Permalink Reply by Denis Luchagula on November 19, 2011 at 9:08am VODACOM
Permalink Reply by festo mshabaha on November 19, 2011 at 4:55pm vodacom. kazi ni kwako.
Permalink Reply by Yusuf Msosa on February 1, 2013 at 9:33am TIGO Mtandao wenye Matangazo Mengi Kama Kituo cha Radio.............! Ni Muhimu Tigo Wakajifunza kutoka AIRTEL
Permalink Reply by janet challo on November 21, 2011 at 2:41pm
Permalink Reply by HAPPINESS MARCEL MASSAWE on November 21, 2011 at 8:44pm KWANZA NATAKA KUJUWA HUO MTANDAO WA BENSON UMEINGIA LINI NA LINE ZAKE ZINAPATIKANA WAPI
Permalink Reply by HAPPINESS MARCEL MASSAWE on November 21, 2011 at 8:45pm HALAFU BAADA YA HAPO MTANDAO NINAO FURAHIA HUDUMA ZAKE NI, TIGO NA AIRTEL
Permalink Reply by HAPPINESS MARCEL MASSAWE on November 21, 2011 at 8:47pm VODACOM HUDUMA ZAO MBOVU , KWANZA KAMA UNATATIZO KWENYE MASILIANO UKIWAPIGIA SIMU HAO KASTAMA CARE WAO WANAKUJIBU KWA SASA HATUWZI KUONA TATIZO TUPIGIE BAADA YA MASAA 24, SASA HUU NI MTANDAO WA AINA GANI, HALAFU WANAMAJIBU MABOVU KWA WATEJA , UTADHANIA WAO PEKE YAO NDO WAPO HAPA TANZANIA
Permalink Reply by peter watoi on February 28, 2012 at 12:26pm ukweli hata mimi nasaport majibu ya customer care wa vodacom sio mazuri siwezi kusema kama ni wote lakini mmmh nafikiri baadhi yao hawajasomea kazi zao labda
Permalink Reply by Yusuf Msosa on February 1, 2013 at 9:31am Kuna Mtandao wenye huduma Mbovu kama TIGO.....!!! Utakuta wana Matangazo Kibao na SMS Zisizo na mpango wowote kwa Customers.......Indeed I hate them abinitial. Sometimes Unapiga Mnara Unahama...!! WIZI MTUPU
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



