NI MTANDAO GANI WA SIMU ZA MKONONI HAPA NCHINI UNAFURAHIA HUDUMA ZAKE?

Tags: GANI, HAPA, HUDUMA, MKONONI, MTANDAO, NCHINI, NI, SIMU, UNAFURAHIA, WA, More…ZA, ZAKE?

Views: 7326

Reply to This

Replies to This Discussion

zantel

Naipenda Zantel Huduma Zao ni bora Customer Care yao haina mfano Tanzania.

Kaka, uliza huduma za ZANTEL Mwanza! hatuna hamu nayo tenaaaa

Sijaona mtandao unaonifa lakini atleast voda wanavitu visivyofichwa
TTCL was the best in Tanzania

Kwa hii mitandao niijuyo hakuna hata mmoja wenye huduma nzuri yote vimeo tu, sijui kwa hiyo mingine ambayo sijawahi kuitumia kama SASATEL na BENSON

VODACOM

voda com

Hakuna kero kama ZANTEL. Kama muongo watu wa Mwanza wanisaidie. Walitoa huduma bora kuvuta wateja, sasa hivi ni nadhani ndo mtindo wa kutufukuza!

Unaomba msaada customer care, sijui waliyopo wanakuwa kwenye ndoto!!!!! Mdada wale wana shida si bure! Mtu anakwambia eti huduma ya blackberry wamesitisha! Jamani iliwahi kutokea?

Sasa watu wengi wanapigiwa simu, zipo on lakini hazipatikani! Za nini sasa? Hizi lines zao zinatengenezwa na wanafunzi huko china? Ndo niliulizwa na mtu anayewasiliana na mimi! Sasa unanunua bundle za blackberry, unatumia dakika 20 na siku nzima itapita hujapata connection tena! Na ukiwauliza, wanakwambia RIM ndo wana shida! Mbona Tigo, Vodacom, ..... wako sawa? Au kuna RIM ya ZANTEL pekee? Ukiuliza solution unayopata ni uende ofisini wakacheck line yako au ununue bundle ya Internet ya kawaida! Sasa nini jipya tunapata kwao kama si usumbufu! Mbona hata hizo buku buku hazirudishwi?

ZANTEL tutarudi Voda si kitambo!!!!

RSS

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 3 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service