Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

4. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

UPDATES KUTOKA MTWARA

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 2:00pm 0 Comments

Baadhi ya nyumba zilizochomwa moto.

Barabara ikiwa imefungwa.

-Raia wapatao 7…

BONDIA IRAKI UDU AMPONGEZA SENSEI RAMADHANI KWA KULA NONDOZ‏ NCHINI MAREKANI

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:00am 0 Comments

Sensei Rumadhani Fundi akielekea kuchukua nondo yake.

Sensei Rumadhani (kati) akiwa na mkewe Anitha pamoja na mdogo wake Kibwana Fundi baada ya kula nondo.…

INDIA INAJULIKANA KWA LIPI ZAIDI? MOVIES (BOLLYWOOD), SHULE BORA AU MATIBABU?

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 1:00pm 0 Comments

Sasa Airtel inakuwezesha kulonga zaidi na walio India kwa bei nafuu, kwa Tsh 3,000 tu!  utapata dakika 25 za kuwasiliana wiki nzima. Kujiunga piga *149*13# upate kuwasiliana kwa bei poa ya shilingi 2 kwa sekunde. Airtel Yatosha!!

MAJAMBAZI YAVAMIA GARI NA KUPORA FEDHA JIJINI DAR

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:30am 1 Comment

Matundu matatu ya risasi katika kioo cha gari lililovamiwa na majambazi.

Wanausalama barabarani wakichukua taarifa eneo la tukio.…

SHULE ZA KATA ZAJIENDESHA KWA FEDHA ZA WALIMU WAKUU

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:00am 0 Comments

Mkuu Msaidizi wa Sekondari ya Nduweni, Venance Mramba.

Mkuu wa Sekondari ya Tanya, Victus Kiwango.…

MAANDALIZI YA TAIFA STARS KUELEKEA KOMBE LA DUNIA YAENDELEA KWA NGUVU

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 10:53am 0 Comments

Kipa Juma Kaseja (kulia) akifanya mazoezi  na kipa mwenzake, Aishi Manula.

Mazoezi yakiendelea.

Mtikisa…

BREAKING NEWS: MAJAMBAZI YAVAMIA GARI NA KUPORA FEDHA JIJINI DAR

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:32am 1 Comment

Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer muda huu yamevamia gari ndogo aina ya Toyota Vitz na kuwajeruhi watu wawili wenye asili ya Asia waliokuwa ndani yake na kuwapora furushi la fedha. Tukio hilo limetokea eneo la Sayansi-Kijitonyama jijini Dar. Taarifa zaidi pamoja na picha zinawajia hivi punde.

MSIBA DMV NA TANZANIA‏

Posted by GLOBAL on May 23, 2013 at 11:30am 0 Comments

Martin Ngireu Enzi ya Uhai Wake

Familia ya Ngireu inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa baba yao Martin Ngireu kilichotokea siku ya Jumanne Mei 21, 2013 katika Hospitali ya Holy Cross iliyopo Silver Spring, Maryland, nchini Marekani.

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Donalson Funeral Home, iliyopo 313 Talbot Avenue, Laurel MD na kutakuwa na Misa na kumuaga marehemu siku ya Jumamosi Mei 25, 2013 kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 10 jioni (12- 4 pm) kwenye addres 313 Talbot Avenue, Laurel, MD baada ya hapo kutakuwa na chakula kwenye address 210 Patuxent Road, Laurel MD.

Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu inafanywa na kama ilivyodesturi yetu kupeana pole ndiyo ustaarabu wetu. Msiba upo 210 Patuxent…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for Hans john
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Okumwala Jonas Itembe
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for hamad fakih
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for Kalembe amani
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for kambaulaya mdyeleka
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
4 minutes ago
Issac Riggs posted a status
5 minutes ago
tina babi left a comment for Phillip Marunguri
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
5 minutes ago
tina babi left a comment for Rulenzo
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
6 minutes ago
tina babi left a comment for Tye Mkale Mkale
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
6 minutes ago
tina babi left a comment for nassor mohammed nassor
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
6 minutes ago
tina babi left a comment for james sanga
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
8 minutes ago
tina babi left a comment for GODWELL JOSEPH
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
8 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service