WAKALI WA MIC KING WAKILISHAMBULIA JUKWAA LA DAR LIVE
Added by GLOBAL on May 26, 2013 at 12:30am — No Comments
LIVE FROM DAR LIVE BIG SCREEN: BAYERN MUNICH BINGWA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013
Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:00pm — No Comments
RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA AU JIJINI ADDIS ABABA LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia, mbele) akiwa katika Mkutano wa Sherehe za miaka 50 ya AU katika makao makuu ya umoja huo jijini Addis Ababa leo Mei 25, 2013.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 3:26pm — No Comments
REDD'S MISS MZIZIMA 2013 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
ABIRIA WAJIPATIA BURUDANI WAKATI WAKISUBIRI PANTONI
Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:14pm — 2 Comments
WEMA: MIMI NA WANAUME TU
Stori: Musa Mateja
HABARI zinasema kwamba staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, ‘Beautiful Onyinye’ ameongeza idadi ya wanaume katika uhusiano wake na kuzidi kuwa katika chati ya magazeti ya Bongo, Risasi Jumamosi lina habari kamili.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:39am — 2 Comments
MWANAMKE ANAYEDAIWA MCHAWI NI MCHAWI ADONDOKEA KANISA
Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:30am — 2 Comments
SAKATA LA MTWARA NI ZAIDI YA GESI
SIKU chache baada ya kutokea machafuko mjini Mtwara kuhusu msuguano wa gesi ambayo inatakiwa kusafirishwa kwenda Dar es Salaam, imebainika kuwa kipo kitu kingine nyuma ya pazia kinachochochea machafuko hayo.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:06am — 3 Comments
MAMBO YATAKAVYOKUWA KATIKA USIKU WA HIP HOP NA THE VODACOM MIC KING BAADAYE
Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 2:35am — No Comments
MBIO ZA HISANI ZA MBUZI 2013 ZAKARIBIA
Mama Yangu Adui Yangu - 41
ILIPOISHIA:
Naye nilimdanganya sababu ile ilitokana na kukumbuka hali iliyonitokea nyuma.
Alinisihi nisiwaze vitu vilivyopita kwa vile ananitunza kama mboni ya jicho lake. Nilimuhakikishia hali ile haitajitokeza tena, maneno yangu yalimfariji sana mume wangu na kurudisha tabasamu lililopotea baada ya kuwa na wasiwasi wa tatizo langu kuwa kalisababisha yeye.
Nilijitahidi kuwa katika hali ya kawaida ili niweze kuwatoa…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:55am — 2 Comments
JACK DUSTAN APATA AJALI YA GARI
Na Imelda Mtema
MREMBO aliyepata umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus Season II, Jacqueline Dustan ‘Jack’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro na kupata majeraha usoni na mguuni.
Akizungumza na Exclusive Star, Jack alisema Jumanne iliyopita walikuwa kwenye teksi…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:52am — 2 Comments
MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-7
WIKI iliyopita tulijifunza mambo kadhaa juu ya namna ambavyo ulimi unaweza kuwa sumu kubwa katika uhusiano wako. Leo tunaendelea pale tulipoishia.

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:47am — No Comments
Wakala wa Shetani - 28
ILIPOISHIA:
Ilibidi ufanyike msako wa siri kutaka kubaini Malimi yupo wapi, lakini hakukuwa na taarifa zozote. Mr Harison alikumbuka kauli za wanawake walipokuwa kwenye mafunzo kwamba baada ya kusoma lile gazeti alitoka darasani. Aliamini kabisa ni mwenyewe ambaye baada ya kuiona picha yake ameamua kukimbia.
SASA ENDELEA...
Waliongeza msako kila kona lakini waliambulia patupu. Ng’wana Bupilipili alikuwa ameshapotea eneo…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:35am — 3 Comments
DAKTARI ADAIWA KUJINYONGA KWA SHUKA GESTI
DAKTARI wa meno wa Hospitali ya Wilaya ya Morogoro, Alnord Limo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40, amekutwa amefariki dunia kwenye chumba cha gesti huku habari zikidai alijinyonga kwa shuka.…

Added by GLOBAL on May 25, 2013 at 1:30am — 3 Comments
MISS GEITA 2013 KUFANYIKA JUNI MOSI MWAKA HUU
Baadhi ya warembo waliokutwa katika mazoezi ya kushiriki taji la Miss Geita 2013.
Na Salum Maige, Geita
24. 05. 2013
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mrembo wa kwanza wa mkoa…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 7:22pm — 3 Comments
BREAKING NEWS: AMRI KIEMBA NAYE AJIUNGA NA YANGA
Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 5:30pm — 4 Comments
NAPE AWASILI MJINI BERLIN, UJERUMANI
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD mjini Berlin, Ujerumani alipowasili jana kuhudhuria sherehe za…

Added by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:50pm — 2 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




