Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

4. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

MCHUNGAJI ALITAKA PENZI BILA KINGA MWANDISHI WETU, MOSHI

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am 9 Comments

Na Mwandishi Wetu, Moshi

KESI ya kutorosha wanafunzi inayomkabili Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (TAG), Jean Felix Bamana, Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jumatatu wiki hii ilianza kurindima katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Kilimanjaro huku upande wa walalamikaji ukiiambia korti, ‘mchungaji alitaka penzi bila kinga’.

Mchungaji Jean Felix Bamana (kwenye baiskeli) akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.

Mchungaji huyo alitiwa mbaroni Machi 13, mwaka huu ndani ya…

INAUMA JAMANI

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am 8 Comments

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

YULE mtoto wa miaka minne, Devotha Gerald aliyecharangwa mapanga kikatili na baba yake mzazi na kukimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga kwa matibabu, ameaga dunia.

Wataalamu wakijaribu kuokoa maisha ya mtoto Devotha Gerald.

Samson Bwire mkazi wa Kitongoji cha Sango, Kata ya Nyasubi, Wilayani Kahama mkoani hapa ndiye baba mzazi anayedaiwa kutenda unyama huo uliopitiliza.

Uhai wa Devotha ulikatika Mei 16, mwaka huu saa nne usiku akiwa amezungukwa na…

LULU AIBUA JIPYA

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am 6 Comments

Na Musa Mateja

NYOTA wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, ameibua jipya ambapo kwa sasa habari ya mjini ni kwamba ana bwana mpya aliyetajwa kwa jina moja la Junior, Amani limezinasa habari hizo.

Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, katika pozi na bwana wake mpya aliyetajwa kwa jina moja la Junior.

Ishu hiyo ambayo ndiyo gumzo midomoni mwa watoto wa mjini ilianza kusambaa tangu Aprili 1, 2013 staa huyo alipoangusha pati ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambayo ilichukua nafasi ndani ya Ukumbi wa…

RAIS KIKWETE ATHIBITISHIA UMMA KWAMBA PSPF IKO IMARA NA HAITAKUFA‏‏

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 5:56pm 0 Comments

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Ndugu. Adam H. Mayingu  tuzo ya kuwa Mfuko wa kwanza wa Hifadhi ya Jamii Tanzania kutoa mikopo ya nyumba kwa wanachama wake.  Tuzo hiyo ilitolewa kwenye maadhimisho ya kilele cha Wiki ya Mifuko ya Jamii mjini Dodoma.  Mh. Rais alisema PSPF ni mfuko madhubuti na una fursa nyingi za kimaendeleo kwa wananchi wa Tanzaniai na unauwezo mkubwa na salama katika uwekezaji. Aliongezea…

WAZAZI KUKWEPA MAJUKUMU YAO SABABU ZA WATOTO KUJIAJIRI JIJINI MBEYA

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Kutoka kushoto ni Fredrick Simon (12), Lushindiho Simkonda (10) na Colyns John (8) wakiwa na mzigo wa tofali.

Mtoto Colyns John mwenye umri wa miaka 8 ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili Shule ya Msingi Ikuti jijini Mbeya (kushoto), akiwa na mwenzake Lushindiho Simkonda (10) ambaye hasomi shule wakiwa wamebeba matofali kuyapeleka walipoajiriwa ambapo kwa kila tofali moja hulipwa shilingi 30.…

NBC YADHAMINI YATOA SOMO LA UJASILIAMALI KWA WANAWAKE WA TANGA‏

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 3:00pm 0 Comments

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa (kushoto) akipokewa na Mkuu wa  Kitengo cha Huduma za Fedha zinazofuata Kanuni za Kiislamu ‘NBC Islamic Banking’ cha Benki ya Taifa ya Biashara, Yassir Masoud alipokwenda kufungua semina ya siku moja kwa wanawake wajasiriamali waislamu iliyoandaliwa na NBC mjini Tanga leo. Katikati  ni Meneja Tawi la NBC Tanga Deusdedit Mashalla.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa akifungua semina ya siku moja kwa wanawake wajasiriamali waislamu…

DK. ASHA-ROSE ATAJA MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 3:30pm 0 Comments

Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Amezungumzia kuhusu yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilichofanyika jana, pia mjini Dodoma. (TAARIFA NA PICHA NA BASHIR NKOROMO)

DODOMA, Tanzania

TAARIFA KAMILI KAMA ILIVYOTOLEWA NA DK. ASHA-ROSE

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dodoma Mei 21, 2013 chini ya…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service