MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake ya Azam, pasipo makubaliano na yeye mwenyewe. Je, kitendo hiki ni cha kiungwana na kinalijenga soka letu? TOA MAONI YAKO TAFADHALI...

Tags: SOKA

Views: 2210

Reply to This

Replies to This Discussion

SI HALALI, ANAWEZA ASIFUNGE MABAO AU AKACHEZA CHINI YA KIWANGO

hii siyo halali hata kidogo na inatoa picha kwamba timu hizi mbili zina ushirikiano wa hatari kwa soka la tanzania.wenye akili tulishajua mapema kwani tangazo la kumuuza ngassa lilitoka wakati simba wameshapeleka ofa,halafu dau la simba likatangazwa baada ya yanga kupeleka ofa.halafu kama ni kweli walikuwa wanahitaji timu yenye dau kubwa mbona biashara yenyewe imefanyika haraka haraka,siku tatu tu,hii haingii akilini.Lakini ni hao simba waliokuwa wanamzomea ngassa na kumtuhumu kucheza kinazi,hamuoni kwamba maisha ya ngassa sasa yamo hatarini zaidi kwani kila atakachokifanya kule simba kitaangaliwa kwa historia yake na sio kibinadamu kwamba kuna siku hatakuwa fiti na kucheza chini ya kiwango

c halali hat kidogo, na nina waswas na akili za viongoz wa simba,ngasa kwa anachoshutumiwa azam n usaliti kwa azam juu ya mapenz na yanga sasa cjui kwa akili ndogo kabsa je simba ndo itampotezea mapenz na yanga? nafikri wanajua wazi hayupo tayari kucheza cmba ko wanamkomesha na kama ndo mapinduz ambayo wadau wamekuwa wakiisifu azam imeyafanya kwa hili nafkiri linawaharibia xan na cshangai ikaja kuwa kam moro united ilivotiksa na sasa kushnei manake nawaona wamelewa xan cfa tena mapema

Rehema Ahmed,

Kitendo hicho si uungwana hata kidogo. AZAM wanajichimbia kaburi lao wenyewe. 

huu ni utumwa mambo leo. kwanini afanyiwe hivvo

kiu kweli sio halali kwa sababu wakati walipo mtaka kumchukua yanga walienda na wakaa na wakaongea na mchezaji mwenyewe akalidhia kwahiyo kwanini sasahivi wamuuzi ovyo kwa hiyo hilo si halali wakae nakuongea na mchezaji mwenyewe haridhie azam wamekosea

KWA MTAZAMO WAO WANAONA NI SAHIHI ILA KWA MTAZAMO WA KIMICHEZO SIO SAHIHI HATA KIDOOGO KWA HII NI SAWA NA KUPIGA KISIKI KWA MAKUSUDI!!!

wao wanaona ni sawa kumchukua lakini wanatakiwa wajue kuwa ni kosa ni kubwa sana kimichezo,
wao wanaona ni sawa kumchukua lakini wanatakiwa wajue kuwa ni kosa ni kubwa sana kimichezo,
hivi ingekuwa wao ndo wamefanyiwa hivyo ingekuwaje au wangejisikiaje kiubinadamu tu, maana watakuja kutwangana halafu iwe tabu.

Mfungwa ni mfungwa tu hachagui gereza yeye ni mchezaji hawezi kuchagua mahali pa kuchez hataki aanzishe timu yake mbona hao yanga wamemdharau kwa kutoa dau dogo na sakata lake lilikuwa kabla ya twite tulia dogo cheza mpira ndio ajira yako hiyo achana na tabia za kitoto hawakutaki hao yeboyebo  wangekutaka wasingeona ubahili kutoa kitita kikubwa kwakoumefika kwenye klabu ya baba yako acha ujinga 

KWA KWELI HAWAKUTENDA HAKI LABDA WANGEMPELEKA YANGA

RSS

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service