Tags:
Permalink Reply by sashama abduly on October 18, 2010 at 1:58pm
Permalink Reply by Balbina Joseph on October 28, 2010 at 12:39pm
Permalink Reply by Sarah Samson on October 31, 2010 at 7:47pm
Permalink Reply by Mariana Mlimasunzu on November 17, 2010 at 10:23am
Permalink Reply by Sarah G. Mwaipopo on November 23, 2010 at 3:50pm
Permalink Reply by Esther Mwakitalu on December 13, 2010 at 6:34pm Mwenzetu umenena! ukiacha PAYEE bado kuna ada za vyama vya wafanyakazi, jamani hivi navyo vinakata pesa yetu nyingi sana, hili nalo litazamwe kwa kina. Nimeona wenzetu wa Ghana, mfanyakazi anaponunua kitu / bidhaa dukani anaonesha ID yake anauziwa hitaji lake bila kodi, hii ni kwa sababu anahesabiwa kuwa alishalipa kodi. Hapa kwetu kodi tunayokatwa haileti mantiki maana kila kitu tunalipia kodi, labda ubahatishe kununua gari mara moja kwa miaka minne ndo utapata msamaha.
Permalink Reply by Ben Kasalile on December 16, 2010 at 12:28pm UKIYAWAZA SANA HAYA UNAWEZA KUJIKUTA UNALIA MWENYEWE CHUMBANI. MAUMIVU YA MFANYAKAZI NI MAKALI. KODI YA MFANYABIASHARA AKIFIKISHA MILLIONI 10 KWA MWAKA UJUE HIYO NI BONGE LA BIASHARA INAYOINGIZA MAMILLIONI KWA MWEZI, KUMBE KWA MFANYAKAZI, NI MSHAHARA ULIO CHINI YA MILLIONI MOJA. CHA AJABU SASA, PALE UNAPOFANYA KAZI KWA MWEKEZAJI ALIYESAMEHEWA KODI, WEWE NA TUSENTI TWAKO BADO WANAKUFULIGISA NA BONGE LA KODI, SASA HII NI NINI? KICHEKESHO ZAIDI NI KUWA MSAMAHA WA KODI NI KWA MWEKEZAJI MKUBWA WA NJE TU, WA NDANI HATA AWE NA MTAJI KIASI GANI NI KUKANDAMIZA TU!! JAMANI, HIVI KUUFURAHIA UHURU WAKO MPAKA WOTE TUWE BUNGENI? KWELI NDIYO MAANA KILA MTU ANAOTA KUWA MBUNGE AISEE!
Permalink Reply by Gerad on December 21, 2010 at 12:44pm Mi nafikiri serikali haijaamua kulifanyia kazi hili. Lakini serikali inayojali watu wake inapaswa kutokaa kimya. Wakati umefika wa serikali yetu kuliangalia suala hili kwa upya kwani baadhi ya wafanyakazi wanalipa kodi kubwa hata kuliko wafanyabiashara ambao kipato cha mwezi ni zaidi ya mshahara wake mara tano. kwenye kodi haswa PAYE wafanyakazi wengi ni kweli wanadhulumiwa kabisa na hivyo kushindwa kujiletea mandeleo na kufikia malengo waliokusudia.
Permalink Reply by Sebastian Salatiel Shemhilu on January 24, 2011 at 4:14pm
Permalink Reply by Sarah on February 10, 2011 at 1:55pm matatizo hii its happen to alot people even kaka yangu anafanya kazi monday to sunday kwamshara mdogo . kuna wengi wanahangaika just to supporting there family.. its hard and goverment wanatakiwa wabadilishe ..
Permalink Reply by Sebastian Salatiel Shemhilu on February 24, 2011 at 10:37am | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
chama baby |
| 5 |
Sili Silali |
| 6 |
IL-YA |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
mohd nasser |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Hellen Attarsingh Gupta |
Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
