moses mayila
  • Male
  • dar es salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook
Share Twitter
  • News Posts
  • Discussions (15)
  • Groups
  • Photos
  • Photo Albums
  • Videos

Moses mayila's Friends

  • mary kanute
  • esther omary

moses mayila's Discussions

WALICHOKIFANYA WAIMBAJI WA INJILI KATIKA TAMASHA LA STREET UNIVERSITY NI SAHIHI?

Started Feb 4 0 Replies

Yesu wetu apewe sifa ndugu zangu, jamani kunamatamasha ya ujasiliamali ambayo yanajulikana kama Street university ambayo huedeshwa na akina Erick Shigongo, matamasha haya yameleta sura mpya baada ya…

JE MIUJIZA YA MCHUNGAJI GWAJIMA NI YA MUNGU AU SHETANI?

Started Sep 18, 2011 0 Replies

Toa maoni yako na jinsi  unaavyomfahamu Gwajima katika mada inayojadiliwa  kuhusu miujizaa yake ya kufufua wafu na kurudisha misukule, maana ni zaidi ya wa 200 wamerudishwa misukule na wengine…

JE! YEHOVA NA ALLAH NI MUNGU MMOJA AU NI WAWILI TOFAUTI?

Started Jul 9, 2011 0 Replies

Ndugu zangu wote wakristo kwa waislamu na wasiokuwa wakristo wala waislamu , tunawakaribisha katika mjadala huu, tunatafuta usahihi kamili wa mambo haya kwamba Je yehova ndiye Allah? ikiwa Yehova…

TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU

Started this discussion. Last reply by dinah kimz Apr 11, 2011. 85 Replies

salam ndugu zangu kkatiika jina la Yesu.Ikiwa watu wengi sana wamefungua vinywa kuzungumzia tiba ya magonjwa sugu yakiwemo UKIMWI, Kisukari nk. inayotolewa na mchungaji mwasapile huko Loliondo, nami…

Tags: www.mosespk.wordpress.com

 

moses mayila's Page

Gifts Received

Gift

moses mayila has not received any gifts yet

Give moses mayila a Gift

Latest Activity

dinah kimz replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"jamani hakuna chenye mwanzo kisichokuwa na mwisho kwa hiyo kama kazi hiyo ni ya uongo ipo cku itajulikana 2 4 nw hebu 2ache kwanza aendelee na hiyo kazi anayodai yeye kwamba ameoteshwa."
Apr 11, 2011
dinah kimz replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"me nahc kama hao wachawi hawataki uponyaji kwa wa2 na ndio maana wanamfanyia ujinga huo mchungaji ambaye inaxemekana ameoteshwa na mungu."
Apr 11, 2011
Frank Totnan Bavon replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"Hebu acha fujo zako wewe! Hiyo ni mitazamo yako hivyo usitake watu wafate mtazamo ulio nao. You seems not to be serious, Ya Loliondo mwachie babu, ya nukuu za bible aachiwe mungu, all i can tell u dont dare to mix up hz mambo mbili, coz mimi na wewe…"
Apr 7, 2011
benny tungaraza replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"huu niwivu, husuda na majungu yawasumbuayo....ninaamini mioyoni mwenu hamsemi hayo myasemayo..c ajabu mlikwisha kwenda kwa babu siku nyingiii..hii ni kampeni ya chini kwa chin inayojulikana sasa na si kificho kwamba huduma ya Mungu sasa inapigwa…"
Apr 7, 2011
mshemwa steven replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"huo ni mtazamo tu kaka, ninachoweza kusema kazi ya mungu haina malipo sijawahi kuona kama kuna sehemu yoyote ya imani kuna kuwa na ushuru wowote, kaka pale mwanzo nina weza kusema kuwa kitu ambacho kinaponesha ni bora kiendelee kuponesha kuliko…"
Apr 6, 2011
geofrey jackson mwakatobe replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"mwangu wewe ni kichwa.tukianza kusema hii dawa imetoka kwa mungu au shetani wakati jamii yetu ina matatizo mbalimbali tutachemsha.huyu mchungaji sijui kasomea wapi,ama ndo wale ukiwa wa kuvaa tai sana basi kanisa linakuteua ukasomee uchungaji hata…"
Apr 5, 2011
firstpriority replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"UTAJIBEBA....    NDIO NYIE KINA KAKOBE, WATU WANWAKIMBIA MAKANISANI SASA, MNAHAHA NJAA"
Apr 5, 2011
namdawa hamisi mndeme replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"kila mtu na imani yake"
Apr 2, 2011
Nicholas Songora replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"Mengi yamesemwa lakini tukumbuke kwamba imani ndio iponyayo. Bila imani hata utumie dawa gani maradhi yatakuandama. La muhimu ni tuwe na imani nasi tutaponywa....!!!  "
Apr 2, 2011
Ismail Shaban Mzerere replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"Aminia mwana, nimekukubali kwamba umeenea na umekamilika kila fani hususani kimtazamo, kifikra na hata kiuelewa. Hakika mchango wako unahitaji kwanza watu waliokwenda shule kubaini kile kilichomo ndani, sintoshangaa kuona/kusikia wale wasiopenda…"
Apr 1, 2011
moses mayila replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"salamu nduguzangu katika jina la Yesu, kwanza nimefurahi sana kusikia mkitoa utetezi wa hoja zenukwa maandiko, hicho ndichoninachokihitaji, tuongee kwa mujibu wa maandiko. kwanza nianze na wewe rafiki yangu kagine. umetaka nifafanue sadaka…"
Mar 30, 2011
mtebwematefya mohamed matefya replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"tupo pamoja mnyarukolo. hilo jibu kamili"
Mar 30, 2011
geofrey jackson mwakatobe replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"nakusalim katika jina la bwana wetu yesu kristo. mada yako ni nzuri sana kwa kuisoma, lakini nadhani umsahau kuwa kuna wengi wanakula fedha nyingi za waumini wao kwa kisingizio cha PANDA MBEGU;watanzania wana matatizo mengi sana ambayo kupona kwake…"
Mar 28, 2011
Athumani mdee left a comment for moses mayila
"kwanini anatakaka miatano  "
Mar 28, 2011
Athumani mdee left a comment for moses mayila
"hatami pia sikubaliani noyo nahisi huyu babu ni freemasonis"
Mar 28, 2011
Nicholaus Dawson Kagine replied to moses mayila's discussion TIBA YA BABU NAHISI HAIKUTOKA KWA MUNGU
"Ahsante kwa kusoma ujumbe wangu, kaka Mayila, ila nashangaa kwa nini huna msimamo. nilikuuliza ikiwa unaipinga tsh 500 ya babu, nikuliza je watu wanaotoa sadaka kanisani kwako wanatoa za nini, na kwa nini watoe hapo kwako?…"
Mar 28, 2011

Profile Information

Name
moses
Your favorite Global Publishers Newspaper and Why ?
uwazi
How did you know about Global Publishers
Newspaper

Comment Wall (3 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 3:48pm on March 28, 2011, Athumani mdee said…

kwanini anatakaka miatano

 

At 3:46pm on March 28, 2011, Athumani mdee said…
hatami pia sikubaliani noyo nahisi huyu babu ni freemasonis
At 2:43pm on March 23, 2011, sara said…
hi <3
 
 
 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
11 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
11 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
12 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago
kheri zewe commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"minyama uzembe"
13 hours ago
kheri zewe commented on GLOBAL's blog post AJINYONGA KWA MADAI YA UGUMU WA MAISHA
"duh ama kweli kila mtu na mawazo na fikra zake kwa hiyo huyu jamaa ameona shida za maisha dawa yake…"
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website