Tags:
Tatizo ni lile lile, fikra mgando kwamba kila kitu lazima aje mwekezaji ndo mambo yaende,ona sasa yanayotokea. Mwekezaji kapewa hajali hata kufanya survey kuweza ku-anticipate ni wapi panaweza kutokea tatizo katika mfumo mzima wa reli.
Mwekezaji mara zote ana lengo moja tu akilini,kutengeneza faida na sio kujali na kuhakikisha miundo mbinu iko sawa.
Hivi shida yetu siku hizi nini jamani! mbona mkoloni aliwatumia babu zetu kiujenga hiyo reli ambayo tunatumia hadi sasa,sisi tunashindwa nini kama sio kithibitisho kuwa kuna matatizo ya kimaono kwa viongozi wetu.
Leo ni mvua, kesho itakuwa ni moto na wala hakuna hata hatua zinachukuliwa kumhakikishia msafiri wa hiyo reli kuwa likitokea la kutokea kua maandalizi ya kutatua tatizo haraka!
Kama mkoloni aliweza sisi tunashindwa nini kujenga nyumba yetu wenyewe katika kipindi hiki tunasema tuko huru na tekinolojia inatusaidia?
Mimi naona kuna shida hapo ya umbali kati ya wanaojiita viongozi na wanachi kufikia kiasi cha wao kushindwa kuwashawishi watu kufanya jambo kwa manufaa ya taifa zima. Na ukiona hivyo ujue tunakoelekea sio kwema sana.
Mungu ibariki Tanzania.
Permalink Reply by mtebwematefya mohamed matefya on March 30, 2011 at 12:24am
Permalink Reply by nasser on June 8, 2011 at 11:53pm WAKINA JAKAYA KIKWETE WANATAKA KURA TU HAKUNA KINACHOFANYIKA
Permalink Reply by TɹAVELLER on August 18, 2011 at 9:42pm Ndege ilikuwa inayomilikiwa na Serikali ya Kenya hadi Aprili 1995, na ili binafsishwa mwaka 1996, kuwa Shirika hilo kwa sasa ni la ushirikiano wa serikali na sekta binafsi. Mbia mkubwa ni KLM (26%), ikifuatiwa na Serikali ya Kenya, ambayo ina hisa 23% na wamiliki binafsikama Nairobi Stock Exchange, Dar-es-Salaam Stock Exchange, na Uganda Securities Exchange.Kwa hali hii KLM hatokubali watu wale tu. wabia binafi watakuwa macho. Lakini Reli ya kati pamoja ma makampuni mengine yana milikiwa na serikali.... Hivi ni KULA KULA KULA KULA LAKINI usionwe na wengi wanaoshika ngazi za juu wanacheza kiwanja kimoja.
Na kama tutataka kubinafsisha basi ubinafsishaji uwe na watu wanao eleweka mfano mwaka 2007 mkataba RITES Ltd. ya india kuendesha reli hiyo serikali ikawa na hisa ya 46%. Its just crazy watu wa serikalini. Kuna watu ambao hawana viwango na uwezo wa kundesha kampuni katika nchi yetu. Arrrrgh na pata vidonda vya tumbo!
Kwa nini wawe na uchungu wakati wenyewe wanatumia magari ya serekali. Sijui wanaotumia usafiri huo. Zingatia pia kupanda kwa bei ya vitu kwa mikoa ya Singida, shinyanga, Mwanza, Bukoba na kigoma ni kutokana na usafirishaji kuwa aaghari. Kama kweli viongozi wetu wangekuwa na uchungu na raia wenye hali duni wangetengeneza reli kurahisisha usafiri. Sasa kubwa ni kwamba viongozi wana biashara ya malori treni likipona watakosa biashara ndio maana hawapendi kutengeneza reli.
Permalink Reply by Daniel Sanga on April 12, 2012 at 3:25pm hawawajibishe wahucka
Permalink Reply by Daniel Sanga on April 12, 2012 at 3:21pm hapana mi naona hawana uchungu,na wala hawana mwelekeo wakuwa na uchungu hivyo basi watanzania ni wakati wa kufunguka hawa jamaa waachie dola 2015,ili wachukue wale wenye uchungu na wananchi wao,
Permalink Reply by mayalilwa on September 7, 2012 at 6:18am Wanasiasa wapo wengi tu ila wanadhibitiwa, mnakumbuka zengwe alilopandikiziwa mzee wetu SALIM AHMED SALIM katika kinyang'anyiro cha nani ateuliwe kupitishwa katika nafasi ya kugombea nafasi ya urais toka ndani ya chama tawala mwaka 2005?
Permalink Reply by David Wagwene on September 13, 2012 at 5:30pm KUSEMA UKWELI INAHUZUNISHA KUONA VIONGOZI WETU HAWANA UCHUNGU NA WANANCHI WANAOSAFIRI KUPITIA RELI YA KATI.NAFIKIRI YOTE HII INATOKANA NA KWAMBA WAO SIO WAHANGA.NAWASHAURI WABADILIKE.
Permalink Reply by Valentine Joachim Muhe on October 2, 2012 at 9:24pm | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
julius manning |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for kihongosi joel
tina babi left a comment for Josephat william
tina babi left a comment for Mzee kimolodeaf
tina babi left a comment for Innocent Kalolo
tina babi left a comment for thomas kabutta
tina babi left a comment for kevin robert© 2013 Created by Global Publishers.



