Kulikoni Ughaibuni
  • Male
  • United Kingdom
Share on Facebook
Share Twitter

Kulikoni Ughaibuni's Friends

  • Cindy J
  • Saumu Ali Omari
  • laitayo alice
  • kuruthum seifu
  • Shania curves mlendo
  • neema molleli
  • filongwe m

Kulikoni Ughaibuni's Discussions

Je Kuna Ukweli Katika Madai Kuwa Wanaume wa Kibongo Si Waaminifu Ktk Mahusiano?

Started Sep 21, 2011 0 Replies

Kama kuna hoja inayotawala zaidi kuliko nyingine kwenye blogu na maandiko…

Siasa Kando Kidogo,Tuongelee Mahusiano: Jinsi ya Mwanaume Kudili na "Kubwagwa"

Started Sep 21, 2011 0 Replies

Kama ilivyozoeleka,blogu hii inaelemea zaidi katika masuala ya siasa.Lakini kuna…

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started this discussion. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa…

Gifts Received

Gift

Kulikoni Ughaibuni has not received any gifts yet

Give a Gift

 

Kulikoni Ughaibuni's Page

Latest Activity

favour left a comment for Kulikoni Ughaibuni
"favouryousf@live.comHello my dear how are you. i am Favour. this is very importantplease contact me to my email right now; (favouryousf@live.com)thanks god bless you am waiting to hear from you soonest"
Apr 8
richardngeze replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"Kikwete alikimbilia tu Ikulu bila kujua Ikulu anaenda kufanya nini,yafaa akaogopwa kama ukoma!"
Feb 12
habibu juma liked Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
Dec 19, 2012
john bosco replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"INAONEKANA ALIEANDIKA HIVI NI MWANASIASA ANAEEGAMIA UPANDE FULANI! NA NDO MANA HAKUWEKA JINA!! NA MANENO YAKE NI UCHOCHEZI WA VITA!!!!"
Oct 4, 2012
JERRY replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"HUYO NI CHANGU DOA TU,NI KAMA WALE WANAO JIUZA PALE OHIO"
Sep 11, 2012
Shema Idrisa liked Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
Aug 2, 2012
Dr joseph kingo replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"kuna usemi usemao INZI MKOROFI HUINGIA NA MAITI HADI KABURINI  WAJINGA NDIYO WALIWAO. nafikiri hapa ni hoja ndizo zinazotakiwa lakini matusi na kejeli zina sababu gani hapa??!!!!!"
Jul 5, 2012
lewis juvenary ngirwa replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"wewe ni mjinga ujuhi unachokisema"
Jul 2, 2012
Hudson Madsawe liked Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
Jun 15, 2012
venance vicent liked Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
May 7, 2012
john samwel replied to Kulikoni Ughaibuni's discussion Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"
"Hata ww ni muuaji!!!!! utamtukanaje kiongozi wako na bado anakuongoza? Wewe ni chadema acha ujinga unafki. kawadanganye wachaga!!!!!"
Mar 12, 2012
Cindy J and Kulikoni Ughaibuni are now friends
Feb 18, 2012
Kulikoni Ughaibuni updated their profile
Jan 30, 2012
samora rajab albert commented on Kulikoni Ughaibuni's blog post RAIS KIKWETE AMEFUNGUA MILANGO
"yeah, wasome zinasaidia sana, hongera kwa makala nzuri"
Jan 26, 2012
Kulikoni Ughaibuni's blog post was featured

RAIS KIKWETE AMEFUNGUA MILANGO

Rais Kikwete msibani kwa marehemu Mbunge Regia Mtema.Evarist ChahaliKWA mara ya pili ndani ya takriban kipindi cha wiki moja, Tanzania imepoteza wabunge wawili. Kabla majonzi hayajatuisha kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia CHADEMA, Regia Mtema, taifa likapatwa na msiba mwingine wa Mbunge wa Arumeru Mashariki…See More
Jan 26, 2012
Kulikoni Ughaibuni posted a blog post

RAIS KIKWETE AMEFUNGUA MILANGO

Rais Kikwete msibani kwa marehemu Mbunge Regia Mtema.Evarist ChahaliKWA mara ya pili ndani ya takriban kipindi cha wiki moja, Tanzania imepoteza wabunge wawili. Kabla majonzi hayajatuisha kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia CHADEMA, Regia Mtema, taifa likapatwa na msiba mwingine wa Mbunge wa Arumeru Mashariki…See More
Jan 26, 2012

Profile Information

Name
Kulikoni Ughaibuni
How did you know about Global Publishers
Other websites

Kulikoni Ughaibuni's News

RAIS KIKWETE AMEFUNGUA MILANGO

Posted on January 26, 2012 at 1:30am 1 Comment

Rais Kikwete msibani kwa marehemu Mbunge Regia Mtema.

Evarist Chahali

KWA mara ya pili ndani ya takriban kipindi cha wiki moja, Tanzania imepoteza wabunge wawili. Kabla majonzi hayajatuisha kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia…

Viumbe Hatari Kabisa Duniani, Anayeshika Namba Moja Ni Mbu!

Posted on October 16, 2011 at 12:30am 2 Comments

Simba, Nyati, Faru, Chatu....haya ndiyo majina ya wanyama yanayoweza kukujia akilini pindi ukiulizwa MNYAMA YUPI NI HATARI ZAIDI KWA MWANADAMU. Well, amini usiamini, kiumbe hatari zaidi ni mdogo mara elfu kadhaa akilinganishwa…

Mwezi Kupatwa Leo Usiku na Utaonekana Kama Umemwagiwa Damu

Posted on June 14, 2011 at 3:00am 13 Comments

Wakazi wa Uingereza leo Jumatano watapata fursa ya kuona kupatwa kwa mwezi ambapo mwezi unatarajiwa kugeuka "mwekundu kama damu" kwa takriban dakika 100. Hata hivyo, wanasayansi wa taasisi ya mambo ya anga ya Marekani (NASA) wanaeleza kuwa wakazi wa Ulaya…

Comment Wall (3 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 7:13pm on April 8, 2013, favour said…

favouryousf@live.com
Hello my dear how are you. i am Favour. this is very important
please contact me to my email right now; (favouryousf@live.com)
thanks god bless you am waiting to hear from you soonest

At 8:47am on June 17, 2011, hafidh saleh said said…

yeah ni kweli mwezi ulipatwa,na kiukweli wanasayans wanatisha, ila si ulaya tu kwani hadi bagamoyo 2meuona

 

At 12:57am on November 28, 2010, Kulikoni Ughaibuni said…
Sorry,I'm not interested.
 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Kristina Mauro posted a status
12 seconds ago
GLOBAL posted a blog post
38 seconds ago
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post MADAI MAZITO NISHA AHONGWA NYUMBA
"Lakini Nisha ninayemfahamu mimi ndiye huyu kweli??? Mbona huo unyayo haufanani ni ile passport pale…"
3 minutes ago
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post PROFESA JAY; NA SAKATA LA JIDE VS RUGE
"Big up prof. Kagonge shoo tu usiogope kama hao walionunuliwa na ushomire Ruge!! Kapige shoo tumpe…"
3 minutes ago
Bazil Bushiri (BABU) commented on GLOBAL's blog post Yanga wamwekea ulinzi Haruna Niyonzima
"Ukitaka kwenda ULAYA saini msimbazi, ukitaka kubakia bongo saini kule kwenye mafuriko"
3 minutes ago
Mawazo Katota commented on GLOBAL's blog post ALIYEMKAMATA MLIPUA BOMU KANISANI ANENA MAZITO
"Hakuwa peke yake. Someni anavyotumia nafsi ya wingi. Tuseme wanastahili kupongezwa"
3 minutes ago
LJH_3 commented on GLOBAL's blog post FAMILIA YA RAIS MWINYI MATATANI
"Mbona nyumba ziko nyingi si ukapange kwingine kwanini ung'ang'anie nyumba ya watu,unamtia…"
3 minutes ago
LJH_3 commented on GLOBAL's blog post JE, MAJINI WANAZAA?
"Tena ashindwe kabisa na damu ya Yesu ikuondolee roho hiyo ya kuwasifu hayo mapepo"
3 minutes ago
LJH_3 commented on GLOBAL's blog post MWANA FA AWATAKA WANAUME KUBADILI MTAZAMO KUHUSU FISTULA
"Ndio maana ukaitwa Mwana Falsafa...Hongera sana kwa juhudi hiyo"
3 minutes ago
shabani abdallah nguluko commented on GLOBAL's blog post THE DIRTY GAME (MCHEZO MCHAFU) - 11
"duh hapo ata mm inanichanganya kweli alikufa au,  ngoja ningoje wiki ijayo"
3 minutes ago
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post HUSNA MAULID: SIJAMPA PENZI MWANA FA
"Si unaona tabasamu muruaaaa. Jamaa keshatafuna kitu akatupisa suspenda yake ahha saaaafi"
3 minutes ago
shabani abdallah nguluko commented on GLOBAL's blog post KUMBUKUMBU ZA KWELI ZA MAISHA YA SHIGONGO - 31
"tunangoja wiki ijayo tujuwe itakuweje"
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service