hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Tags:
Permalink Reply by Musty Peter on August 4, 2011 at 12:08pm
Permalink Reply by Aggrey on February 23, 2012 at 9:16am Kwa mtazamo wangu mimi kwasababu cjui tume iliyoongoza uchaguzi huo kwamba ilikuwa na nia gani hasa coz inavyoonekana wako kwa ajili ya interest za CCM maana huwezi badili eneo la uchaguzi na uache kuwafahamisha wagombea WOTE au kuwawahisishia wengine taarifa na wengine kuwacheleweshea maana kwa busara za kawaida kabisa kwa sababu tume ndo ilibadili eneo hilo pengine kwa makusudi wanayofahamu wao ilipaswa kumsubiri mgombea yeyote ambaye hajafika kwasababu wao ndio waliobadilisha eneo la uchaguzi INGEKUWA AMECHELEWA KWENYE ENEO LA MAKUBALIANO YA AWALI HAPO SAWA nakitendo cha jeshi la polisi kumnyima mgombea haki ya kuomba kura kama haki yake ya msingi kinaonyesha kuwa ishu hii ilipangwa kumyima mgombea wa chadema haki yake.......MIMI NAILAUMU MOJA KWA MOJA TUME HIYO YA UCHAGUZI WA UMEYA NA JESHI LA POLISI.
Permalink Reply by Nyika Laizer on October 11, 2011 at 3:24pm Nnashangaa sana hasa kwa wewe uliyeandika threat hii,
Kwani kwa akili yako ya kawaida kabisa achana na kisomo ulichopata unafikiri nani yuko sahihi! Au ulikuwa na mantiki gani ulivyoandika threat hii.
Jadilini vitu ambavyo haviko bayana ndo watu watachangia kwa kuumiza vichwa lakini c kwa swala la Arusha coz everybody knows who is the right winner in Arusha City.
Kidumu chama Cha demokrasia na Maendeleo CDM
Permalink Reply by Gysper on October 12, 2011 at 7:21am Teh teh kuuliza sio ujinga ndugu yangu.
lakini kwani nikikuuliza wewe nani alikuwa mshindi utanijibu nani 'just jibu moja tu CCM or chadema' sitaki maelezo mengi!
Permalink Reply by Nyika Laizer on October 12, 2011 at 10:08am
Permalink Reply by Gysper on October 15, 2011 at 7:06pm
Permalink Reply by Alfred uisso on November 23, 2011 at 5:36pm chadema ni sahihi kabisa, ila ccm ndio king'ang'anizi!!
Permalink Reply by Ally Jumanne on December 10, 2011 at 3:04pm Chama wapo sahihi kwa masilahi ya wananchi wake tofaut ya ccm gamba limetawala na kusahau wayu wake wanateseka
Permalink Reply by Gysper on December 13, 2011 at 9:07am teh teh lakini Lema amewakazia buti sana kama angekuwa mbunge mwingine lelemama natumai angekubali kushindwa, ...
Permalink Reply by hand samwel on February 19, 2012 at 1:01pm havari yako!!
mi nafikiri chadema walikuwa sahihi zaid ingawa mchezo mchafu ulichezeka pale mpaka CCM wakashindwa
kwa kweli hawa CCM inabidi tufanye kila njia kuwaondosha kabisa hawana maana kabisa
Permalink Reply by Jamal amor on May 8, 2013 at 10:44am
Permalink Reply by Jamal amor on May 9, 2013 at 8:48am | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 13 hours ago. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



