMIA CHALINZE SIKU YA KESHO JUMAMOSI NA JUMAPILI
Tamasha la Airtel Yatosha lenye lengo la kutoa elimu juu ya huduma mbalimbali za Airtel ikiwemo huduma mpya ya Airtel Yatosha linalofanyika katika mikoa…

Added by GLOBAL on April 12, 2013 at 4:38pm — No Comments
FID Q, NEY WAMITEGO WAFUNIKA TAMASHA LA AIRTEL YATOSHA COCO BEACH
Msanii wa kizazi kipya, Faridi Kubanda maarufu kama Fid Q, akitumbuiza wakati wa tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach mwishoni mwa wiki.
Msanii maarufu wa kizazi kipya, Sir. Juma Nature, akimwaga burudani katika tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa…

AIRTEL RISING STARS AWAMU YA TATU KUANZA MWISHONI MWA MWEZI HUU
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayofanya kazi pamoja na kampuni ya Samsung zimesaini makubaliano ya kushirikiana kudhamini mashindano makubwa Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 17. Katika mkataba huo wa mamilioni ya dola, Samsung pia itakuwa mtoaji rasmi wa vifaa vya mawasiliano kwenye mpango huo wa mashindano maarufu kama Airtel Raising Star…

Added by GLOBAL on April 4, 2013 at 12:21pm — No Comments
AIRTEL NAMED MOST SOCIALLY RESPONSIBLE COMPANY IN NIGER
AIRTEL YATOSHA YAENDA MIKOANI
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel, Bwana Sunil Colaso, akibandika moja ya kipeperushi cha Airtel Yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao…

Added by GLOBAL on March 26, 2013 at 11:43am — 2 Comments
AIRTEL YAZINDUA GHARAMA NAFUU ZA KUPIGA SIMU MITANDAO MINGINE
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel, Bwana Sunil Colaso, akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma ya Airtel Yatosha inayomwezesha mteja wa Airtel kupata dakika za muda wa maongezi, sms na kifurushi cha internet.…

Added by GLOBAL on March 21, 2013 at 10:30am — 5 Comments
IT'S TOTO DAY NDANI YA MBALAMWEZI BEACH J'MOSI HII
Added by GLOBAL on March 19, 2013 at 11:00am — 3 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
hope |
| 5 |
julius manning |
| 6 |
mayalilwa |
| 7 |
Tatu Majaliwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for raymond paul
macksi fire posted a status
tina babi left a comment for franco war
tina babi left a comment for steven p opiyo
tina babi left a comment for noel ben
tina babi left a comment for Stanslaus
GLOBAL posted a blog post
tina babi left a comment for Jackson Mwassa
tina babi left a comment for Tariq Suleiman
tina babi left a comment for Humphrey Mngashwa
tina babi left a comment for Michael Kimaro
tina babi left a comment for alpha gibaso© 2013 Created by Global Publishers.



