Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…
Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 26, 2013 at 1:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 3:26pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:46pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:14pm 2 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:39am 2 Comments 0 Likes
Stori: Musa Mateja
HABARI zinasema kwamba staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, ‘Beautiful Onyinye’ ameongeza idadi ya wanaume katika uhusiano wake na kuzidi kuwa katika chati ya magazeti ya Bongo, Risasi Jumamosi lina habari kamili.
Wema ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame, anadaiwa kuwa beneti na kijana aitwaye Robby lakini mwenyewe amesema kwamba hakuna anayeweza kumtenganisha na wanaume.
Habari zinasema kuwa, Wema na Robby wamekuwa wakipiga picha za kimahaba na mnyange huyo kuziingiza kwenye mtandoa wake na kumtambulisha kijana huyo kwa jina la ‘Honey’…

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:30am 2 Comments 0 Likes
Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa.
Mchawi huyo baada ya kudondoka.
Tukio hilo lililochukua saa kadhaa lilitokea katika Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji linaloongozwa na Nabii Flora Peter lililopo Mbezi Beach Salasala, Dar hivi…

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:06am 3 Comments 0 Likes
SIKU chache baada ya kutokea machafuko mjini Mtwara kuhusu msuguano wa gesi ambayo inatakiwa kusafirishwa kwenda Dar es Salaam, imebainika kuwa kipo kitu kingine nyuma ya pazia kinachochochea machafuko hayo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa kuhusisha wasomi na wafuatiliaji wa mambo ya jamii nchini, unaonesha kuwa ipo mikono ya watu inayosababisha ghasia kuongezeka.
Usiku wa juzi, (Jumatano) wanajeshi wanne wa…

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments 1 Like
Ni usiku wa Hip Hop na The Vodacom Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live leo Mei 25, 2013. Mkali wa MIC kuondoka na gari lake jipya aina ya Toyota Funcargo (New Model). Show hii si ya kukosa!
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 1:00pm 1 Comment 0 Likes
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




