Tags:
Mwenzetu umenena! ukiacha PAYEE bado kuna ada za vyama vya wafanyakazi, jamani hivi navyo vinakata pesa yetu nyingi sana, hili nalo litazamwe kwa kina. Nimeona wenzetu wa Ghana, mfanyakazi anaponunua kitu / bidhaa dukani anaonesha ID yake anauziwa hitaji lake bila kodi, hii ni kwa sababu anahesabiwa kuwa alishalipa kodi. Hapa kwetu kodi tunayokatwa haileti mantiki maana kila kitu tunalipia kodi, labda ubahatishe kununua gari mara moja kwa miaka minne ndo utapata msamaha.
UKIYAWAZA SANA HAYA UNAWEZA KUJIKUTA UNALIA MWENYEWE CHUMBANI. MAUMIVU YA MFANYAKAZI NI MAKALI. KODI YA MFANYABIASHARA AKIFIKISHA MILLIONI 10 KWA MWAKA UJUE HIYO NI BONGE LA BIASHARA INAYOINGIZA MAMILLIONI KWA MWEZI, KUMBE KWA MFANYAKAZI, NI MSHAHARA ULIO CHINI YA MILLIONI MOJA. CHA AJABU SASA, PALE UNAPOFANYA KAZI KWA MWEKEZAJI ALIYESAMEHEWA KODI, WEWE NA TUSENTI TWAKO BADO WANAKUFULIGISA NA BONGE LA KODI, SASA HII NI NINI? KICHEKESHO ZAIDI NI KUWA MSAMAHA WA KODI NI KWA MWEKEZAJI MKUBWA WA NJE TU, WA NDANI HATA AWE NA MTAJI KIASI GANI NI KUKANDAMIZA TU!! JAMANI, HIVI KUUFURAHIA UHURU WAKO MPAKA WOTE TUWE BUNGENI? KWELI NDIYO MAANA KILA MTU ANAOTA KUWA MBUNGE AISEE!
Mi nafikiri serikali haijaamua kulifanyia kazi hili. Lakini serikali inayojali watu wake inapaswa kutokaa kimya. Wakati umefika wa serikali yetu kuliangalia suala hili kwa upya kwani baadhi ya wafanyakazi wanalipa kodi kubwa hata kuliko wafanyabiashara ambao kipato cha mwezi ni zaidi ya mshahara wake mara tano. kwenye kodi haswa PAYE wafanyakazi wengi ni kweli wanadhulumiwa kabisa na hivyo kushindwa kujiletea mandeleo na kufikia malengo waliokusudia.
matatizo hii its happen to alot people even kaka yangu anafanya kazi monday to sunday kwamshara mdogo . kuna wengi wanahangaika just to supporting there family.. its hard and goverment wanatakiwa wabadilishe ..
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
Dongonyo Juniour |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
kadama J'z |
| 5 |
Ukweli100 |
| 6 |
Quality Centre |
| 7 |
kaka |
| 8 |
lumi mwandelile |
| 9 |
Mawazo Katota |
| 10 |
ANDERSON SOGOLE |