Posted by GLOBAL on January 26, 2012 at 4:01pm 3 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 4:10pm 5 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 9:00am 17 Comments 1 Like

Kajala Masanja.
Wema.
Na Mwandishi Wetu
KIMENUKA! Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja, wanadaiwa kuingia kwenye bifu ‘babkubwa’ kisa kikidaiwa ni kugombea mwanaume, Ijumaa lina fulu data.
NI KIGOGO WA IKULU
Kwa mujibu wa chanzo kisicho na shaka, hivi karibuni warembo hao ‘wanaokinukisha’ katika tasnia ya filamu Bongo, walijikuta wakiingia kwenye gogoro kufuatia Kajala kutuhumiwa ‘kumtokea’ mwanaume mpya wa Wema aliyetajwa kwa jina moja la Clemence ambaye anadaiwa…

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 8:50am 3 Comments 0 Likes
Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha inaimarisha kikosi, Simba imemuongeza kocha mpya wa makipa, James Kisaka, kwa ajili ya kazi maalum ya kuwanoa Juma Kaseja na mwenzake, Ally Mustapha ‘Barthez’.
Kocha huyo anatua Simba wakati timu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya kuivaa Kiyovu ya Rwanda katika michuano ya Kombe la Shirikisho mnamo Februari 18, 2012.
Katika mechi ya Kiyovu, Simba itaanzia ugenini jijini Kigali, kabla ya kurudiana Dar es Salaam kati ya Machi 2, 3 au 4, mwaka huu.
Ezekiel Kamwaga, ambaye ni Ofisa Habari wa Simba, amelithibitishia Championi Ijumaa kuwa, kocha huyo aliyewahi kuzidakia Simba na Pilsner wakati wa enzi zake uwanjani, ameanza kazi rasmi mwanzoni mwa mwezi huu.
“Lengo ni kuimarisha kikosi chetu, uongozi umefikia maamuzi ya kumuongeza kocha wa…

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 3:10pm 1 Comment 0 Likes
Bondia Kalama Nyilawila (kushoto) akitunishiana misuli na Francis Cheka baada ya kupima uzito leo, tayari kwa mpambano wao utakaofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kesho.
(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:58pm 1 Comment 0 Likes
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Jiwe la Msingi katika jengo jipya la Ukumbi na Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga jana Januari 26, 2012.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Madiwani wa Kata za Wilayani Korogwe, alipowasili eneo hilo kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi katika Jengo la Ukumbi na Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, wakati akiwa katika ziara yake ya Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga jana,…

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:48pm 2 Comments 0 Likes
Mshambuliaji wa Bunge FC, Adam Malima, akikokota mpira kabla ya kupiga bao lililomshinda kipa wa Twiga Stars, Fatuma Omary.
Wanenguaji wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ wakikamua kwenye onyesho lililofanyika Mzalendo Pub, jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo.
Mdau wa muziki wa dansi nchini, Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’, akiwa na mtoto mzuri aliyedai…

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:28pm 7 Comments 1 Like
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Mhe. John Mnyika.
Mgomo wa madaktari unaoendelea hivi sasa umedhihirisha kwamba tuna serikali dhaifu yenye ombwe la uongozi. Haiwezekani wananchi wakawa wanakufa kwa kukosa matibabu stahiki na wengine wakipata madhara kutokana na kuchelewa kupata matibabu sababu ya mgomo wa madaktari halafu viongozi wenye dhamana hawachukui hatua sahihi.
Rais Jakaya Kikwete ambaye ndiye mwenye dhamana kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 33 ndiye kiongozi wa shughuli za serikali na ibara ya 35 shughuli zote za utendaji wa serikali zinatekelezwa na watumishi wa serikali kwa niaba ya Rais; ameondoka kwenda nje ya nchi mgomo ulipoanza na hakuna kauli yoyote mpaka sasa toka kwa Makamu wa Rais wala kwa Ikulu.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda badala ya kwenda…

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 12:00pm 2 Comments 0 Likes
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Hans Guy Jan 19. 39 Replies 1 Like
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Gysper Dec 13, 2011. 19 Replies 2 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by lucas mgaya Jan 2. 5 Replies 5 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by kaka Dec 24, 2011. 7 Replies 3 Likes
Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…
Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies 1 Like
Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…
Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies 1 Like
Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Alfred uisso Nov 23, 2011. 4 Replies 1 Like
hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?
Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Halifa Rama Nov 20, 2011. 6 Replies 5 Likes
Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…
Added by GLOBAL 0 Comments 2 Likes
Added by GLOBAL 31 Comments 17 Likes
Added by GLOBAL 16 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 10 Comments 6 Likes