TUKIO LA AJALI MJINI MOROGORO LEO

Pichani ni matukio ya ajali mbili zilizotokea leo katika mlima wa Fulwe eneo la Mikese mkoani Morogoro zikihusisha mabasi mawili. Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa moja na nusu asubuhi ambayo imelihusisha basi la Takwa lenye namba za usajili T 478 BBJ lililokuwa likitokea Burundi kueleka Dar es Salaam, wakati ya pili ikilihusisha basi la Moro Best lenye namba za usajili T 846 BCU lililopinduka eneo hilo hilo baada ya kukuta lori lenye namba za usajili T 593 AGA limeegeshwa mlimani bila tahadhari. Ajali zote mbili zimetokana na uzembe wa madereva amabapo wa lori aliegesha gari lake juu ya mlima bila kuweka alama yoyote wakati madereva wa mabasi walifika eneo hilo wakiwa katika mwendo kasi na kushindwa kuchukua tahadhari. Watu wapatao 43 wamejeruhiwa na hamna aliyefariki katika ajali hiyo.

  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo
  • photo

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by HenryJrM on February 17, 2012 at 12:13pm

ajali kwa watanzania ni ni tatizo, na hakuna anae jali. wengi tunasingizia madereva lakini sote ni wahusika wa ajali hizo.poleni ndugu zangu God is gud hakuna aliepoteza maisha 

Comment by shaban Nassoro on February 12, 2012 at 3:49pm
Ajali hazitakwisha mpaka watz tutakapokuwa tayari kutii sheria bila shuruti.Madereva huwa makini sana wanapokutana na polisi,iawezekana vipi polisi wawepo kila mahali?
Comment by john on February 12, 2012 at 3:10pm

poleni sana wapendwa mungu mweza wa yote atawaponya haraka iwezekavyo, lakini jamani madereva wetu kuweni makini barabarani

Comment by kaka on February 6, 2012 at 8:00pm

 

ajali za kila siku

Comment by masoud al-harthy on January 8, 2012 at 8:08am

Ajali zitazidi kufatana makosa 2 muhimu sana kitu cha kwanza barabara hazina nafasi ya kuegesha gali kama likiharibika hichi ni kitu ambacho kinasababisha ajali ni makosa makubwa kupaki gali barabarani ..

kitu cha pili uzembe wa madereva kuendesha gali kwa kasi bila kuangalia mbali zaid ili kuona hatari zilizoko mbele ni lazima dereva awe muangalifu zaid na macho yake yaangalie mbali zaid ili aone hatari zilizo mbele yake ili kuwa tayari kusimama kabla ya ajali.speed zina uwa .usitumie sim wakati unaendesha gali uatasababisha vifo vya watu wengi .sim yako sio muhim kuliko roho za watu .dereva weka akili yako barabarani usifikrie mambo mengine kwa usalama barabarani 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website