Started by Hussein Marandu Nov 28, 2012. 0 Replies 0 Likes
MASAHABA WAINGIA UWANJANI:Masahaba wa Imam Hussein(a.s) hawakua watu wa kawaida.Hawa ni masahaba wa Mtume(s.a.w.w),wa Imam Ali(a.s),wapenzi wa Mtume na kizazi chake kilichotoharishwa.Walikua…
Started by Hussein Marandu Nov 27, 2012. 0 Replies 0 Likes
Wasomaji wenye utambuzi,Asalaam alaykum.TUNAPOREJEA kurasa za historia,tarehe 10 Muharram,ni siku ya kipekee isiyo na kifani,siku iliyochana pazia za giza na kuacha nuru kuchomoza na kuwajaza upya…
Started by Hussein Marandu Nov 15, 2012. 0 Replies 0 Likes
TUZIREJESHE AMANA KWA WENYEWE NA TUHUKUMU KWA UADILIFUMwenyezi Mungu anasema:"Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirejeshe amana kwa wenyewe.Na mnapohukumu baina ya watu,basi hukumuni kwa uadilifu.Hakika…
Started by Hussein Marandu Nov 13, 2012. 0 Replies 0 Likes
UTANGULIZI:SIFA zote njema ni zake Mwenyezi Mungu Bwana wa viumbe wote.NAMPENDA Mtume (s.a.w.w) alochaguliwa,na binamu yake Ali(a.s), na wajukuu wake wawili na Fatima Zahraa.WAO ndio AHLUL BAYT ambao…
Comment
Asalaam Aleykum,
Namshukuru mwenyezi mungu kwa kunijalia kuliona kundi na kujiunga ili niweze kupata faida leo hii hapa duniani na kesho akhera Inshaallah!
Comment by Al-Barry on February 25, 2013 at 12:32am
Comment by maryam soud sleiman on February 18, 2013 at 1:44pm s.alaykum ndugu zangu wa kiislam nimefurahi sana kuona hii grp na inshaallah Allah atukupeni kila la kheri,
Comment by Karim Abedi on November 16, 2012 at 2:23pm
Comment by Salim Nassor on November 9, 2012 at 9:49am Assalam alaykum warahmatullahi taala wabaraqatuh.
Comment by Mohammed on September 26, 2012 at 3:35pm Nimejiunganikakuta Segment hii kwa kweli nimeipenda Allah awazidishie vyote mlioko huku Amin
Comment by Hussein Marandu on September 3, 2012 at 3:56pm
Comment by Khadija Ngayonga on August 18, 2012 at 12:57pm
Mama Yako Baada Ya Kifo Chake
Ndugu yangu mpendwa, jua Akurehemu Allaah ya kwamba, hakika kuwatendea wama wazazi wawili hakuishi kwa kifo chao, kwani imepokelewa Hadiyth kutoka kwa Abu Usaydi As-Sa'adiy amesema: "Wakati sisi tuko mbele ya Mtume, mara ghafla akamjia mtu mmoja kutoka kwa Banu Salimah akasema: "Ewe Mtume wa Allaah, je, kumebakia chochote katika wema kwa wazazi wangu wa kuwafanyia baada ya kifo chao? Mtume akasema: ((Ndiyo! Ni kuwaombea rahma kwa Allaah na kuwaombea msamaha na kutekeleza ahadi zao baada yao, na kuunga undugu ambao hauungwi kwa wao, na kuwaheshimu marafiki zao))
Wema kwa wazazi wawili unaendelea katika kizazi cha mwanadamu na kinachofuata baada yake, imepokelewa kutoka kwa Ibn 'Umar, amesema Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ((wafanyieni wema wazazi wenu, nanyi watoto wenu nao watajiheshimu))
Vile vile wema kwa wazazi wawili unazidisha umri (Akipenda mwenyewe Allaah) kwani imepokewa kutoka kwa Sahal bin Mu'aadh, ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Yeyote atakayewatendea wema wazazi wake wawili, kheri nyingi sana ni zake yeye, Allaah Atamzidishia umri wake))
Tunamuomba Allaah Atusaidie kuwafanyia wema wazazi na kuwatii na kuwafanyia Ihsani wakiwa hai na wakiwa wamekufa, na asitufishe isipokuwa pale atakapokuwa Yu radhi na sisi, na tunamuomba Allaah Azishushe Rahma na Baraka na Amani Zake kwa Muhammad na kwa ahli zake na Maswahaba.
Comment by Marlown Mwaisanila on April 5, 2012 at 2:18am | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of UKUMBI WA KISLAMU to add comments!