All News Posts (26,228)

THE VODACOM MIC KING WAKICHANA MISTARI

Added by GLOBAL on May 26, 2013 at 1:00am — No Comments

WAKALI WA MIC KING WAKILISHAMBULIA JUKWAA LA DAR LIVE

Waakali sita walioingia sita bora ya The Vocom Mic King.…

Added by GLOBAL on May 26, 2013 at 12:30am — No Comments

LIVE FROM DAR LIVE BIG SCREEN: BAYERN MUNICH BINGWA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013

European champions: Philipp Lahm lifts the Champions League trophy for Bayern Munich

Wachezaji wa Buyern Munich wakishangilia na kombe lao.

Winning kick: Arjen Robben pokes Bayern Munich ahead in the 89th minute

Wachezaji wa Buyern…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:00pm — No Comments

RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA AU JIJINI ADDIS ABABA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia, mbele) akiwa katika Mkutano wa Sherehe za miaka 50 ya AU katika makao makuu ya umoja huo jijini Addis Ababa leo Mei 25, 2013.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 3:26pm — No Comments

REDD'S MISS MZIZIMA 2013 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Miss Mzizima namba moja  Shamimu Mohamedi akipokea shilingi lakini tano kutoka kwa meneja wa Hotel ya Green Trees iliyopo Kigamboni.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:46pm — 1 Comment

ABIRIA WAJIPATIA BURUDANI WAKATI WAKISUBIRI PANTONI

Hapa anaonesha ufundi wake kwa kuweka mguu mgongoni…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:14pm — 2 Comments

WEMA: MIMI NA WANAUME TU

Stori:  Musa Mateja

HABARI zinasema kwamba staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, ‘Beautiful Onyinye’ ameongeza idadi ya wanaume katika uhusiano wake na kuzidi kuwa katika chati ya magazeti ya Bongo, Risasi Jumamosi lina habari kamili.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:39am — 2 Comments

MWANAMKE ANAYEDAIWA MCHAWI NI MCHAWI ADONDOKEA KANISA

Stori:Makongoro Oging'

Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:30am — 2 Comments

SAKATA LA MTWARA NI ZAIDI YA GESI

Stori: Joseph Shaluwa

SIKU chache baada ya kutokea machafuko mjini Mtwara kuhusu msuguano wa gesi ambayo inatakiwa kusafirishwa kwenda Dar es Salaam, imebainika kuwa kipo kitu kingine nyuma ya pazia kinachochochea machafuko hayo.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:06am — 3 Comments

MAMBO YATAKAVYOKUWA KATIKA USIKU WA HIP HOP NA THE VODACOM MIC KING BAADAYE

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:35am — No Comments

MBIO ZA HISANI ZA MBUZI 2013 ZAKARIBIA

Mwenyekiti wa Mbio za Mbuzi za Hisani Dar es Salaam, Karen Stanley (katikati) akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya mbio hizo zinazotarajiwa kutimua mbuzi jijini humo Juni 1 mwaka huu katika Viwanja vya The Green, Barabara ya Kenyatta…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:30am — 1 Comment

CHEKA NA KATUNI ZA GPL

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:20am — 2 Comments

Mama Yangu Adui Yangu - 41

ILIPOISHIA:

Naye nilimdanganya sababu ile ilitokana na kukumbuka hali iliyonitokea nyuma.

Alinisihi nisiwaze vitu vilivyopita kwa vile ananitunza kama mboni ya jicho lake. Nilimuhakikishia hali ile haitajitokeza tena, maneno yangu yalimfariji sana mume wangu na kurudisha tabasamu lililopotea baada ya kuwa na wasiwasi wa tatizo langu kuwa kalisababisha yeye.

Nilijitahidi kuwa katika hali ya kawaida ili niweze kuwatoa…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:55am — 2 Comments

JACK DUSTAN APATA AJALI YA GARI

Na Imelda Mtema

MREMBO aliyepata umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus Season II, Jacqueline Dustan ‘Jack’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro na kupata majeraha usoni na mguuni.

Akizungumza na Exclusive Star, Jack alisema Jumanne iliyopita walikuwa kwenye teksi…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:52am — 2 Comments

MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-7

WIKI iliyopita tulijifunza mambo kadhaa juu ya namna ambavyo ulimi unaweza kuwa sumu kubwa katika uhusiano wako. Leo tunaendelea pale tulipoishia.

Mfano;…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:47am — No Comments

Wakala wa Shetani - 28

ILIPOISHIA:

Ilibidi ufanyike msako wa siri kutaka kubaini Malimi yupo wapi, lakini hakukuwa na taarifa zozote. Mr Harison alikumbuka kauli za wanawake walipokuwa kwenye mafunzo kwamba baada ya kusoma lile gazeti alitoka darasani. Aliamini kabisa ni mwenyewe ambaye baada ya kuiona picha yake ameamua kukimbia.

SASA ENDELEA...

Waliongeza msako kila kona lakini waliambulia patupu. Ng’wana Bupilipili alikuwa ameshapotea eneo…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:35am — 3 Comments

DAKTARI ADAIWA KUJINYONGA KWA SHUKA GESTI

DAKTARI wa meno wa Hospitali ya Wilaya ya Morogoro, Alnord Limo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40, amekutwa amefariki dunia kwenye chumba cha gesti huku habari zikidai alijinyonga kwa shuka.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:30am — 3 Comments

MISS GEITA 2013 KUFANYIKA JUNI MOSI MWAKA HUU

Baadhi ya warembo waliokutwa katika mazoezi ya kushiriki taji la Miss Geita 2013.

Na Salum Maige, Geita

24. 05. 2013

KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mrembo wa kwanza wa mkoa…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 7:22pm — 3 Comments

BREAKING NEWS: AMRI KIEMBA NAYE AJIUNGA NA YANGA

Kiungo Amri…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 5:30pm — 4 Comments

NAPE AWASILI MJINI BERLIN, UJERUMANI

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD mjini Berlin, Ujerumani alipowasili jana kuhudhuria sherehe za…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:50pm — 2 Comments

News Topics by Tags

Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

1999

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Florian Reynoso posted a status
24 seconds ago
Florian Reynoso posted a status
38 seconds ago
Florian Reynoso posted a status
52 seconds ago
Florian Reynoso posted a status
1 minute ago
Florian Reynoso posted a status
1 minute ago
Florian Reynoso posted a status
1 minute ago
Florian Reynoso posted a status
1 minute ago
Florian Reynoso posted a status
2 minutes ago
Florian Reynoso posted a status
2 minutes ago
Florian Reynoso posted a status
2 minutes ago
Florian Reynoso posted a status
2 minutes ago
Florian Reynoso posted a status
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service