NI MTANDAO GANI WA SIMU ZA MKONONI HAPA NCHINI UNAFURAHIA HUDUMA ZAKE?

Tags: GANI, HAPA, HUDUMA, MKONONI, MTANDAO, NCHINI, NI, SIMU, UNAFURAHIA, WA, More…ZA, ZAKE?

Views: 3642

Reply to This

Replies to This Discussion

VODACOM

vodacom

vodacom.  kazi ni kwako.

A. Tigo mtandao unaokupa zaidi

airtel.

Tigo express yourself

KWANZA NATAKA KUJUWA HUO MTANDAO WA BENSON UMEINGIA LINI NA LINE ZAKE ZINAPATIKANA WAPI

HALAFU BAADA YA HAPO MTANDAO NINAO FURAHIA HUDUMA ZAKE NI, TIGO NA AIRTEL

VODACOM HUDUMA ZAO MBOVU , KWANZA KAMA UNATATIZO KWENYE MASILIANO UKIWAPIGIA SIMU HAO KASTAMA CARE WAO WANAKUJIBU KWA SASA HATUWZI KUONA TATIZO TUPIGIE BAADA YA MASAA 24, SASA HUU NI MTANDAO WA AINA GANI, HALAFU WANAMAJIBU MABOVU KWA WATEJA , UTADHANIA WAO PEKE YAO NDO WAPO HAPA TANZANIA

ukweli hata mimi nasaport majibu ya customer care wa vodacom sio mazuri siwezi kusema kama ni wote lakini mmmh nafikiri baadhi yao hawajasomea kazi zao labda

VODACOM

mitandao yote MIBOVU!!! wanasema ni shilingi moja kwa sekunde lakini sijui saa zao zinahesabu vipi hizo sekunde!!! kama unabisha we set stop watch yako kisha anza kuhesabu muda uliotumia kuongea, KISHA PIGA HESABU YA SEKUNDE ULIZO TUMIA halafu piga hesabu ya shilingi 1 kwa sekunde 1 uone tunavyoibiwa!!!

 

mbaya zaidi jiulize ni WATANZANIA WANGAPI wana simu za mkononi na wanaingiza TSH NGAPI kwa kila sekunde wanazoibwa na mitandao!!

 

wanatangaza ZAWADI kumbe TUNAZICHANGIA wenyewe kadri TUNAVYOSHIRIKI!!!!

 

AMKA MTANZANIA WIZI MTUPU!!!!!!!!!!!!

RSS


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website