All News Posts (14,851)

GLOBAL WASANII WAKALI KUSHIRIKI SHOO DAR LIVE JUMAPILI

Mwana FA akielezea jinsi atakavyofanya makamuzi ya nguvu.

Ambwene Yessayah…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 4:00pm — No Comments

GLOBAL VAN PERSIE ATWAA TUZO YA KUFIKISHA MAGOLI 20 UINGEREZA

Robin van Persie akiwa na tuzo yake ya mtu wa kwanza kufikisha magoli 20.

MCHAWI wa soka wa timu ya Arsenal ya Uingereza, Robin van Persie, jana alitunukiwa tuzo ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli 20 katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu unaoendelea.

Van Perseie…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 3:30pm — No Comments

GLOBAL VITANI TENA...

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 3:24pm — No Comments

GLOBAL MWANAUME AKISAKA MAPESA JIJINI DAR ES SALAAM

Jamaa aliyenaswa na kamera yetu leo mchana akikatiza Barabara ya Sokoine karibu na makutano ya Barabara ya Mkwepu jijini Dar akiwa na furushi kubwa lenye chupa za plastiki katika kile kilichoonekana mishemuishe za kusaka noti.

PICHA : RICHARD…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 2:39pm — 3 Comments

GLOBAL New SuperSport Channel for East Africa launches on DStv‏

DStv’s SuperSport 9East, a dawn of a new era for East Africa

Eleven am CAT on Friday, will usher in a new era in East African television, DStv will launch the latest addition to their already bulging 26 SuperSport channels, East Africa’s very own SuperSport 9East.

SuperSport 9East will air in the Democratic…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 12:15pm — 1 Comment

GLOBAL TAARIFA KUTOKA TFF LEO

Release No. 019

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Februari 10, 2012…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 12:09pm — 4 Comments

GLOBAL KATUNI...

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 11:30am — 7 Comments

GLOBAL Kazi afanye mume, mshahara kupewa mke

Mshahara sasa kwenda kwa mke

Maafisa katika jimbo la Gorontalo nchini Indonesia wamepata njia mpya ya kuhakikisha wake wa wafanyakazi wa serikali wanapata mgao wa kutosha wa mshahara wa waume…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 11:09am — 5 Comments

GLOBAL Al-Shabaab yaungana rasmi na al-Qaeda

Kundi la Waislam wenye itikadi kali nchini Somalia, al-Shabaab, limetangaza kuwa linaungana na kundi la al-Qaeda.…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:47am — 8 Comments

GLOBAL The Girl In My Dreams (Msichana Ndotoni Mwangu) -93

“TUNAKUBALIANA na yote yaliyoandikwa humo na tuko tayari kumtunza na kumlea mtoto tutakayemchukua hapa kwa nguvu na juhudi zetu zote tukihakikisha anapata  maisha yanayostahili.”

“Basi ni wakati wa ninyi kula kiapo mbele ya mwanasheria wetu.”

“Sawa sista,” walijibu kwa pamoja wakala kiapo  na zoezi hilo lilipokamilika sista mkuu akauliza swali  akiwataka wataje  walihitaji mtoto wa jinsi gani na umri wake.

“Kuanzia miezi…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:36am — 3 Comments

GLOBAL Valentine inakuja, umeandaa nini cha tofauti?-2

ZIMEBAKI siku tatu tu ili ifike ile siku maalumu zaidi ulimwenguni kwa ajili ya wenzi kuoneshana namna wanavyopendana. Ni Sikukuu ya Wapendanao. Shamshamra kila kona.

Marafiki jambo kubwa ambalo nalizungumzia hapa ni namna ya kuifanya siku hiyo kuwa ya tofauti kabisa na siku nyingine au sherehe ya namna hiyo uliyowahi…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:33am — 2 Comments

GLOBAL Richa Adhia: Bado najipanga ila nitaolewa tu

Na Rhobi Chacha

MISS Tanzania mwaka 200, Richa Adhia amesema kuwa ndoa na mchumba wake wa muda mrefu aliyemtaja kwa jina la Hridhaan Dhllon itafungwa siku chache zijazo.

Akizungumza na Ijumaa, Richa alisema kuwa, amekuwa akiulizwa juu ya ndoa yake huku wengine wakidhani imeyeyuka lakini akasema wako…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:23am — 7 Comments

GLOBAL Rehema Fabian aanguka, alazwa kwa presha

Na Gladness Mallya.

MREMBO aliyepata umaarufu kupitia ushiriki wake kwenye Shindano la Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian amedondoka ghafla kwa presha na kukimbizwa hospitalini.

Kwa mujibu wa chanzo makini cha Ijumaa, Rehema alikutwa na hali hiyo kutokana na…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:16am — 5 Comments

GLOBAL Mgomo wa madaktari, Wagonjwa waenda kufia kwao

-Ijumaa lashuhudia mmoja akifariki dunia mapokezi.

KUFUATIA mgomo wa madaktari unaoendelea, athari zimezidi kuwa kubwa kwa wagonjwa, Ijumaa limebaini.

Waandishi wetu walikuwepo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili juzi Jumatano na kushuhudia kifo cha Jonson Aseno (picha ya kulia) aliyefia mapokezi baada ya kukaa muda mrefu bila kupata huduma.

Akizungumzia tukio hilo, ndugu wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Philip alisema kifo hicho kimewahuzunisha sana…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:02am — 1 Comment

GLOBAL Shilole aifungukia stori yake ya kubakwa

Na Erick Evarist

MSANII wa filamu Bongo ambaye pia anafanya freshi kwenye muziki wa…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:00am — 11 Comments

GLOBAL KANUMBA AMFUMUA BABA'KE MZAZI

Na Brighton Masalu

STAA mkubwa katika tasnia ya filamu za Kibongo, Steven Kanumba…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:00am — 10 Comments

GLOBAL Nora, Ray pachimbika

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:00am — 5 Comments

GLOBAL MTOTO CESILIA EDWARD AFARIKI DUNIA

Mtoto Cesilia Edward enzi za uhai wake.

Mtoto Cesilia Edward amefariki dunia juzi saa tano usiku wa tarehe 08 katika hospitali ya Regency ya hapa jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa amelazwa kwa siku mbili kwaajili ya matibabu.

Marehemu Cesilia alikuwa na umri wa miaka…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:00am — 10 Comments

GLOBAL Uwoya, Wema, Kajala wanatumia dozi

Irene Uwoya.…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 10:00am — 11 Comments

GLOBAL I Want My Dady Back (Nataka Baba Yangu Arudi-53)

MZEE Mwandambo akiwa ofisini kwake akiwaza namna ya kumpata Arthur, anapokea ujumbe kwa namba asiyoijua ukimueleza kila anachokifanya. Cha kushangaza, ulimwambia kuwa Arthur alikuwa amejificha Lindi.

Alihisi kuchanganyikiwa kabisa. Kitu cha kwanza kufanya ilikuwa ni kumpigia simu Ben na kumwuliza kama kuna mtu aliyewaona wakati wakiwatosa Zanzan na Peter majini. Alipomhakikishia kuwa hakuna, alimwambia kwamba aangalie wenzake wanaweza kuwa wamevujisha siri…

Added by GLOBAL on February 10, 2012 at 9:56am — 4 Comments

ADVERTISEMENT

TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Profile Icon
kalisa bruno taifa commented on Dongonyo Juniour's photo
aaaaaaaaaaaaa hata million pound unaweza kutoa
20 minutes ago
Profile Icon
Profile Icon
Profile IconProfile Icon
sophy and mency mgl are now friends 29 minutes ago
Profile Icon
nance liked GLOBAL's blog post 'Shilole aifungukia stori yake ya kubakwa' 37 minutes ago
Profile Icon
mency mgl left a comment for neema molleli
I LIKE YA PROFILE 
51 minutes ago
Profile Icon
mency mgl commented on mency mgl's photo
Hunizidi mimi FURAHA, yani nawapenda sana wote wawili
1 hour ago
Profile Icon
18 blog posts by GLOBAL were featured 1 hour ago
Profile Icon
Blog posts by GLOBAL 1 hour ago
Profile Icon
julius manning commented on GLOBAL's blog post 'KATUNI...'
atampa kila kitu !!!!! sijamwelewa kabisa !!
1 hour ago
Profile Icon
julius manning commented on GLOBAL's blog post 'Uwoya, Wema, Kajala wanatumia dozi'
kichwa cha habari kina uzito mkubwa mi nilifikri wana dozi ya Mzee wa Loliondo
1 hour ago
Profile Icon
mwachali.rogers commented on GLOBAL's blog post 'Caf yaitosa barua ya Yanga SC'
Yanga acheni uoga mnadhani hata caf wakikubali ichezwe 1 mnafikiri itafanyika hapa bongo? Bora…
1 hour ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service