Photos

Loading…

ADVERTISEMENT

Members

  • faty.mtwaratz
  • GLOBAL
  • omary
  • Geo M. Godfrey
  • Annie Sexy
  • Rashid Mangara
  • deogratius kivamba
  • mark.mushi
  • Fredrick Mlay
  • Tamim Ibra Agguero
  • bumela arthurs
  • moses simpungwe
  • ayoub kabinga
  • Salum Abdullah Ahmeid
  • marimar ethan
  • Elizabeth Makuru

Forum

SFC

Hoja ya Haja kwa Wananchi wote

Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi mach…

Started by SFC in Siasa 20 hours ago.

Elly Maduhu

Wafanyakazi tunaibiwa

Ni matumaini yangu kuw hamjambo, poleni na majukumu mengi ya ujenzi wa Taifa letu.Ikiwa ni mara yangu ya tatu tu kuweka mjadala humu, leo nimekuja na jambo ambalo binafsi kama mtumishi wa serikali li…

Started by Elly Maduhu in Siasa Aug 20.

SFC

Under graduate,University of East Anglia Arts & Humanities Foundation Scholarships 2010-2011

Under graduate,University of East Anglia Arts & Humanities Foundation Scholarships 2010-2011 Mallaba Foundation    updated:2010-8-18 23:03:22    Scholarship,Humanities Foundation,Unive…

Tagged: undergraduate

Started by SFC in Siasa Aug 19.

SFC

Undergraduate Scholarships 2010 in Medical Sciences at The Latin American School of Medical Sciences, Cuba

Undergraduate Scholarships 2010 in Medical Sciences at The Latin American School of Medical Sciences, Cuba Mallaba Foundation    The Latin American School of Medical Sciences Scholarships…

Tagged: medicine, undergraduate

Started by SFC in Siasa Aug 19.

Groups

 

News Posts

GLOBAL

MPIGIE KURA AY ASHINDE TUZO YA RADIO FRANCE


AY

Kwa mwaka huu AY alianza kunyakua tuzo ya Chaguo la Teneez ya Kenya, Kili Music Awards ya Tanzania na Museke Awards ya Ghana.Mwaka huu ni moto chini, sidhani kama kuna msanii wa Bongo aliyeteuliwa kwa zawadi za n…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 12:33pm

GLOBAL

CUF KUISHITAKI CCM KWA KUHUJUMU PICHA ZA WAGOMBEA WAKE


Mojawapo ya picha zinazolalamikiwa.

Na Dunstan Shekidele, Morogoro
CHAMA cha Wananchi (CUF) mkoani Morogoro kinakusudia kupeleka malalamiko yao kwa msi…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 11:00am

GLOBAL

UKIMWI WAMPA KIWEWE


Pasi na shaka, Ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI), unadaiwa kumpa kiwewe aliyewahi kushikilia ‘Krauni’ ya Miss Ruvuma na baadaye kuambulia patupu katika Kinyanyang’anyiro cha Miss Tanzania mwaka 2005/06, Isabella Mpanda ‘Bella’ a.k.a Mama Obama (pichani), Ijumaa limeelezwa.

Chanzo ma…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 9:42am — 5 Comments

GLOBAL

Nimetoa uroda kwa wanaume 10-Jack wa Chuzi


Muigizaji wa Filamu hapa Bongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuzi’ ametoa kali ya mwaka baada ya kuamua kuanika idadi ya wanaume aliowahi kula nao urojo tangu awe supastaa.

Msanii huyo alifikia hatua hiyo alipokuwa katika mahojiano maalum na mwandishi wetu na kutakiwa kutoa ufafanuzi wa juu y…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 9:59am — 4 Comments

GLOBAL

Aunt Ezekiel agoma kuzaa


Aunt Ezekiel

Na Rhobi Chacha
Msanii maarufu wa filamu nchini, Aunt Ezekiel ameonekana kugoma kuitwa mama flani baada ya kueleza kuwa, kwasasa hana mpango…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 9:57am — 10 Comments

GLOBAL

Mzimu wa Slaa kama Lipumba


Dk. Wilbroad Slaa

Na Mwandishi Wetu
Wakati Uchaguzi Mkuu 2010 ukikaribia na wagombea wakichanja mbuga kunadi sera zao kutafuta kukubalika kwa wa…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 10:00am — 6 Comments

GLOBAL

Mambo 10 nyeti yanayowavutia wanaume kwa wanawake!- 4


LEO namalizia mada hii ambayo imekuwa na changamoto sana kwa wasomaji wangu. Nawashukuru wote mliokuwa mkichangia. Kabla ya kwenda moja kwa moja katika vipengele viwili vya mwisho, nitajibu maswali mawili niliyotumiwa na wasomaji wangu wiki hii.

Nafanya hivyo kwa nia njema ya kuwafany…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 10:07am

GLOBAL

Zembwela: Usanii bila ‘mpunga’ ni bure kabisa


Zembwela

Wiki hii kupitia safu hii tunaye msanii maarufu wa vichekesho anayefahamika zaidi kwa jina la Zembwela lakini jina lake halisi likiwa ni Hillary Mtuta. Wengi mtakuwa mnamfahamu kupitia kipindi cha mizengwe…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 10:05am — 1 Comment

GLOBAL

Johari asaka dawa ya kuwa tipwatipwa!


Super Star katika Kiwanda cha Filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ameibuka na kusema kuwa anatafuta dawa itakayomfanya awe tipwatipwa wa wastani.

Nyota huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akihojiwa na Paparazi wetu kwa njia ya simu ya mkononi, aliyetaka kujua baadhi ya mambo…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 9:52am — 6 Comments

GLOBAL

Eliza Gupta, Kelvin ni ‘full malovedove’ Abuja


Abuja, Nigeria
Mastaa wa Big Brother Revolution mwaka jana, Elizabeth Gupta na Kelvin Chuwang ambao hivi karibuni walifungua ukurasa mpya wa maisha yao ya kimapenzi kwa kuvishana pete ya uchumba, juzi kati wamenaswa katika…

Posted by GLOBAL on September 3, 2010 at 9:51am — 2 Comments

Advertisement

 
 
 

Latest Activity

madogo wamekamua
15 minutes ago
Lili is now friends with alvin, sama and Justontime
31 minutes ago
ayoub kabinga, moses simpungwe, Masoud Amri Komunte and 1 more joined Global Publishers
46 minutes ago
Kwakweli ninakuunga mkono Arqam huyu mtu nimgonjwa hayuko sawa kabisa!Sio Ramadhani tu lakini mtoto wa miaka saba kwakweli nimasikitiko!huyo mtoto kwanza ameshamuaharibia maisha yake yote kisaikolojia hataishi vizuri tena katika maisha yake maskin!…
52 minutes ago
NASHUKURU BELLA KWA KUWA MKWELI BINAFSI NIMEMFUNDISHA HUYU BINT SHULE YA SEKONDARI HUKO LINDI YAITWA MKONGE SEC SASA NIKIWA KAMA MSAIDIZI WA MWALIMU WA NIDHAMU JINA LA ISABELLA MPANDA TULILIWEKA KWENYE BUKU JEKUNDU ENZI HIZO ZA MIAKA YA 2001 YUPO KI…
53 minutes ago
kweli hii ndio bongo taifa lenye dhuluma kweli haki ya waandishi wa habari iko wapi
53 minutes ago
TENA MAKAMBA 'WAZIRI WA MAMBO YA NDANI' NDIYE ATAKAYEKUWA WA KWANZA KUSEMA KUWA DR.SLAA SI MTANZANIA
53 minutes ago
FIRST LADY SIO CHEO CHA MSINGI KWANZA SIO UTAMADUNI WETU HATA UGUNDUZI WAKE UKISOMA HISTORIA NI PALE RAIS ZACHARY TAYROR WA MAREKANI 1849 KWENYE MAZISHI YA MKE ALITAMKA TU HUYU NDIO ALIKUWA FIRST LADY KILA MTU AKADAKIA HAPO KIKUBWA NI UTENDAJI KAZI…
55 minutes ago
huyu alitafuta hii kazi ili apate mwanya wa kuwadhuru watoto.watu kama hawa wapo wengi.wenzetu nchi zilizoendelea ni rahisi kwao kuwagundua.huyu si salama kwa jamii,anatakiwa amalize maisha yake jela tu.huyu hafai.
55 minutes ago
56 minutes ago
heeee uyo mnyama hana maadili kabisa hajui anachofanya kuwa ni dhambi
56 minutes ago
mungu azidi kumsaidia mtoto huyo aishi kwa amani asinyanyasike
56 minutes ago
usijali kula dawa kwa wakati kama ulivyo shauliwa mazoezi na matunda kwa sana na vaykula vya kujenga mweli utapata mweli tu maana hizi dawa nazo siku hizi zina saidia pia
1 hour ago
ww sie hatutaki mambo ya first lady tunataka viongozi wenye msimamo mkali na watakao leta mabadiliko mambo ya first lady ss hayatuhusu chochote cha msingi uwajibikaji bwana nyie vp
1 hour ago
sura ina marangirangi kibaaao,sasa unatuelezea sisi inatuhusu nini?
1 hour ago
dada zangu nyie kweli mpo juu lakini msikubali kubuluzwa buluzwa
1 hour ago
umetaja kumi ndo tuone wachache,ukweli ni kwamba we mwenyewe hata idadi hukumbuki,shwaini.
1 hour ago
Hataki kuzaa kwa kuwa ni kiruka njia,sasa akizaa ukiruka njia wake ataufanya saa ngapi?.Hatagemei kondomu na ukimwi jee?
1 hour ago
ANAONA MABINT WENZAKE WANAVYOSHIKWA NA KASHFA YA KUIBA WATOTO MAHOSPITALNI,MUNGU WETU NI WA MAAJABU SANA UNAWEZA SEMA SASA NATAKA MTOTO NDIO HAAJI KABISA,KIKUBWA KAMA MRI UMEFIKA NA MPUNG UPO HAMNA HAJA YA KUWABANIA WATANZANIA WAPYA KUJA DUNIANI NAO…
1 hour ago
Alijikondesha mwenyewe, sasa unene wa nini tena? au dawa zinamfanya apitilize wembamba? pole sana dear, Mrudie Muumba wako muombe utakalo atakupa.
1 hour ago

ABDALLAH MRISHO

MICHUZI JUNIOR

© 2010   PROPERTY OF GLOBAL PUBLISHERS LIMITED    Global Publishers hit counter  
DESIGNED & DEVELOPED BY G5 CLICK   

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

Sign in to chat!