Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

BONGO FLEVA MPYA

Members

ADVERTISE HERE..!!

TOP PHOTOS ZA WIKI

1. maisha bora kwa kila mtanzania

Added by Man KKK on May 16, 2012

2. MAMBO YA BONGO

Added by Man KKK on May 17, 2012

3. Gold digger

Added by Sili Silali on May 24, 2012

ZILIZO TOP WIKI HII

1. DIAMOND, JOKATE KIMENUKA

Added by GLOBAL on May 21, 2012

2. MIMBA YA LULU YATOKA

Added by GLOBAL on May 21, 2012

3. LULU, KOMBA MAMBO HADHARANI

Added by GLOBAL on May 23, 2012

4. MTU NA DADAYE WAFUMANIWA

Added by GLOBAL on May 22, 2012

Advertisement

 

 

News Posts

UWOYA, JANET HAPATOSHI

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:36am 5 Comments

Na Musa Mateja

Skendo ya matumizi ya dawa za kulevya imesababisha mastaa wawili wa filamu za kibongo, Irene Pancras Uwoya na Janet Mathias kuingia kwenye bifu zito na sasa hapatoshi huku kila mmoja akianika siri nzito za mwenzake, Risasi Jumamosi linafunguka.

Wiki mbili zilizopita, Uwoya ndiye aliyekuwa wa kwanza kufunguka kupitia gazeti hili kuwa alifikia hatua ya kusitisha urafiki wake na Janet kwa madai kuwa alikuwa na skendo hiyo.

UWOYA AIBUA SKENDO

Katika mazungumzo yake yaliyokuwa hayaandikiki gazetini, Uwoya alimsiliba Janet kwa kuanika siri zake nzito, jambo ambalo lilimpandisha hasira msanii huyo na kujikuta naye akimjibu kwa kumchana kama yeye alivyofanya.

Muda mfupi baada ya Uwoya kumwanika, Janet alizama mtandaoni akamlipua…

DIAMOND, JOKATE WAMWAGANA

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:28am 18 Comments

Stori Imelda Mtema na Erick Evarist

PENZI motomoto kati ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Mrembo Nambari 3 wa Tanzania 2006, Jokate Mwegelo limedaiwa kuvunjika, Risasi Jumamosi linatambaa nayo.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, raia wa Tanzania anayecheza mpira wa kikapu nchini Marekani, Hasheem Thabit Manka anatajwa kuwa chanzo cha penzi la wawili hao kusambaratika.

KWA NINI?

Awali, Thabit aliwahi kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba ‘anatoka’ na Jokate, madai ambayo kwa upande wake mrembo huyo aliyakanusha vikali akisema anasingizwa licha ya kujikanyaga katika maelezo yake.

Hata hivyo, baadaye wawili hao ikasemekana wamemwagana kwa sababu ambazo hazikuwa wazi kwa vile uhusiano wao ulikuwa wa siri…

Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:21am 1 Comment

Na Luqman Maloto

Nikuombe msomaji wangu kwamba unaposoma makala haya, soma kwa mtindo wa katikati ya mstari (between the line). Kuna somo kubwa mno kwenye mada hii kwa sababu wengi wapo kwenye mateso makubwa ya kimapenzi kutokana na makosa yao wenyewe.

Ukisoma ujasiriamali, utaelekezwa kwamba mafanikio yako yatatokana pia na namna ulivyo na nidhamu katika fursa unazopata. Inawezekana ukawa na bahati kwenye maisha lakini utabaki kuwa si lolote endapo hutatumia nafasi zako vizuri.

Kama maisha, ndivyo yalivyo mapenzi. Hayatanyooka, wala hayatakaa vema upande wako ikiwa hutakuwa na heshima kwa fursa utakazopata. Si suala la ujana au kujipanga, muhimu kwako ni kuheshimu kile kilichopo jirani yako. Zingatia: Mapenzi ni changamoto nzito.

Ukichezea penzi lako leo kwa…

PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:55pm 0 Comments

SHIRIKA lisilo la kiserikali linalotoa huduma na Elimu ya Afya nchini(PSI) limeendelea kutoa huduma katika mabaa na vilabu vya pombe za kienyeji mmoja wa  waendesha semina Bi Anisa. akitoa maelekezo ya uvaaji wa kondom katika baa ya Blue house jijini Mbeya…

Mkutano wa Kujadili Maendeleo ya Matumizi ya Nishati Karne ya 21 Kwa Nchi za Afrika Wamalizika Nchini Afrika Kusini

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:36pm 0 Comments

 Pichani shoto ni Rais Mtsaafu wa Zanzibar,Mh Abeid Aman Karume akifafanua jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo uliohusu maendeleo ya matumizi ya nishati karne ya 21 kwa nchi za…

Mama Bilal Azungumza Na Watanzania Waishio Botswana

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:28pm 0 Comments

Mke wa Makamu wa Rais Mama Asha Bilal akizungumza na Watanzania

wanaishi Nchini Botswana leo…

Bima Ya Afya

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:23pm 0 Comments

Tabu Likoko Mkurugenzi wa Idara ya Uwezeshaji Wanawake katika Taasisi ya (WAMA) akifungua rasmi semina ya wanawake kutoka vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa vinavyosimamiwa na Taasisi ya (WAMA) kuhusu huduma za Mfuko wa Bima wa Afya NHIF inayofanyika kwenye viwanja vya Taasisi ya WAMA asubuhi hii jijini Dar es salaam kutoka kulia  pichani ni Rehani Athumani Mkurugenzi mifuko ya Afya ya Jamii (CHF), Michael Mhando Mkurugenzi wa Tathmini ya Uhai wa Mfuko na Utafiti na Eugen Mikongoti Mkurugenzi wa Uendeshaji.…

MARASTA WAFANYA TAMASHA LA AMANI

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 2:44pm 2 Comments

Paulo Ngindo ‘Ras Bumija’ kushoto akiliongoza kundi lake la Taramo Band kufanya makamuzi.

Mmoja wa Maras akiserebuka na bendera yenye picha ya mmea ambayo marasta huitumia kama alama ya ukombozi.

Kundi la Arusha Gold likifanya makamuzi.

Hamis Kinzasa ‘20 Percent’…

ZENGWE LATAWALA MISS KURASINI

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 2:08pm 1 Comment

Miss Kurasini Claudia Manda (Katikati) akiwa na mshindi wa pili Neema Dori (kulia) na Liliani Josef mshindi wa tatu mara baada kutangazwa matokea.

Warembo walio fanikiwa kuingia tano bora wakiwa katika picha ya pamoja.

Khadija Omar Kopa akiwapagawisha mashabiki katika kinyang’anyiro cha Miss Kurasini.…

Forum

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Aggrey Feb 23. 21 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by john samwel Mar 12. 7 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

HIVI KWELI VIONGOZI WETU WANA UCHUNGU NA WANANCHI WANAOSAFIRI KUPITIA RELI YA KATI?

Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by Daniel Sanga Apr 12. 9 Replies

Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…

Viongozi Tanzania ni WANASIASA ua WAPIGAPOROJO?

Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies

Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…

DOWANS

Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies

Swala la Dowans bado ni kitendawili. Je Ilipwe au isilipwe?

matokeo ya form 4

Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Sware Apr 10. 8 Replies

hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?

BONGO MOVIES SUBTITLES

Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Brian Timboi Apr 23. 8 Replies

Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…

Videos

  • Add Videos
  • View All

Advertisement

 
 
 


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
2 hours ago
Theddy Jacob liked GLOBAL's blog post SETH AFUNGUKIA PENZI LA LULU, KANUMBA
4 hours ago
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Kumbe ww Ilya Upo Iran? nilikuwa sijui mpaka nimesoma profile yako, nakuhurumia kwa kusema uongo…"
8 hours ago
asha liked GLOBAL's blog post Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili
8 hours ago
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
"Dada Saumu,@ kuhusu kupotea kaburi la mama yako,nakupa pole sana kwa hilo,na hilo limetokana na…"
9 hours ago
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
"hi jazihina vipi hali sorry nimechelewa kukujibu  "
10 hours ago
chiya left a comment for chiya
"hi vipi hali sorry nimechelewa kukujibu "
10 hours ago
kajerekani commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Gold digger

"hii ni kali ya mwaka"
11 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
Matata Mpili shared GLOBAL's blog post on Facebook
12 hours ago
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
"Ooh!! asante IL-YA kwa hiyo habari kweli waarabu sio watu wengi wao hawana utu kabisaa na watoto…"
12 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website