Tags:
hata mimi nakuunga mkono...i'm a translator by profesional.......sherryrosey@gmail.com
Permalink Reply by Kumsombwe Kutalii on March 21, 2011 at 8:35pm
Permalink Reply by Richard Aggrey Kasela on August 18, 2011 at 3:29pm Jamani wabongo tukae tukijua fani ya filamu TUNACHEMSHAA,mimi nitazungumzia upande mmoja ambao labda watayarishaji hawaoni umuhimu wake lakini tafsiri yake ni sawa na kumwonyesha mtu anayelia wewe ukatafsiri kuwa anacheka........Je, hapo hatuoni upotoshaji wa 'theme' za filamu zetu?
Nazungumzia TRANSLATIONS zinazofanyika katika baadhi ya filamu zetu za kibongo....ni aibu.....sijui hakuna editing baada ya kumaliza kutayarisha hizo filamu kabla ya kuzipeleka sokoni au niwe na wasiwasi na uelewa wa LUGHA inayotumiwa hasa UWEZO WA TRANSLATORS.Jamani, TAFSIRI za filamu hizo zinavyokosewa!
Kama lengo ni kuziingiza filamu zetu kwenye soko la dunia BADO kuna KAZI KUBWA ya kufanya,tafadhalini lugha ya kiingereza ni lugha ya kimataifa,tafuteni watu wanaoweza kutafsiri filamu zenu kwa usahihi na kama hilo ni gharama,tumieni lugha yetu tu ya kiswahili JAPO nayo mnaichakachua kwa kuizidishia kuiremba na kuiwekea viimbo vya kiingereza!!!
It not too late,just pull up your stockings,you are working hard,yes, kasoro ni hiyo tu.
Achaneni na translations za 'word to word' na zile za 'kihindi'...............
Permalink Reply by Annie Sexy on September 9, 2011 at 5:14pm
Permalink Reply by Halifa Rama on November 20, 2011 at 4:08pm
Permalink Reply by Simoma on March 26, 2012 at 2:51am Kwanza nawapongeza kwa hapa walipofikia,ninacho waomba waachane na kitu umimi na wafanye kazi ya fani, ili movies au michezo ipendeze lazima ushilikiano kati ya mtunzi na muogozaji pamoja na wasanii na yule mtu wa mwisho Ambae ni mzalishaji (producer) lakini hao watu wote niliowataja usije ukashangaa akawa mtu moja, na hana hata msaidizi, sina utalaam wa mambo ya film lakini ni mfatiliaji kidogo wa movie, lazima kugawana kazi, kama wanavyofanya mastaa wakubwa, kimfano wa "Kingi of Bollywood Shahrukh Khan" walivyo gawana kazi na mkewe Gaur Khan.
Permalink Reply by Brian Timboi on April 23, 2012 at 8:20pm I also offer to chip in a hand of help, yeah the subtitle translation is a bit wanting i have seen it in most movies
Permalink Reply by jojoz on June 3, 2012 at 7:06pm hawa wapuuzi wanafanya watu kama sisi tusiangalie hizi snema zao hata kwa dakika 2.C JAWAHI KUANGALIA MOVIE YA KIBONGO sababu ni kinyaaa.kwa tatizo hilo msiwashangae kwani wanatumia goole translation!111
Permalink Reply by sada pravin on June 10, 2012 at 12:51am hahahahahahahahaha haya bhana
Permalink Reply by Jerry Popo on July 6, 2012 at 10:56pm Ni ushamba umewazidi
Permalink Reply by Harieth George on July 29, 2012 at 2:21pm Poa congrats kwa kipaji
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




