Kwa

  1. Mizengo P. Pinda, Prime Minister, United Republic of Tanzani
  2. Bruce Rastetter, co-founder and Managing Director, AgriSol Energy
  3. Russell Stidolph, co-founder and Managing Director, AgriSol Energy
  4. Blake Franklin, co-founder and Managing Director, AgriSol Energy
  5. Iddi Mohammed Simba, Chairman, AgriSol Energy Tanzania
  6. Bertram Eyakuze, co-founder, Serengeti Advisers
  7. Peter Halloran, Managing Director, Pharos Ag Fund

 

Yah: Tunawaomba kusitisha kuwahamisha watu 162,000 nchini Tanzania


Ndugu Waheshimiwa
Hivi karibuni nime kuwa na ufahamu wa mipango mikubwa kwa ajili ya manunuzi makubwa ya ardhi katika Tanzania na  Kampuni ya nishati ya AgriSol. Ardhi hii inayouzwa ina ukubwa  ekari 800,000 (325,000 ha) ambapo itajumuisha kufukuzwa kwa watu wanaoishi katika makambi ya wakimbizi wawili wa zamani. Wakati biashara hii ya kilimo imehalalishwa kama jitihada za kukuza usalama wa chakula katika Tanzania, hofu yangu ni  kwamba badala ya kuleta manufaa  itakuwa ni kinyume chake.itakuwa. Tafadhali wahusika wote pamoja na waliotajwa hapo juu msitishe  mpango huu. Kufukuzwa kwa wakazi wa sasa wa  sehemu hizo kwa ajili ya biashara hii  kutahatarisha maisha ya watu zaidi ya 160,000, lakini tishio la usalama wa chakula halitakuwa limetatuliwa. Pendekezo lako la mkakati mpya litasababisha utumiaji wa mbegu zisizo asilia ‘new genetically modified organisms’ (GMOs)  Utumiaji wa mbegu hizi (GMOs) katika Tanzania zitaleta madhara badala ya faida (usalama wa chakula) GMOs hi hatari zinaweza kutishia viumbe hai na kujenga utegemevu wa mbegu mpya kutoka nje ya nchi na kufanya wakulima wadogo kutoweza kumudu. Nina  wasiwasi pia kuwa sehemu ya mradi huo utatumika  kuzalisha nishati ya mimea (biofuel), hali ambayo itasababisha  kupunguza kiasi cha ardhi ambayo ingetumika kwa ajili kilimo cha chakula. Mradi huu unatishia maisha ya watu ambao kwa sasa wanaishi katika ardhi hiyo pamoja usalama wa chakula kwa ujumla kwa hali hiyo mradi huu siyo halali. Hofu yangu ni kuwa mradi huu utaruhusiwa utasababisha uharibifu wa sheria za umilikaji wa ardhi katika Tanzania ikiwa ni pamoja na kuhatarisha usalama wa chakula.

Nawasihi wadau wahusika kusitisha mradi huu!

 

Wako mtiifu

NB Tafadhani BONYEZA HAPA ili kupaza sauti yako kuzuia mradi huu usiyo na faida kwa Tanzania! Mradi huu utaharibu ardhi na kuleta  mbegu za GMO  ambazo hata Ulaya zinapigwa marufuku.  Malalamiko au petition kwa jina la kigeni ni haki ya kila binadamu kuhoji au kulalamikia dola kusitisha kitu chochote ambacho wananchi hawataki kifanyike. Angalia “The Magna Charta of 1215 and the English Bill of Rights of 1689”

Source: http://media.oaklandinstitute.org

Views: 24

Reply to This

Replies to This Discussion

Hakuna anayejitokeza kumfunga paka kengele! Hata kama hutozikilizwa lakini bora kupinga kellele kuliko kukaa kimya! Kukaa kimya kunawapa urahisi walarushwa kuendelea KULA.

Je mmesikia hii ya JK? Sasa ndo mjuwe lazima watu tupige kelele. 



RSS


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website