kiukweli mi siwalaumu sana hata hivyo wanajitahidi sana wasanii wetu kinachotakiwa ni kuwapa moyo. nyongeza yangu katika mada hii ni hii: naomba watanzania tukipende na kukitukuza kiswahili chetu tusishoboke sana na lugha za watu, nawapa big up sana wasanii ambao huwa wanapenda kuongea kilugha cha kwao katika muvi zetu hongereni sana. kuongea kiingereza haimaanishi kuwa umeelimika sana, je hamjui kuwa hata kiswahili ni moja ya lugha za kimataifa? sasa kwa nini tuendelee kupenda lugha moja tu na kuitukuza? tunarudi utumwani bila pingu wala kengere. tupende na kuenzi vilivyo vyetu. hata kama mombo haipandi gonga tu swahili hutachekwa atayekucheka anatakiwa tiba tena ya muda mrefu.
Tatizo bado tunasumbuliwa na ka-ulimbukeni, mi nawashauri wasanii waweke hizo tafsiri kwa kiswahili. jamani hatuoni wenzetu wachina na wahindi. fulu kikwao na picha zao kila kukicha mnazinunua je! mnaelewa na kichina? kihindi je? nazifagilia sana jamii hizi mbili za hawa wenzetu na wengine waenzio vyao. lakini sisi mh. sijui ni sifa au, utakuta kionngozi anatuhutubia sisi walima pilipili ambao lugha hiyo hatukujaaliwa lakini anamwagika kidhungu sasa ............... jamani
Nina hasira ila nimechoka kuongea
Tags:
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
chama baby |
| 5 |
Sili Silali |
| 6 |
IL-YA |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
mohd nasser |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Hellen Attarsingh Gupta |
Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
