GLOBAL
  • Dar es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook
Share Twitter

GLOBAL's Friends

  • Sabrina
  • Mweyendezi Filbert
  • DEO MLWAFU
  • Frank Shayo
  • bellamin ben tilito
  • Godson Ndinadyo
  • JEAN NGOYI
  • gueen
  • morena kwigema
  • baro
  • Elias Edesius Kinunda
  • HUSNA HAMIDU MIGOMBA
  • Zaynab mussa
  • Theddy chitinka
  • Richard   Rugajo

GLOBAL's Discussions

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started this discussion. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started this discussion. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge…

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started this discussion. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started this discussion. Last reply by NELSON UVAMBE 7 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO…

Profile Information

Name
Uwazi
Your favorite Global Publishers Newspaper and Why ?
Uwazi..the best kwa kuweka mambo wazi....
How did you know about Global Publishers
Newspaper
 

GLOBAL's Page

Latest Activity

LJH_3 commented on GLOBAL's blog post Yanga wamwekea ulinzi Haruna Niyonzima
"Hope huna nyimbo kwa ufahamu wako unadhani atamwaga wino Simba hilo halitokei hata siku moja"
11 minutes ago
mayalilwa commented on GLOBAL's blog post MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA
"Niliwashauri Simba msimpange huyu katika mechi ya juzi lakini hamkunisikia."
11 minutes ago
Eric Esron Mungere commented on GLOBAL's blog post THE DIRTY GAME (MCHEZO MCHAFU) - 11
"Inaonekana hao walikuwa mapacha, vinginevyo, huo utakuwa mzimu tu!"
11 minutes ago
mayalilwa commented on GLOBAL's blog post MCHUNGAJI MSIGWA APANDISHWA KIZIMBANI, ATIMIZA MASHARTI YA DHAMANA
"Ipo kazi!"
11 minutes ago

GLOBAL's Photos

  • Add Photos
  • View All

GLOBAL's Videos

  • Add Videos
  • View All

GLOBAL's News

VODACOM YATAWALA MBAGALA

Posted on May 20, 2013 at 6:30pm 0 Comments

Dogo Tundu akiwapa burudani wakazi wa Mbagala Kizuiani.…

KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI AU KUSAHAU?

Posted on May 20, 2013 at 6:18pm 0 Comments

Prodyuza Tudd Thomas.

MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All…

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Posted on May 20, 2013 at 5:30pm 0 Comments

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.…

DIAMOND MUSICA YAFANYA KWELI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Posted on May 20, 2013 at 3:30pm 0 Comments

Prezidaa wa Diamond Musica, Liver Hassan ‘Sultan’, akikamua.…

Comment Wall (56 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 3:48pm on February 21, 2013, shani kabali said…

huyu mama ni haki afungwe maisha anaroho ya ukatiri sana akoma na afie jela.

shani

 

 

At 4:46pm on February 18, 2013, joseph kibuzo said…

nikiokotapesanyingi nitazipeleka polisi weweje

At 11:53pm on February 16, 2013, nyumbanitu said…

nahihe

At 1:28pm on February 16, 2013, senga kibuzo said…

mnajitahidisana kuchungulia nyendo zamastaa mbonamamboyenu hamsemi

At 3:03pm on January 6, 2013, bellamin ben tilito said…

watanzania tupige mzigo tuache longolongo

At 11:59am on December 11, 2012, Asma said…
Thank you kwa kutuwezesha na sisi watu wa nje ya nchi kusoma magazeti kwakutumia credit cards
At 8:44am on December 8, 2012, Kimama Kinini said…

KWELI KABISA HAYA MAMBO YA KUBOFYA YANAKERA SANA, YAANI SHOGONGO UTAJIRI WOTE HUO BADO ANABANGAIZA NA VIJI MIATANO VYA KUBOFYA, ANATAKA KUMFIKIA BAKHARESA KWA UTAJIRI???!!!!!

At 2:19pm on November 28, 2012, Asma said…
Huu mpango wa kubofya hapa ndio usome habari unatutesa sisi tunokaa nje za nchi. Huwa tunataka kusoma habari kakini hatuwezi kupata passward sababu ya simu muloweka hebu turahisisjieni na sie
At 12:30pm on September 24, 2012, David Wagwene said…

Global publishers hongereni kutoa habari nzuri za kuelimisha na kuburudisha jamii mpo juu sana CONGRATULATION pia kwa Shigongo na hadithi zake kaka upo juu sana endelea kutuburudisha..

At 8:07am on August 27, 2012, Hadija Mollel said…

Munyezi mungu alilaze roho ya mzee wetu mahalipema peponi AMIN

Kaka munyezi mungu akutie nguvu tupo pamoja katika wakati huu mgumu japo nipo mkoaniArusha.

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 7 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for stuwartkifua
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
16 seconds ago
tina babi left a comment for MUFAMADI STAMIKE
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
24 seconds ago
tina babi left a comment for Juma Mahambe
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
31 seconds ago
tina babi left a comment for Humphrey Moise katumbi
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
52 seconds ago
tina babi left a comment for Laurent Johnson
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for hansb
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Richard Boniface
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for I NDARO
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for shabani sewando
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for Joctan
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for lee lewis
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
4 minutes ago
tina babi left a comment for khatib juma
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
4 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service