Tags:
Tatizo ni lile lile, fikra mgando kwamba kila kitu lazima aje mwekezaji ndo mambo yaende,ona sasa yanayotokea. Mwekezaji kapewa hajali hata kufanya survey kuweza ku-anticipate ni wapi panaweza kutokea tatizo katika mfumo mzima wa reli.
Mwekezaji mara zote ana lengo moja tu akilini,kutengeneza faida na sio kujali na kuhakikisha miundo mbinu iko sawa.
Hivi shida yetu siku hizi nini jamani! mbona mkoloni aliwatumia babu zetu kiujenga hiyo reli ambayo tunatumia hadi sasa,sisi tunashindwa nini kama sio kithibitisho kuwa kuna matatizo ya kimaono kwa viongozi wetu.
Leo ni mvua, kesho itakuwa ni moto na wala hakuna hata hatua zinachukuliwa kumhakikishia msafiri wa hiyo reli kuwa likitokea la kutokea kua maandalizi ya kutatua tatizo haraka!
Kama mkoloni aliweza sisi tunashindwa nini kujenga nyumba yetu wenyewe katika kipindi hiki tunasema tuko huru na tekinolojia inatusaidia?
Mimi naona kuna shida hapo ya umbali kati ya wanaojiita viongozi na wanachi kufikia kiasi cha wao kushindwa kuwashawishi watu kufanya jambo kwa manufaa ya taifa zima. Na ukiona hivyo ujue tunakoelekea sio kwema sana.
Mungu ibariki Tanzania.
Permalink Reply by mtebwematefya mohamed matefya on March 30, 2011 at 12:24am
Permalink Reply by nasser on June 8, 2011 at 11:53pm WAKINA JAKAYA KIKWETE WANATAKA KURA TU HAKUNA KINACHOFANYIKA
Permalink Reply by ɹǝןןǝʌɐɹʇ on August 18, 2011 at 9:42pm Ndege ilikuwa inayomilikiwa na Serikali ya Kenya hadi Aprili 1995, na ili binafsishwa mwaka 1996, kuwa Shirika hilo kwa sasa ni la ushirikiano wa serikali na sekta binafsi. Mbia mkubwa ni KLM (26%), ikifuatiwa na Serikali ya Kenya, ambayo ina hisa 23% na wamiliki binafsikama Nairobi Stock Exchange, Dar-es-Salaam Stock Exchange, na Uganda Securities Exchange.Kwa hali hii KLM hatokubali watu wale tu. wabia binafi watakuwa macho. Lakini Reli ya kati pamoja ma makampuni mengine yana milikiwa na serikali.... Hivi ni KULA KULA KULA KULA LAKINI usionwe na wengi wanaoshika ngazi za juu wanacheza kiwanja kimoja.
Na kama tutataka kubinafsisha basi ubinafsishaji uwe na watu wanao eleweka mfano mwaka 2007 mkataba RITES Ltd. ya india kuendesha reli hiyo serikali ikawa na hisa ya 46%. Its just crazy watu wa serikalini. Kuna watu ambao hawana viwango na uwezo wa kundesha kampuni katika nchi yetu. Arrrrgh na pata vidonda vya tumbo!
Kwa nini wawe na uchungu wakati wenyewe wanatumia magari ya serekali. Sijui wanaotumia usafiri huo. Zingatia pia kupanda kwa bei ya vitu kwa mikoa ya Singida, shinyanga, Mwanza, Bukoba na kigoma ni kutokana na usafirishaji kuwa aaghari. Kama kweli viongozi wetu wangekuwa na uchungu na raia wenye hali duni wangetengeneza reli kurahisisha usafiri. Sasa kubwa ni kwamba viongozi wana biashara ya malori treni likipona watakosa biashara ndio maana hawapendi kutengeneza reli.
Permalink Reply by Daniel Sanga on April 12, 2012 at 3:25pm hawawajibishe wahucka
Permalink Reply by Daniel Sanga on April 12, 2012 at 3:21pm hapana mi naona hawana uchungu,na wala hawana mwelekeo wakuwa na uchungu hivyo basi watanzania ni wakati wa kufunguka hawa jamaa waachie dola 2015,ili wachukue wale wenye uchungu na wananchi wao,
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
chama baby |
| 5 |
Sili Silali |
| 6 |
IL-YA |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
mohd nasser |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Hellen Attarsingh Gupta |
Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
