Featured News Posts (20,520)

YANGA YAIGONGA SIMBA 2-0, YATWAA KOMBE LA VPL

Wachezaji wa Yanga SC wakishangilia na kombe lao baada ya mechi dhidi ya Simba SC.

Timu ya Yanga leo imewaadhibu watani wao wa jadi, Simba SC baada ya kuwalaza kwa bao 2-0  katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 6:30pm — 1 Comment

NYUMBANI KWA MAREHEMU DK MASAU LEO

Pichani ni baadhi ya waombolezaji waliokutwa na mtandao huu nyumbani kwa marehemu Dk. Masau, Mbweni Kwajumbe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Imeelezwa kuwa Dk. Masau anatarajiwa kuugwa kesho katika Hospitali ya Aghakan saa 5:00 asubuhi.…

Added by Global Publishers on May 18, 2013 at 4:50pm — No Comments

DR. FERDINAND MASAU WA TANZANIA HEART INSTITUE AFARIKI DUNIA



 Taarifa zilizotufikia zinasema muasisi wa hospitali ya moyo ya Tanzania Heart Institue Dr. Ferdinand Masau amefariki dunia usiku wa kuamkia leo hata hivyo bado tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi juu ya msiba huo mkubwa kwa taifa kutokana na umuhimu wa Marehemu Dr. Ferdinand Masau, Tutawaletea…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:47pm — 3 Comments

UZINDUZI WA WIKI YA FISTULA ULIVYOFANA BUKOBA‏

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Zaipora Pangani akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa wiki ya maadhimisho ya wiki ya fistula leo mjini Bukoba. Wa kwanza kulia ni Balozi wa Chapa Vodacom Msanii Mwana FA na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacam Salum Mwalim.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:16pm — No Comments

SEVERINE EMMANUEL AIBUKA MISS USTAWI

Miss  Ustawi 2013 Severine Emmanua (katikati), akiwa katika pozi la pamoja na mshindi namba mbili Cecilia Francis (kulia), na kushoto ni mshindi namba tatu Angela Evarist.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:02pm — 1 Comment

MADAI MAZITO NISHA AHONGWA NYUMBA

Stori:Gladness Mallya

Unakumbuka zile habari za Wema Isaac Sepetu kununuliwa jumba la kifahari na bilionea mmoja Kijitonyama, Dar? Sasa zimegeukia kwa staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye naye kuna madai mazito ya kuhongwa nyumba.

Ilikuwa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:00am — 6 Comments

MTANZANIA ANAYEENDA YUKO HAPA

Stori: Hamida Hassan

Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’, Jacqueline Patrick ‘Jack Patrick’ (pichani) , Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’  mmoja wapo ataungana na mwanaume kuiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 linalokwenda na kikolombwezo cha…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:01am — 6 Comments

PROFESA JAY; NA SAKATA LA JIDE VS RUGE

Stori:Chande Abdallah

WIKI hii kwenye Funguka na Risasi tunaye mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule, ‘Profesa Jay’ ambaye anafunguka juu ya bifu kati ya Judith Wambura ‘Jide’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.

Profesa Jay naye ametajwa katika sakata hilo kutokana na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:37am — 8 Comments

MAMA SHARO... AAMBULIA PATUPU KWENYE AKAUNTI YA MWANAYE

Stori: Gladness Mallya

Maskini! Mama mzazi wa aliyekuwa msanii maarufu wa vichekesho na muziki Bongo, Marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufunga safari kutoka Tanga hadi Dar kwa ajili ya kushughulikia fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya mwanaye na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:27am — 5 Comments

CHEKA NA KATUNI ZA GPL LEO

tebwe

chakunogela…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:31am — 3 Comments

SISTA FEKI ANASWA

Stori:Mwandishi Wetu

AMA kweli dunia inazidi kwenda ukingoni! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Phyllis Wanjiru Kamau (44), raia wa Kenya amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai ya kujifanya mtawa wa Kanisa Katoliki na alikuwa akiishi kwenye nyumba za watawa wa kanisa hilo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:10am — 4 Comments

PICHA YA WABUNGE YAZUA GUMZO MTAANI

Stori:Mohammedy Kuyunga

PICHA iliyopigwa nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma hivi karibuni ikiwaonesha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Mohammed Kessy wa Jimbo la Nkasi Mashariki, Sumbawanga na Juma Othuman Kapuya wa Urambo Magharibi, Tabora wakionekana…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:25am — 3 Comments

MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6

Nikifunga mfano wa Raja na Jane kama mfano ambao niliutoa wiki iliyopita ni kwamba wote wawili wana kasoro. Sasa ni vizuri wakati unasoma, ukaelewa hilo ili nawe utakapokuwa unapitia vipindi kama hivyo walivyopita wenzetu, ukajua namna ya kuchanganua mambo.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:14am — No Comments

KESI YA ‘RAMA MLA WATU’ YAZUA TIMBWILI MAHAKAMANI

Stori:Richard Bukosi, Dar

MAMA wa marehemu Salome Yohana, Pendo Dustan Mushi (picha ndogo katikati) ambaye kichwa cha mwanaye huyo kinadaiwa kukutwa na Ramadhan Suleiman ‘Rama mla watu’ amezua timbwili Mahakama Kuu, jijini Dar akitaka kujua hatma ya kesi hiyo ya mauaji.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:08am — 3 Comments

USIKU WA HIP HOP & THE MIC KING KURINDIMA DAR LIVE MEI 25, 2013

Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm — No Comments

GARI LA 'THE MIC KING' HILI HAPA

Hili…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 5:04pm — 1 Comment

NEY WA MITEGO FT DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA DAR LIVE KESHO

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 12:26pm — No Comments

DIAMOND ATOBOA KWA NINI KIWEMBE!

Na Sifael Paul

KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — 14 Comments

ALIYEMFUMANIA MKEWE GESTI AGEUZIWA KIBAO!

Na Issa Mnally

LILE sakata la hivi karibuni la mwanaume aliyefahamika kwa jina la Baba Asha kudai kumfumania mshikaji wake aitwaye Beda Mloka mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam akiwa na mkewe gesti, lililoripotiwa na gazeti ndugu na hili la Risasi Mchanganyiko, limechukua sura mpya kufuatia…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 10:20am — 7 Comments

DIVA AIFUNGUKIA NDOA YAKE NA PREZZO

Na Hamida Hassan

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Redio,  Loveness Malinzi ‘Diva’ ameifungukia ndoa yake na staa wa muziki wa Kenya, Jackson  Makini ‘Prezzo’ kuwa haiko mbali kwani hatua waliyofikia ni nzuri.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:00am — 12 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service