Tags:
Permalink Reply by zepporah on February 3, 2011 at 5:22am
Permalink Reply by Phinehas Rishiansia Kileo on April 12, 2011 at 5:29pm Kama ilivyo kawaida elimu ya secondari ni elimu ya juu, ni lazima kuwe na msingi mzuri kwa wote wanaochaguliwa kujiunga na elimu hiyo, pia kuweko na mitihani ya kupima na kuwavusha wateuliwa kutoka hatua moja kwenda nyingine.
Kinachofanyika sasa hivi ni kumba kumba, ili mradi shule za kata zijae watu, amefaulu hakufaulu twende, mitihani yote ya kupima wanafunzi imefutwa, na nilishawahi kumsikia waziri wa elimu akitangaza kuwa sasa elimu ya msingi ya Tanzania ni Kidato cha nne (Pofessor Huyo!!!!!) uliyasikia wapi hayo? Wewe ungeburuzwa hivyo ungekuwa poffessor? Wamebakiza mtihani wa NECTA ambao ni kipimo cha mwisho, mnategemea nini? kama siyo 0++Wizara ya elimu jirekebisheni na kwa hilo wala msimtafute mchawi!
Permalink Reply by Sware on April 10, 2012 at 12:29am Hey frinds my name is faker people gived me that name in american her home if you know you like sex chat with me hooooooooooooooooola
Permalink Reply by Alex D Nyagalu on November 14, 2011 at 4:06pm
Permalink Reply by Alfred uisso on November 23, 2011 at 5:28pm mimi naona wanfunzi hatupo serious, kwasababu tunafundishwa na walimu walikopwa, lugha nayo inatuchanganya, wate tulaumiwe, serikali na wanafunzi.
Permalink Reply by apolinary mtamelo on February 15, 2012 at 11:19am yap,,,,kwa hali inavyoendelea vitu hivi viwili vinachangia kwa umoja,,,yaani wanafunzi na balaza la mitihani,,,,,kwa upande wa wanafunzi ni dhahiri kabisa kuwa hawapo sirious katika masomo yao kwani baadhi yao wengi wamekuwa wakijitumbukiza katika mambo ya anasa wakiwa bado ni wadogo mno,,hivyo kuwafanya kupoteza muda wao mwingi katika kufanya takataka na kusahau nini lengo lao. Pia poor policy za serikali nzao zinachangia sana kuzoletesha elimu ya Tanzania kutokana na usumbufu ambao wanaupata kutokana na uwingi wa wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi secondary mpaka vyuo, kwa mfano inahofu jinsi ya kuwasomesha wakati taifa lipo duni kuchumi, na ndo maana migomo haishi ncini kwetu,,,,,,kwa hiyo me nadhani kuwa wanafunzi waongeze bidii zaid katika masomo yao ili serikali ishindwe mahala pa kuwaonea.
Permalink Reply by Nehemia mathias on February 16, 2012 at 1:25pm
Permalink Reply by dickson gideon best on March 26, 2012 at 2:57pm daaah..wadogo zetu nowdayz awasomi kabisa so mambo lazima yawe magumu kwao..bt wizara nao wajipange kuinua elimu yetu.
Permalink Reply by David Wagwene on September 13, 2012 at 5:41pm MIMI NAFIKIRI WIZARA YA ELIMU IKOMAE KATIKA KUHAKIKISHA INAONGEZA SHULE KADIRI IWEZAVYO NA HIYO ITASAIDIA SANA KUEPUSHA TATIZO LA USAFIRI KWA WANAFUNZI MAANA SHULE ZITAKUWA KARIBU.PIA KUHAKIKISHA INABADILI UFAULU WA WANAOPASWA KWENDA KUSOMEA UALIMU BADALA YA DIV 4.28 IWE KWA WALE WENYE KUANZIA DARAJA LA 1HADI LA3 HIYO ITAPELEKEA KUPATA WALIMU BORA NA SI BORA WALIMU.
Permalink Reply by David Wagwene on September 13, 2012 at 5:51pm NA HIYO IAMBATANE NA KUWAWEKEA WALIMU MAZINGIRA YA KUVUTIA KAMA KUWAONGEZEA MISHAHARA NA PENGINE KUWAJENGEA MAKAZI NA MABORESHO HAYO YAWE MARADUFU KWA WANAOENDA KUFANYA KAZI VIJIJINI.HII ITAPELEKEA WALIMU KUVUTIKA KWENYE HIYO FANI NA HIVYO TATIZO LA UPUNGUFU WA WALIMU LITABAKI HISTORIA.
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
julius manning |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
WAKALI HAWA WA HIP HOP KUFANYA MAKAMUZI YA HATARI DAR LIVE J'MOSI HII Wasanii wanaotamba…
See More
Halima Kimoto commented on GLOBAL's blog post BREAKING NEWS: MTWARA KIMENUKA
LJH_3 commented on GLOBAL's blog post The End of Torture (Mwisho wa Mateso) - 28
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post MAJAMBAZI YAVAMIA GARI NA KUPORA FEDHA JIJINI DAR
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post UPDATES KUTOKA MTWARA
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post MCHUNGAJI ALITAKA PENZI BILA KINGA MWANDISHI WETU, MOSHI© 2013 Created by Global Publishers.



