YANGA YAIGONGA SIMBA 2-0, YATWAA KOMBE LA VPL
NYUMBANI KWA MAREHEMU DK MASAU LEO
Pichani ni baadhi ya waombolezaji waliokutwa na mtandao huu nyumbani kwa marehemu Dk. Masau, Mbweni Kwajumbe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Imeelezwa kuwa Dk. Masau anatarajiwa kuugwa kesho katika Hospitali ya Aghakan saa 5:00 asubuhi.…

Added by Global Publishers on May 18, 2013 at 4:50pm — No Comments
DR. FERDINAND MASAU WA TANZANIA HEART INSTITUE AFARIKI DUNIA
Taarifa zilizotufikia zinasema muasisi wa hospitali ya moyo ya Tanzania Heart Institue Dr. Ferdinand Masau amefariki dunia usiku wa kuamkia leo hata hivyo bado tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi juu ya msiba huo mkubwa kwa taifa kutokana na umuhimu wa Marehemu Dr. Ferdinand Masau, Tutawaletea…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:47pm — 3 Comments
UZINDUZI WA WIKI YA FISTULA ULIVYOFANA BUKOBA
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Zaipora Pangani akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa wiki ya maadhimisho ya wiki ya fistula leo mjini Bukoba. Wa kwanza kulia ni Balozi wa Chapa Vodacom Msanii Mwana FA na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacam Salum Mwalim.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:16pm — No Comments
SEVERINE EMMANUEL AIBUKA MISS USTAWI
MADAI MAZITO NISHA AHONGWA NYUMBA
Stori:Gladness Mallya
Unakumbuka zile habari za Wema Isaac Sepetu kununuliwa jumba la kifahari na bilionea mmoja Kijitonyama, Dar? Sasa zimegeukia kwa staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye naye kuna madai mazito ya kuhongwa nyumba.
Ilikuwa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:00am — 6 Comments
MTANZANIA ANAYEENDA YUKO HAPA
Stori: Hamida Hassan
Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’, Jacqueline Patrick ‘Jack Patrick’ (pichani) , Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ mmoja wapo ataungana na mwanaume kuiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 linalokwenda na kikolombwezo cha…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:01am — 6 Comments
PROFESA JAY; NA SAKATA LA JIDE VS RUGE
Stori:Chande Abdallah
WIKI hii kwenye Funguka na Risasi tunaye mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule, ‘Profesa Jay’ ambaye anafunguka juu ya bifu kati ya Judith Wambura ‘Jide’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.
Profesa Jay naye ametajwa katika sakata hilo kutokana na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:37am — 8 Comments
MAMA SHARO... AAMBULIA PATUPU KWENYE AKAUNTI YA MWANAYE
Stori: Gladness Mallya
Maskini! Mama mzazi wa aliyekuwa msanii maarufu wa vichekesho na muziki Bongo, Marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufunga safari kutoka Tanga hadi Dar kwa ajili ya kushughulikia fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya mwanaye na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:27am — 5 Comments
CHEKA NA KATUNI ZA GPL LEO
Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:31am — 3 Comments
SISTA FEKI ANASWA
Stori:Mwandishi Wetu
AMA kweli dunia inazidi kwenda ukingoni! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Phyllis Wanjiru Kamau (44), raia wa Kenya amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai ya kujifanya mtawa wa Kanisa Katoliki na alikuwa akiishi kwenye nyumba za watawa wa kanisa hilo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:10am — 4 Comments
PICHA YA WABUNGE YAZUA GUMZO MTAANI
Stori:Mohammedy Kuyunga
PICHA iliyopigwa nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma hivi karibuni ikiwaonesha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Mohammed Kessy wa Jimbo la Nkasi Mashariki, Sumbawanga na Juma Othuman Kapuya wa Urambo Magharibi, Tabora wakionekana…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:25am — 3 Comments
MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6
Nikifunga mfano wa Raja na Jane kama mfano ambao niliutoa wiki iliyopita ni kwamba wote wawili wana kasoro. Sasa ni vizuri wakati unasoma, ukaelewa hilo ili nawe utakapokuwa unapitia vipindi kama hivyo walivyopita wenzetu, ukajua namna ya kuchanganua mambo.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:14am — No Comments
KESI YA ‘RAMA MLA WATU’ YAZUA TIMBWILI MAHAKAMANI
Stori:Richard Bukosi, Dar
MAMA wa marehemu Salome Yohana, Pendo Dustan Mushi (picha ndogo katikati) ambaye kichwa cha mwanaye huyo kinadaiwa kukutwa na Ramadhan Suleiman ‘Rama mla watu’ amezua timbwili Mahakama Kuu, jijini Dar akitaka kujua hatma ya kesi hiyo ya mauaji.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:08am — 3 Comments
USIKU WA HIP HOP & THE MIC KING KURINDIMA DAR LIVE MEI 25, 2013
Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!
Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm — No Comments
NEY WA MITEGO FT DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA DAR LIVE KESHO
Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 12:26pm — No Comments
DIAMOND ATOBOA KWA NINI KIWEMBE!
KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 14 Comments
ALIYEMFUMANIA MKEWE GESTI AGEUZIWA KIBAO!
Na Issa Mnally
LILE sakata la hivi karibuni la mwanaume aliyefahamika kwa jina la Baba Asha kudai kumfumania mshikaji wake aitwaye Beda Mloka mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam akiwa na mkewe gesti, lililoripotiwa na gazeti ndugu na hili la Risasi Mchanganyiko, limechukua sura mpya kufuatia…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 10:20am — 7 Comments
DIVA AIFUNGUKIA NDOA YAKE NA PREZZO
Na Hamida Hassan
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Redio, Loveness Malinzi ‘Diva’ ameifungukia ndoa yake na staa wa muziki wa Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’ kuwa haiko mbali kwani hatua waliyofikia ni nzuri.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:00am — 12 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
hope |
| 5 |
julius manning |
| 6 |
mayalilwa |
| 7 |
Tatu Majaliwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



