Information

RISASI

Toa maoni yako kuhusu gazeti letu la risasi

Members: 26
Latest Activity: Apr 5

Discussion Forum

Hongera Gazeti la Risasi

Started by Yohana Mjema Dec 5, 2010. 0 Replies

Hongera gazeti la Risasi pamoja na magazeti yote yanayotolewa wa Global Publishers Tanzania kwa kazi kubwa ya kurekebisha jamii. Wasanii wengi wa Tanzania wakumbuke kuwa wanabahati kwani sio rahisi…

Hongera

Started by Vonostus Thomas Apr 10, 2010. 0 Replies

Kwa ujumla gazeti hili liko bomba ile mbaya hakuna nakala ambayo huwa naikosa, na wakati nilipokuwa safari nilikuwa sikosi kuingia kwenye mtandao huu ili niweze kuona na kusoma. Asante sana GPL

Comment Wall

Comment

You need to be a member of RISASI to add comments!

Comment by Marlown Mwaisanila on April 5, 2012 at 2:08am
hilo kweli risasi maana inavyotumika!
Comment by Austincoll16 on November 8, 2011 at 9:14am
Ilo poa mazee, yaani juu zaidi.
Comment by Waziri87 on May 11, 2011 at 4:18pm
liko poa kinyama yan full kujiacha nalo kila ifkapo j5 & j.moc
Comment by Alice Nyar Manyalla on March 18, 2011 at 12:44pm
Risasi liko juu nalipenda sana.
Comment by Innocent Emmanuel on February 23, 2011 at 12:30am
Nalikubali ile mbayaaaa
Comment by Sebastian Salatiel Shemhilu on January 21, 2011 at 4:02pm
GAZETI HILI NI MAKINI MNO!!!!!TUNAPATA VITU UPDATED
Comment by Pamela Brown on December 14, 2010 at 1:36pm

risasi mpo juu nawapenda tupeni habari za kushiba

Comment by Magreth Ambrose Assey on April 12, 2010 at 11:30am
Jamani mbona Risasi ya jumamosi iliyopita haionekani?
Pls tuambieni tatizo ni nini?
 

Members (26)

 
 
 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website