Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

4. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

RAMA MLA WATU, MAMA YAKE WAACHIWA NA MAHAKAMA

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:00pm 0 Comments

Ramadhan Suleiman ‘Rama mla watu’ akiwa mahakamani leo.

Mama mzazi wa Rama mla watu, Khadija Ally, akiwa mahakamani kabla ya kuachiwa huru.…

NAPE AWASILI MJINI BERLIN, UJERUMANI

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:50pm 0 Comments

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD mjini Berlin, Ujerumani alipowasili jana kuhudhuria sherehe za miaka 150 ya kuzaliwa kwa chama hicho cha SPD.

KAMPENI YA CHEKA NAO YA VODACOM YAPOKEWA KWA SHANGWE NA WAKAZI WA MBAGALA

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:00am 0 Comments

Wakazi wa Mbagala wakishuhudia gari litakalotolewa kesho kwa mkali wa shindano la kuchana mistari la 'The Vodacom Mic King' linalodhaminiwa na Vodacom.

Mteja akipata maelezo kutoka kwa mtoa huduma wa Vodacom.…

BREAKING NEWS: RAMA MLA WATU AACHIWA NA MAHAKAMA

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:00pm 0 Comments

KIJANA Ramadhan  Suleiman Mussa ‘Rama mla watu’ na mama yake Khadija Ally, leo wameachiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam  baada ya kubainika kuwa mshitakiwa namba moja katika kesi hiyo (mla watu) alifanya kosa la mauaji akiwa na matitizo ya akili. Hata hivyo Rama Mla Watu, ataendelea kukaa katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Isanga mkoani Dodoma mpaka akili yake itakapokuwa sawa ndipo ataachiwa kuwa huru mtaani ili asije akawadhuru watu wengine. Rama alijizolea umaarufu mkubwa mwaka 2008 baada ya kukamatwa akiwa na kichwa cha mtu kinachodaiwa kuwa ni cha mtoto Salome. PICHA ZA TUKIO HILI KUWAJIA HIVI…

THE 50th ANNIVERSARY OF THE FOUNDING OF THE AU FORMERLY THE OAU

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:31pm 0 Comments

HOW FAR IS THE UNITED STATES OF AFRICA?

Dr. Motsoko Pheko

The 50th anniversary of the African Union (AU), the successor to the African Organisation of African Unity (OAU) is upon the African people this 25th May 2013. Both Organisations were formed with the main objective of ultimately bringing about the United States of Africa.

Why was there to be a United States of Africa? Let me remind by quoting three African leaders on this important subject of deep concern to Pan Africanists. Dr. Kwame Nkrumah, the first President of Ghana wrote, “If we [Africa’s people], are to remain free, if we are to enjoy the full benefit of Africa’s resources, we must be united to plan for our total defence and the full exploitation of our material and human means in…

WENYEVITI WA FA NDIYO WASIMAMIZI RCL

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:18pm 0 Comments

Release No. 089

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mei 24, 2013

Wakati mechi za kwanza za raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) zinachezwa wikiendi hii, Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesisitiza kuwa wasimamizi wa mechi za ligi hiyo ni wenyeviti wa mikoa wa vyama vya mpira wa miguu.

Kamati hiyo chini ya uenyekiti wa Ramadhan Nassib ilikutana jana (Mei 23 mwaka huu) kupitia ripoti za makamishna kwa mechi za raundi ya kwanza ya RCL iliyomalizika wikiendi ya Mei 18 na 19 mwaka huu.

Kuhusu viwanja…

NIYONZIMA ASAINI YANGA MIAKA 2

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:30am 2 Comments

Haruna Niyonzima (kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati akitambulishwa kwao leo. Pembeni ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kreb.

Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu…

MKALI WA VODACOM

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:37am 1 Comment

 Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki. Kazi ni kwako.

 

Big skrini kuonyesha Fainali ya Uefa Dar Live

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 9:00am 1 Comment

Na Mwandishi Wetu

MASHABIKI wa soka watakaoingia kwenye Ukumbi wa Dar Live kwenye shoo ya wakali wa Hip Hop, kesho Jumamosi, watapata nafasi ya kushuhudia mechi ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye ‘skrini’ kubwa.

Mbali na kutazama mechi hiyo kati ya Bayern Munich na Borussia Dortmund ambayo itaanza saa 3:45 usiku, pia mashabiki 100 wa kwanza kuingia ukumbini hapo watapata zawadi ya tisheti ambazo zitatolewa na kampuni va simu za mkononi ya Vodacom.

Akizungumza na gazeti hili, Mratibu wa Ukumbi wa Dar Live, Abdallah Mrisho alisema wameandaa mazingira mazuri kwa ajili ya mashabiki wa soka.

“Wale ambao wanataka kutazama mechi kali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hawatakiwi kuwa na shaka kwa kuwa ndani ya Dar Live kuna skrini kubwa yetu ukubwa wa mita 6 kwa 6 (upana na urefu wa…

MUME WA MTU ANASWA NA DENTI

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:00am 9 Comments

Na Issa Mnally

INAUMA sana! Wakati wazazi wakihenyeka na wakati mwingine kujinyima ili mabinti zao waweze kupata elimu bora itakayowasaidia maishani mwao wapo wapuuzi wanaokatisha jitihada hizo.

Taliki Juma baada ya kunaswa akiwa na denti wa kidato cha pili wakijivinjari.

Mwanaume mmoja aitwaye Taliki Juma mkazi wa Temeke – Wailesi jijini Dar es Salaam ameingia kwenye kumi na nane za Oparesheni Fichua Maovu inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers baada ya kunaswa akiwa na mwanafunzi wa kidato cha pili…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service