Ali Amur Ali has not received any gifts yet
mohamedishekhanimohamedi commented on Ali Amur Ali's video
Jimmy left a comment for Ali Amur Ali
Ali Amur Ali left a comment for Jimmy
Ali Amur Ali posted a status
Jimmy left a comment for Ali Amur Ali
Ali Amur Ali commented on Jimmy's blog post UKUU NA UWEZA WA MUNGU: GALAKSI
Jimmy said… Nakushukuru Ali. nawe poke mkono wa kheri pia. Mungu aendelee kutusaidia ili tujue lile litupasalo hatimeye tunufaike na uzima wake wa milele.
Jimmy said… Ali kwa kweli unanifurahisha sana. Umenikumbusha Ayubu. Unajua alipata mateso na akawa mvumilivu kweli lakini baadaye akaingiwa na mashaka akaanza kunung’unika. Basi Mungu akamwambia hivi:
Ni nani huyu atiaye mashauri giza kwa maneno yasiyo na maarifa. Basi jifunge viuno kama mwanamume, maana nitakuuliza neno nawe niambie. Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? ... ni nani aliyeamurisha vipimo vyake, kama ukijua? .... Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani? ....Au ni nani aliyeifunga bahari kwa milango, ...Nikaiagiza amri yangu; nikaiwekea makomeo na milango, nikasema, utafika mpaka hapa, lakini hutapita, ....Umeyafahamu mapana ya dunia? Haya, sema ikiwa unajua hayo yote..... Je, waweza kuziongoza sayari kwa wakati wake? .... Je, unazijua amri zilizoamriwa mbingu? (Ayubu 38: 1-41; nimenukuu machachemachache).
Kwa hiyo ndugu yangu Ali, ni kweli Mungu ameviwekea vitu sheria navyo vinatii. Isipokuwa kimoja tu ambacho kimekuwa kikikataa kutii; nacho ni sisi wanadamu. Kwa hiyo, ni vema kila mmoja wetu amtafute Mungu kungali mapema.
Biblia inatuambia kuwa: Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo (isipokuwa jina la Yesu). (Matendo ya Mitume 4:12).
Mungu akubariki Ali.
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
chama baby |
| 5 |
Sili Silali |
| 6 |
IL-YA |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
mohd nasser |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Hellen Attarsingh Gupta |
Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
