Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 2:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:32pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 1:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 1:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:30am 1 Comment 1 Like
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 10:53am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:32am 1 Comment 0 Likes
Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer muda huu yamevamia gari ndogo aina ya Toyota Vitz na kuwajeruhi watu wawili wenye asili ya Asia waliokuwa ndani yake na kuwapora furushi la fedha. Tukio hilo limetokea eneo la Sayansi-Kijitonyama jijini Dar. Taarifa zaidi pamoja na picha zinawajia hivi punde.
Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:30am 0 Comments 0 Likes
Martin Ngireu Enzi ya Uhai Wake
Familia ya Ngireu inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa baba yao Martin Ngireu kilichotokea siku ya Jumanne Mei 21, 2013 katika Hospitali ya Holy Cross iliyopo Silver Spring, Maryland, nchini Marekani.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Donalson Funeral Home, iliyopo 313 Talbot Avenue, Laurel MD na kutakuwa na Misa na kumuaga marehemu siku ya Jumamosi Mei 25, 2013 kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 10 jioni (12- 4 pm) kwenye addres 313 Talbot Avenue, Laurel, MD baada ya hapo kutakuwa na chakula kwenye address 210 Patuxent Road, Laurel MD.
Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu inafanywa na kama ilivyodesturi yetu kupeana pole ndiyo ustaarabu wetu. Msiba upo 210 Patuxent…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
julius manning |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for Hans john
tina babi left a comment for Okumwala Jonas Itembe
tina babi left a comment for hamad fakih
tina babi left a comment for Kalembe amani
tina babi left a comment for kambaulaya mdyeleka
tina babi left a comment for Phillip Marunguri
tina babi left a comment for Rulenzo
tina babi left a comment for Tye Mkale Mkale
tina babi left a comment for nassor mohammed nassor
tina babi left a comment for james sanga
tina babi left a comment for GODWELL JOSEPH© 2013 Created by Global Publishers.



