Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

4. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

THE VODACOM MIC KING WAKICHANA MISTARI

Posted by GLOBAL on May 26, 2013 at 1:00am 0 Comments

Washiriki wa The Vodacom Mic King wakionyesha ujuzi stejini.

(PICHA NA DENNIS MTIMA /…

LIVE FROM DAR LIVE BIG SCREEN: BAYERN MUNICH BINGWA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:00pm 0 Comments

European champions: Philipp Lahm lifts the Champions League trophy for Bayern Munich

Wachezaji wa Buyern Munich wakishangilia na kombe lao.

Winning kick: Arjen Robben pokes Bayern Munich ahead in the 89th minute

Wachezaji wa Buyern Munich wakishangilia bao lao la pili na la ushindi lililofungwa na Arjen Roben dakika ya 89 ya mchezo.

Mario Mandzukic (9) wa Buyern Munich akiifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya…

RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA AU JIJINI ADDIS ABABA LEO

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 3:26pm 0 Comments

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia, mbele) akiwa katika Mkutano wa Sherehe za miaka 50 ya AU katika makao makuu ya umoja huo jijini Addis Ababa leo Mei 25, 2013.

REDD'S MISS MZIZIMA 2013 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:46pm 1 Comment

Miss Mzizima namba moja  Shamimu Mohamedi akipokea shilingi lakini tano kutoka kwa meneja wa Hotel ya Green Trees iliyopo Kigamboni.

Mshindi wa pili Munira Mabrouk akipokea kiasi cha shilingi laki tano kutoka Odhiambo ambaye ni  meneja msaidizi wa Hotel ya Green Trees…

ABIRIA WAJIPATIA BURUDANI WAKATI WAKISUBIRI PANTONI

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 12:14pm 2 Comments

Hapa anaonesha ufundi wake kwa kuweka mguu mgongoni

Hapa analamba mguu

Anajikuna pua kwa kutumia mguu

Msanii mmoja…

WEMA: MIMI NA WANAUME TU

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 11:39am 2 Comments

Stori:  Musa Mateja

HABARI zinasema kwamba staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, ‘Beautiful Onyinye’ ameongeza idadi ya wanaume katika uhusiano wake na kuzidi kuwa katika chati ya magazeti ya Bongo, Risasi Jumamosi lina habari kamili.

Wema ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame, anadaiwa kuwa beneti na kijana aitwaye Robby lakini mwenyewe amesema kwamba hakuna anayeweza kumtenganisha na wanaume.

Habari zinasema kuwa, Wema na Robby wamekuwa wakipiga picha za kimahaba na mnyange huyo kuziingiza kwenye mtandoa wake na kumtambulisha kijana huyo kwa jina la ‘Honey’…

MWANAMKE ANAYEDAIWA MCHAWI NI MCHAWI ADONDOKEA KANISA

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:30am 2 Comments

Stori:Makongoro Oging'

Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa.

Mchawi huyo baada ya kudondoka.

Tukio hilo lililochukua saa kadhaa lilitokea katika Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji linaloongozwa na Nabii Flora Peter lililopo Mbezi Beach Salasala, Dar hivi…

SAKATA LA MTWARA NI ZAIDI YA GESI

Posted by GLOBAL on May 25, 2013 at 10:06am 3 Comments

Stori: Joseph Shaluwa

SIKU chache baada ya kutokea machafuko mjini Mtwara kuhusu msuguano wa gesi ambayo inatakiwa kusafirishwa kwenda Dar es Salaam, imebainika kuwa kipo kitu kingine nyuma ya pazia kinachochochea machafuko hayo.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa kuhusisha wasomi na wafuatiliaji wa mambo ya jamii nchini, unaonesha kuwa ipo mikono ya watu inayosababisha ghasia kuongezeka.

Usiku wa juzi, (Jumatano) wanajeshi wanne wa…

USIKU WA HIP HOP & THE VODACOM MIC KING KURINDIMA DAR LIVE BAADAYE

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Ni usiku wa Hip Hop na The Vodacom Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live leo Mei 25, 2013. Mkali wa MIC kuondoka na gari lake jipya aina ya Toyota Funcargo (New Model). Show hii si ya kukosa!

WAKALI HAWA KUONGOZA SHANGWE NDANI YA DAR LIVE LEO

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 1:00pm 1 Comment

Joh Makini.

Fid Q.…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service