GLOBAL
  • Dar es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Online Now
Share on Facebook
Share Twitter

GLOBAL's Friends

  • Sabrina
  • Mweyendezi Filbert
  • DEO MLWAFU
  • Frank Shayo
  • bellamin ben tilito
  • Godson Ndinadyo
  • JEAN NGOYI
  • gueen
  • morena kwigema
  • baro
  • Elias Edesius Kinunda
  • HUSNA HAMIDU MIGOMBA
  • Zaynab mussa
  • Theddy chitinka
  • Richard   Rugajo

GLOBAL's Discussions

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started this discussion. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started this discussion. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge…

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started this discussion. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started this discussion. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO…

Profile Information

Name
Uwazi
Your favorite Global Publishers Newspaper and Why ?
Uwazi..the best kwa kuweka mambo wazi....
How did you know about Global Publishers
Newspaper
 

GLOBAL's Page

GLOBAL's Photos

  • Add Photos
  • View All

GLOBAL's Videos

  • Add Videos
  • View All

GLOBAL's News

POLISI AMCHARANGA MAPANGA MWANAYE KISA MAPENZI

Posted on May 20, 2013 at 9:45am 0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

KATI ya stori za mwaka zinazosikitisha, hii ni mojawapo! Polisi mstaafu, mkazi wa Kitongoji cha Sango, Kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani hapa, Samson Bwire (54), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga binti yake, Devotha Gerald (4), kisa kikidaiwa…

KILICHOMPATA MADAM RITA KINASIKITISHA!

Posted on May 20, 2013 at 8:30am 0 Comments

Na Imelda Mtema

KILICHOMPATA Madam Rita kinasikitisha! Ndivyo unavyoweza kusema ukibahatika kumuona the big boss wa Benchmark Production inayoratibu Shindano la Bongo Star Search, Rita Poulsen ‘Madam’ anayetembelea magongo baada ya kupata ajali mbaya ya gari.…

RAY: SIZALISHI FILAMU CHINI YA KIWANGO

Posted on May 20, 2013 at 8:30am 0 Comments

Na Mwandishi Wetu

THE GREATEST, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema kutokana na vifaa vipya vya kuzalisha filamu alivyonunua hivi karibuni, kamwe hawezi kuzalisha filamu chini ya kiwango.…

LISA JENSEN ATUNDIKWA MIMBA BILA NDOA!

Posted on May 20, 2013 at 8:30am 0 Comments

Na Musa Mateja

STAA mrembo wa Kibongo aliyewakilisha Tanzania kwenye Shindano la Miss World 2012, Lisa Jensen kwa sasa anaitwa mama kijacho baada ya kutundikwa mimba kabla ya ndoa.…

Comment Wall (56 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 3:48pm on February 21, 2013, shani kabali said…

huyu mama ni haki afungwe maisha anaroho ya ukatiri sana akoma na afie jela.

shani

 

 

At 4:46pm on February 18, 2013, joseph kibuzo said…

nikiokotapesanyingi nitazipeleka polisi weweje

At 11:53pm on February 16, 2013, nyumbanitu said…

nahihe

At 1:28pm on February 16, 2013, senga kibuzo said…

mnajitahidisana kuchungulia nyendo zamastaa mbonamamboyenu hamsemi

At 3:03pm on January 6, 2013, bellamin ben tilito said…

watanzania tupige mzigo tuache longolongo

At 11:59am on December 11, 2012, Asma said…
Thank you kwa kutuwezesha na sisi watu wa nje ya nchi kusoma magazeti kwakutumia credit cards
At 8:44am on December 8, 2012, Kimama Kinini said…

KWELI KABISA HAYA MAMBO YA KUBOFYA YANAKERA SANA, YAANI SHOGONGO UTAJIRI WOTE HUO BADO ANABANGAIZA NA VIJI MIATANO VYA KUBOFYA, ANATAKA KUMFIKIA BAKHARESA KWA UTAJIRI???!!!!!

At 2:19pm on November 28, 2012, Asma said…
Huu mpango wa kubofya hapa ndio usome habari unatutesa sisi tunokaa nje za nchi. Huwa tunataka kusoma habari kakini hatuwezi kupata passward sababu ya simu muloweka hebu turahisisjieni na sie
At 12:30pm on September 24, 2012, David Wagwene said…

Global publishers hongereni kutoa habari nzuri za kuelimisha na kuburudisha jamii mpo juu sana CONGRATULATION pia kwa Shigongo na hadithi zake kaka upo juu sana endelea kutuburudisha..

At 8:07am on August 27, 2012, Hadija Mollel said…

Munyezi mungu alilaze roho ya mzee wetu mahalipema peponi AMIN

Kaka munyezi mungu akutie nguvu tupo pamoja katika wakati huu mgumu japo nipo mkoaniArusha.

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service