Tags: SOKA
Permalink Reply by lumi mwandelile on August 2, 2012 at 9:51am SI HALALI, ANAWEZA ASIFUNGE MABAO AU AKACHEZA CHINI YA KIWANGO
Permalink Reply by GIDEON OSIAH MALABEJA on August 2, 2012 at 9:53am hii siyo halali hata kidogo na inatoa picha kwamba timu hizi mbili zina ushirikiano wa hatari kwa soka la tanzania.wenye akili tulishajua mapema kwani tangazo la kumuuza ngassa lilitoka wakati simba wameshapeleka ofa,halafu dau la simba likatangazwa baada ya yanga kupeleka ofa.halafu kama ni kweli walikuwa wanahitaji timu yenye dau kubwa mbona biashara yenyewe imefanyika haraka haraka,siku tatu tu,hii haingii akilini.Lakini ni hao simba waliokuwa wanamzomea ngassa na kumtuhumu kucheza kinazi,hamuoni kwamba maisha ya ngassa sasa yamo hatarini zaidi kwani kila atakachokifanya kule simba kitaangaliwa kwa historia yake na sio kibinadamu kwamba kuna siku hatakuwa fiti na kucheza chini ya kiwango
Permalink Reply by DAUD SINDIKA on August 2, 2012 at 2:12pm c halali hat kidogo, na nina waswas na akili za viongoz wa simba,ngasa kwa anachoshutumiwa azam n usaliti kwa azam juu ya mapenz na yanga sasa cjui kwa akili ndogo kabsa je simba ndo itampotezea mapenz na yanga? nafikri wanajua wazi hayupo tayari kucheza cmba ko wanamkomesha na kama ndo mapinduz ambayo wadau wamekuwa wakiisifu azam imeyafanya kwa hili nafkiri linawaharibia xan na cshangai ikaja kuwa kam moro united ilivotiksa na sasa kushnei manake nawaona wamelewa xan cfa tena mapema
Permalink Reply by Rehema Mahfudh Ahmed on August 2, 2012 at 2:37pm Rehema Ahmed,
Kitendo hicho si uungwana hata kidogo. AZAM wanajichimbia kaburi lao wenyewe.
Permalink Reply by faisal tamimi on August 2, 2012 at 11:10pm huu ni utumwa mambo leo. kwanini afanyiwe hivvo
Permalink Reply by muhidin mohamed on August 3, 2012 at 10:59am kiu kweli sio halali kwa sababu wakati walipo mtaka kumchukua yanga walienda na wakaa na wakaongea na mchezaji mwenyewe akalidhia kwahiyo kwanini sasahivi wamuuzi ovyo kwa hiyo hilo si halali wakae nakuongea na mchezaji mwenyewe haridhie azam wamekosea
Permalink Reply by NDAUKA the GREAT on August 3, 2012 at 11:53am KWA MTAZAMO WAO WANAONA NI SAHIHI ILA KWA MTAZAMO WA KIMICHEZO SIO SAHIHI HATA KIDOOGO KWA HII NI SAWA NA KUPIGA KISIKI KWA MAKUSUDI!!!
Permalink Reply by LEILA BHANJI on August 10, 2012 at 2:25pm
Permalink Reply by LEILA BHANJI on August 10, 2012 at 2:26pm
Permalink Reply by LEILA BHANJI on August 10, 2012 at 2:28pm
Permalink Reply by Tematema Jeremia on August 16, 2012 at 11:41pm Mfungwa ni mfungwa tu hachagui gereza yeye ni mchezaji hawezi kuchagua mahali pa kuchez hataki aanzishe timu yake mbona hao yanga wamemdharau kwa kutoa dau dogo na sakata lake lilikuwa kabla ya twite tulia dogo cheza mpira ndio ajira yako hiyo achana na tabia za kitoto hawakutaki hao yeboyebo wangekutaka wasingeona ubahili kutoa kitita kikubwa kwakoumefika kwenye klabu ya baba yako acha ujinga
Permalink Reply by David Wagwene on September 13, 2012 at 5:22pm KWA KWELI HAWAKUTENDA HAKI LABDA WANGEMPELEKA YANGA
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
hope |
| 5 |
julius manning |
| 6 |
mayalilwa |
| 7 |
Tatu Majaliwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



