Mawazo Katota
  • Male
  • Morogoro
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook
Share Twitter

Mawazo Katota's Friends

  • DR .ALLY MOHAMED MAKWATILA
  • Calvin Valentine
  • Christopher Simwitta
  • Joseph Vincent
  • Philemon aka Dr.Phil McJogger
  • ◄MΘh@med►محمد

Gifts Received

Gift

Mawazo Katota has not received any gifts yet

Give a Gift

 

Mawazo Katota's Page

Latest Activity

Mawazo Katota commented on ANSBERT JUSTUS's photo
Thumbnail

tution

"Huku nina hakika ni kule kwa His Royal Highness King of Swaziland Honorable Mswati."
Monday
Mawazo Katota commented on zuleya rashid's photo
Thumbnail

Ki2uu

"@ Matilanga huyu sio nanii wa mwanandinga. awe na shepu kama hii aringe. Hiki ni kitu kipya kinachohitaji utafiti wa kina."
Monday
Mawazo Katota commented on julius manning's photo
Thumbnail

hii ya kufungua mwaka iko Ulanga Mahenge

"Hakika Magufuli na wakandarasi wako mmechoka Hivi kuandika kibao sahihi unahitaji degree ngapi?"
Monday
Mawazo Katota left a comment for Philemon aka Dr.Phil McJogger
"Hi! Mc. JoggerI hope you are Ok Thanx for your interest. I was a little bit busy such that I delayed the responce to your Friendship invitation. How ever I appriciate your expression and please keep in touchMadaraka"
May 17
Mawazo Katota commented on julius manning's photo
Thumbnail

jela sikai mimi si mtaona

"Mungu na akusaidie ewe kiumbe dhaifu. Mungu yuko karibu na wale wanaohitaji msaada waake usichoke kumuomba"
May 4
Mawazo Katota commented on julius manning's photo
Thumbnail

BINADAMU AU JINI

"Huyu si jini ni mwanamke aliyejaliwa na muumba wake. Kasoro haifahamiki anapatikana wapi ili kama ipo fursa watu wajitafutie mke au unasemaje mkuu Maning"
May 4
Mawazo Katota left a comment for abdul njechele
"Happy Birthday Njechele"
Apr 30
Mawazo Katota left a comment for abdalla sheha hamadi
"Happy Birthday Abdallah Sheha"
Apr 30
Mawazo Katota posted a status
"Ninajisikia raha sana Mnyama Simba Kesha kararua kaswala kutoka Sudani tunasubiri kandambili kutoka jangwani kwenye mafuriko"
Apr 29
Mawazo Katota commented on isaac msafir's photo
Thumbnail

heavy duty

"10,000 kilowatts Si mchezo saizi ya Watu wazito kama kina Julius Maning. Fanya bidii mzee ulimaliza project hii kwa ufanisi?"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for Doreen Abraham Kassane
"Happy Birthday Doreen"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for dmoney
"Happy Birthday dmoney"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for chriss dikwe
"Happy Birthday Dikwe"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for charles maige
"Happy Birthday Maige"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for Busara
"Happy Birthday Mr. Busara"
Apr 21
Mawazo Katota left a comment for benignus odo mpete
"Happy Birthday Mpete"
Apr 21

Profile Information

Name
Mawazo Katota
Your favorite Global Publishers Newspaper and Why ?
Ijumaa because it have a variety of issues coverage including politics
How did you know about Global Publishers
Friends

Mawazo Katota's Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Comment Wall (11 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 8:35am on April 16, 2012, Aminael FF said…

Asante sana Mawazo kwa kunitakia kheri ktk siku yangu ya kuzaliwa, ubarikiwe sana!!!!

At 9:17am on March 22, 2012, Jimmy said…

Ni kweli kabisa kuzimu kuna serious business. Maana huko ndiko wanga wanakoenda kupata nguvu zao, wafanyabiashara wanaenda kupata njia za kupata fedha, wasanii wanaenda kupata njia za kuwa maarufu, n.k. Lakini Katota, mkuu wa kuzimu ambaye ni shetani ana aliye MKUU zaidi aliyemweka humo. Huyo aliye MKUU zaidi ana uwezo wa kuingia na kutoka humo muda wowote kama apendavyo.

At 10:58am on March 21, 2012, Jimmy said…
Mawazo, unachosema ni kweli kabisa. Maandiko yanasema hivi: Niite nami nitakuitikia, nitakuonyesha mambo makubwa magumu usiyoyajua. (Yer 33:3). Yapo mambo humuhumu duniani ambayo yanatisha na kushangaza. Je, mbinguni na kuzimu? Unaweza kudhani haya ni mambo ya kutunga kwa sababu moja ifuatayo: Yesu alimwambia Nikodemo kwamba, Ikiwa nimewaambia mambo ya duniani, wala hamsadiki, mtasadiki wapi niwaambiapo mambo ya mbinguni? (Yohana 3:12). Lakini nikuhakikishie tu, ulimwengu wa roho na mambo yake ni halisi kabisa! Kwa wanga hufanya kazi zao wapi kama si katika ulimwengu wa roho?
At 9:02pm on February 13, 2012, Apple & mangoe said…
Thanx alot Mkuu 4your care
At 7:21am on January 31, 2012, Adam Chumbani said…

Thanx Bro!

At 9:45am on January 13, 2012, Charo Kateta said…

Nashukuru sana.

At 6:46am on January 11, 2012, JOJO John said…

Katota,

 

Nimatumaini yangu hujambo, ndugu yangu nimependa comment yako kuhusu madawa ya urevi. keep it up mean.

 

God bless you.

 

Regards,

At 3:11pm on January 9, 2012, Christopher Simwitta said…

Thanks

At 1:51pm on January 4, 2012, Jimmy said…

Ni sahihi kabisa ndugu yangu Katota. Na hayo maandalizi yanayotakiwa ni ya sentensi moja tu. Yesu Kristo anasema hivi: pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote. (Yohana 15:15). Anachotaka tufanye hasa si kuwa na dini au kufanya matendo mema, maana hatuwezi. Bali anasema: Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. (Ufunuo 3:20). 

Kwa Katota rafiki yangu, kama umeshafanya hivyo, basi yeye atafanya yale ambayo sisi hatuwezi. Kama bado, changamkia dili hiyo ambayo ni bora kuliko zote! Ubarikiwe.

At 2:49pm on January 3, 2012, lumi mwandelile said…

hapo umenena, sio kazi yetu kujua huyo mama alizaa na nani kikubwa tumsaidie huyo kijana ili hao wadogo zake mapacha wapone. wadau tujitoe tumtembelee muhimbili huyo mtoto na kumpa chochote. kutoa ni moyo. ukifika muhimbili uliza wodi ya makuti

 
 
 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website