USIKU WA HIP HOP & THE VODACOM MIC KING KURINDIMA DAR LIVE BAADAYE
Ni usiku wa Hip Hop na The Vodacom Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live leo Mei 25, 2013. Mkali wa MIC kuondoka na gari lake jipya aina ya Toyota Funcargo (New Model). Show hii si ya kukosa!
Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm — No Comments
MAMBO YATAKAVYOKUWA KATIKA USIKU WA HIP HOP NA THE VODACOM MIC KING BAADAYE
Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:35am — No Comments
MBIO ZA HISANI ZA MBUZI 2013 ZAKARIBIA
Mwenyekiti wa Mbio za Mbuzi za Hisani Dar es Salaam, Karen Stanley (katikati) akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya mbio hizo zinazotarajiwa kutimua mbuzi jijini humo Juni 1 mwaka huu katika Viwanja vya The Green, Barabara ya Kenyatta…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:30am — No Comments
DAKTARI ADAIWA KUJINYONGA KWA SHUKA GESTI
DAKTARI wa meno wa Hospitali ya Wilaya ya Morogoro, Alnord Limo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40, amekutwa amefariki dunia kwenye chumba cha gesti huku habari zikidai alijinyonga kwa shuka.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:30am — No Comments
MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-7
WIKI iliyopita tulijifunza mambo kadhaa juu ya namna ambavyo ulimi unaweza kuwa sumu kubwa katika uhusiano wako. Leo tunaendelea pale tulipoishia.

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:47am — No Comments
JACK DUSTAN APATA AJALI YA GARI
Na Imelda Mtema
MREMBO aliyepata umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus Season II, Jacqueline Dustan ‘Jack’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro na kupata majeraha usoni na mguuni.
Akizungumza na Exclusive Star, Jack alisema Jumanne iliyopita walikuwa kwenye teksi…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:52am — No Comments
RAMA MLA WATU, MAMA YAKE WAACHIWA NA MAHAKAMA
Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:00pm — 3 Comments
Big skrini kuonyesha Fainali ya Uefa Dar Live
Na Mwandishi Wetu
MASHABIKI wa soka watakaoingia kwenye Ukumbi wa Dar Live kwenye shoo ya wakali wa Hip Hop, kesho Jumamosi, watapata nafasi ya kushuhudia mechi ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye ‘skrini’ kubwa.
Mbali na kutazama mechi hiyo kati ya Bayern Munich na Borussia Dortmund…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 9:00am — 2 Comments
MUME WA MTU ANASWA NA DENTI
Na Issa Mnally
INAUMA sana! Wakati wazazi wakihenyeka na wakati mwingine kujinyima ili mabinti zao waweze kupata elimu bora itakayowasaidia maishani mwao wapo wapuuzi wanaokatisha jitihada hizo.…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:00am — 13 Comments
HENYAHENYA!
Na Issa Mnally
KWA muda mrefu Ijumaa limekuwa likipokea malalamiko kuhusu uwepo wa jamaa anayedaiwa ni tapeli maarufu Dar kisha kuingia mzigoni na kumnasa ‘laivu’ ambapo alihenyeshwa kwa kibano cha karne na raia waliokuwa na hasira.…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:00am — 8 Comments
WOLPER, BABY MADAHA BIFU LA KIFO!
Na Gladness Mallya
SIKU chache baada ya wasanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper na Baby Madaha kuingia kwenye mzozo wa kugombea nyumba moja ya kupanga ambayo wote waliilipia kodi kwa nyakati tofauti, bifu zito linalotajwa kuwa ni la kifo limeibuka.…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:30am — 10 Comments
FLORA, H- BABA NDOA SASA NI JUNE 8
Na Gladness Mallya
WALE wasanii wawili waliodumu kwenye uchumba kwa muda mrefu, Ramadhan Baba ‘H.Baba’ na Flora Mvungi wameamua kuvunja ukimya na kutangaza rasmi kuwa wanatarajia kufunga ndoa Juni 8, mwaka huu.…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:30am — 8 Comments
Beki Mtibwa atua Simba kwa Sh 30m
Na Wilbert Molandi
KLABU ya Simba imefanikiwa kumsajili beki wa pembeni wa Mtibwa Sugar, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ kwa dau la shilingi milioni 30.
Klabu hiyo imekuwa ikiwania kwa muda mrefu saini ya beki huyo mwenye kasi kwa ajili ya kuziba pengo la Amir Maftah ambaye Mei 18, mwaka huu amemaliza…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:30am — 3 Comments
MISS GEITA 2013 KUFANYIKA JUNI MOSI MWAKA HUU
Baadhi ya warembo waliokutwa katika mazoezi ya kushiriki taji la Miss Geita 2013.
Na Salum Maige, Geita
24. 05. 2013
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mrembo wa kwanza wa mkoa…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 7:22pm — 2 Comments
BREAKING NEWS: AMRI KIEMBA NAYE AJIUNGA NA YANGA
Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 5:30pm — 3 Comments
NAPE AWASILI MJINI BERLIN, UJERUMANI
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




