NI MTANDAO GANI WA SIMU ZA MKONONI HAPA NCHINI UNAFURAHIA HUDUMA ZAKE?

Tags: GANI, HAPA, HUDUMA, MKONONI, MTANDAO, NCHINI, NI, SIMU, UNAFURAHIA, WA, More…ZA, ZAKE?

Views: 7347

Reply to This

Replies to This Discussion

VODACOM

vodacom

vodacom.  kazi ni kwako.

A. Tigo mtandao unaokupa zaidi

TIGO Mtandao wenye Matangazo Mengi Kama Kituo cha Radio.............! Ni Muhimu Tigo Wakajifunza kutoka AIRTEL

airtel.

Tigo express yourself

KWANZA NATAKA KUJUWA HUO MTANDAO WA BENSON UMEINGIA LINI NA LINE ZAKE ZINAPATIKANA WAPI

HALAFU BAADA YA HAPO MTANDAO NINAO FURAHIA HUDUMA ZAKE NI, TIGO NA AIRTEL

VODACOM HUDUMA ZAO MBOVU , KWANZA KAMA UNATATIZO KWENYE MASILIANO UKIWAPIGIA SIMU HAO KASTAMA CARE WAO WANAKUJIBU KWA SASA HATUWZI KUONA TATIZO TUPIGIE BAADA YA MASAA 24, SASA HUU NI MTANDAO WA AINA GANI, HALAFU WANAMAJIBU MABOVU KWA WATEJA , UTADHANIA WAO PEKE YAO NDO WAPO HAPA TANZANIA

ukweli hata mimi nasaport majibu ya customer care wa vodacom sio mazuri siwezi kusema kama ni wote lakini mmmh nafikiri baadhi yao hawajasomea kazi zao labda

Kuna Mtandao wenye huduma Mbovu kama TIGO.....!!! Utakuta wana Matangazo Kibao na SMS Zisizo na mpango wowote kwa Customers.......Indeed I hate them abinitial. Sometimes Unapiga Mnara Unahama...!! WIZI MTUPU

RSS

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service