Egla Mamoto
  • Female
  • Dodoma, Tanzania
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook
Share Twitter

Egla Mamoto's Friends

  • Gratious Kimberly(TKN)
  • Zedi
  • Michael Shoo
  • HILAL
  • Remiginatus Emmanuel Malale
  • anitha joseph kafrica
  • daudi kisaka
  • DR.kim
  • sheby
  • Henry Samwel Mgonja
  • CHINU Issa
  • lameck  matonya
  • saleh mohamed
  • KB
  • RAPHAEL MPELI

Egla Mamoto's Discussions

SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA NI MWANZO MZURI,TUMETOKA KWENYE QUANTITY TUNAENDA KWENYE QUALITY.

Started this discussion. Last reply by ɹǝןןǝʌɐɹʇ Dec 22, 2010. 1 Reply

Shule za sekondari za kata ni mwanzo mzuri sana kwani mwanzo ilikuwa ni kutatua tatizo la mfumuko wa wingi wa wanafunzi ambao walikosa shule za kusoma baada ya kumaliza darasa la saba,hilo…

CHADEMA IONYESHE MFANO KAMA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI KWA KUTEKELEZA AHADI MAJIMBONI

Started this discussion. Last reply by James Nov 21, 2010. 1 Reply

Ndugu zangu wa CHADEMA  majimbo mliyopata yanawatosha kbs kuonyesha mfano kwa kutekeleza yote mliyoahidi kama Elimu bure,afya bure,ili basi mtakapokuja kuomba tena kwa mara nyingine kwa wananchi…

CHADEMA WANATAFUTA HURUMA YA WANANCHI KWA NGUVU

Started this discussion. Last reply by James Nov 21, 2010. 1 Reply

KISAIKOLOJIA CHADEMA NI KAMA WAMECHANGANYIKIWA KWA KUTABIRI KITAKACHOWATOKEA 2015,SASA WANABUNI VT AMBAVYO WANANCHI WATAWAHURUMIA,NA HII NINASEMA KWA UHAKIKA KBS KWAMBA KWA STYLE HII NI DHAHIRI…

CHADEMA KUSUSIA SHUGHULI ZA KISERIKALI

Started this discussion. Last reply by James Nov 23, 2010. 4 Replies

INAWEZEKANA CHADEMA WANADHANI NJIA YA KUTATUA TATIZO LA WAO KUTOKUWA NA IMANI NA SERIKALI HII YA SASA NI KWA KUNUNA NA KUSUSIA SHUGHULI ZA KISERIKALI,HILO SI SAHIHI HATA KDG KWA MI NIONAVYO NA PIA…

Gifts Received

Gift

Egla Mamoto has not received any gifts yet

Give a Gift

 

Egla Mamoto's Page

Latest Activity

julius manning left a comment for Egla Mamoto
"happy birthday to you, have a nice day"
Nov 15, 2011
Egla Mamoto updated their profile
Mar 23, 2011
Egla Mamoto updated their profile photo
Mar 23, 2011
Egla Mamoto and Gratious Kimberly(TKN) are now friends
Mar 23, 2011
Egla Mamoto is now friends with Zedi, Remiginatus Emmanuel Malale and lameck matonya
Feb 12, 2011
saleh mohamed left a comment for Egla Mamoto
"POUWA M2 WANGU,NIMEPATA UJUMBE WAKO ILA KWA KIPINDI KIREFU SIKUA HEWANI SO NAOMBA UNISAMEHE KWA KUCHELEWA KWANGU KUKUJIBU."
Jan 28, 2011
Egla Mamoto and Michael Shoo are now friends
Jan 17, 2011
ɹǝןןǝʌɐɹʇ replied to Egla Mamoto's discussion SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA NI MWANZO MZURI,TUMETOKA KWENYE QUANTITY TUNAENDA KWENYE QUALITY.
"Sikubaliani nawe kwa sababu chache: Hizi shule za kata mara nyingi zinakuwa na upungufu wa waalimu mfano kule Morogoro shule ya Mafiga haina mwalimu wa Hesabati. Can you imagine that Maths ni somo muhimu sana na halina waalimu. Utaratibu unao…"
Dec 22, 2010
Kalolo Teddy J. left a comment for Egla Mamoto
"HILO POZI TU!"
Dec 3, 2010
Kalolo Teddy J. left a comment for Egla Mamoto
"Sema mamaaa..! Mzima?"
Dec 3, 2010
Egla Mamoto is now friends with Mr B, HILAL, Focus Kunambi and Mbago Ariano more
Nov 29, 2010
Egla Mamoto is now friends with juma saidi, kaka, moshi mzee and nasser more
Nov 26, 2010
Egla Mamoto commented on GLOBAL's photo
Thumbnail

Aunt Ezekiel

"KAMA MWANAMKE NAJISIKIA AIBU NA NAHISI HILI JAMBO LNAIHITAJI KUKEMEWA SASA ANAKERA SANA."
Nov 25, 2010
James replied to Egla Mamoto's discussion CHADEMA KUSUSIA SHUGHULI ZA KISERIKALI
"Henry, sikua naamanisha wewe, nilikua namjibu Egla. Inaniuma sana napoona mwanafunzi wa chuo anatetea ujinga, bila hii migomo demokrasia ingetoka wapi. Kina Mandela, Martin Luther King , Nyerere... waligoma na ikasaidia sana"
Nov 23, 2010
Egla Mamoto and KB are now friends
Nov 22, 2010
Snave82 commented on Egla Mamoto's blog post SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA NI MWANZO MZURI SANA,TUMETOKA KWENYE WINGI SASA TUJIKITE KWENYE UBORA
"Nakumbuka Mwalimu alishawahi kusema kuna maadui watatu wa nchi hii,, wa kwanza ni UJINGA, wa pili ni UMASKINI na wa tatu ni MARADHI...kwa mikaka ile ya utawala wake tulikua kama nchi, tunapata misaada michache kutoka nchi za kijamaa ikiwemo cuba,…"
Nov 22, 2010

Profile Information

Name
egla mamoto
Your favorite Global Publishers Newspaper and Why ?
nipashe,majira and mwananchi
How did you know about Global Publishers
Friends

Egla Mamoto's Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Egla Mamoto's News

SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA NI MWANZO MZURI SANA,TUMETOKA KWENYE WINGI SASA TUJIKITE KWENYE UBORA

Posted on November 21, 2010 at 8:31pm 1 Comment

Hebu tuanze na hili kwanza ktk yale mazuri niliyowaeleza,ni hv serikali ya ccm imeweza kutatua tataizo kubwa sana la mfumuko wa wanafunzi wanaomaliza drs la saba kwenda sekondari kwa kujitahidi kuwezesha kwa kiasi kikubwa ujenzi wa shule za sekondari kila kata,sasa kilochobaki kwa hii phase ya pili ni KUBORESHA TU....KWA MUENDELEZO HUU TANZANIA TUTAFIKA TU.

Comment Wall (9 comments)

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

At 5:19pm on November 15, 2011, julius manning said…

happy birthday to you, have a nice day

At 11:09pm on January 28, 2011, saleh mohamed said…
POUWA M2 WANGU,NIMEPATA UJUMBE WAKO ILA KWA KIPINDI KIREFU SIKUA HEWANI SO NAOMBA UNISAMEHE KWA KUCHELEWA KWANGU KUKUJIBU.
At 10:42am on December 3, 2010, Kalolo Teddy J. said…
HILO POZI TU!
At 10:42am on December 3, 2010, Kalolo Teddy J. said…
Sema mamaaa..! Mzima?
At 11:08am on November 21, 2010, Flav said…
duh! dada hivi una elimu gani? maana hujui ulisemalo? nakushauri uwahi haraka kujiungga UDSM achana na UDOM hicho ni chuo cha kata kwa waliofeli na wenye mawazo mgando vichwani mwao.Nafikiri waliokushauri hapa wana nia njema na wewe. pole sana ila usihofu tutakusaidia kuelimika ili uwasaidie na wengine waliokuwa kama wewe.
At 1:22am on November 21, 2010, Furahini Kidafuri said…
Mambo?Nimehamia Arusha hivi karibuni.Familia ipo Dar.Bado upo DOM?
At 12:55am on November 21, 2010, Ramadhan Mwaisaka said…
You look GREAT,CONGRATS. Nimehamia Arusha na familia imehamia Bagamoyo!
At 12:06pm on November 18, 2010, Henry Samwel Mgonja said…
nice to meet u also,uko pande zipi za Tanzania ndugu yangu.
At 8:18pm on November 17, 2010, AMOS MATHIAS said…
how are u?
 
 
 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website