hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Views: 1723

Reply to This

Replies to This Discussion

Kwa mtazamo wangu mimi kwasababu cjui tume iliyoongoza uchaguzi huo kwamba ilikuwa na nia gani hasa coz inavyoonekana wako kwa ajili ya interest za CCM maana huwezi badili eneo la uchaguzi na uache kuwafahamisha wagombea WOTE au kuwawahisishia wengine taarifa na wengine kuwacheleweshea maana kwa busara za kawaida kabisa kwa sababu tume ndo ilibadili eneo hilo pengine kwa makusudi wanayofahamu wao ilipaswa kumsubiri mgombea yeyote ambaye hajafika kwasababu wao ndio waliobadilisha eneo la uchaguzi INGEKUWA AMECHELEWA KWENYE ENEO LA MAKUBALIANO YA AWALI HAPO SAWA nakitendo cha jeshi la polisi kumnyima mgombea haki ya kuomba kura kama haki yake ya msingi kinaonyesha kuwa ishu hii ilipangwa kumyima mgombea wa chadema haki yake.......MIMI NAILAUMU MOJA KWA MOJA TUME HIYO YA UCHAGUZI WA UMEYA NA JESHI LA POLISI.

Nnashangaa sana hasa kwa wewe uliyeandika threat hii,

Kwani kwa akili yako ya kawaida kabisa achana na kisomo ulichopata unafikiri nani yuko sahihi! Au ulikuwa na mantiki gani ulivyoandika threat hii.

Jadilini vitu ambavyo haviko bayana ndo watu watachangia kwa kuumiza vichwa lakini c kwa swala la Arusha coz everybody knows who is the right winner in Arusha City.

Kidumu chama Cha demokrasia na Maendeleo CDM

Teh teh kuuliza sio ujinga ndugu yangu.

 

lakini kwani nikikuuliza wewe nani alikuwa mshindi utanijibu nani 'just jibu moja tu CCM or chadema' sitaki maelezo mengi!

CHADEMA
kama chadema alishinda kwanini diwani ni wa CCM????

chadema ni sahihi kabisa, ila ccm ndio king'ang'anizi!!

Chama wapo sahihi kwa masilahi ya wananchi wake tofaut ya ccm gamba limetawala na kusahau wayu wake wanateseka

teh teh lakini Lema amewakazia buti sana kama angekuwa mbunge mwingine lelemama natumai angekubali kushindwa, ...

havari yako!!

mi nafikiri chadema walikuwa sahihi zaid ingawa mchezo mchafu ulichezeka pale mpaka CCM wakashindwa

kwa kweli hawa CCM inabidi tufanye kila njia kuwaondosha kabisa hawana maana kabisa

RSS


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website