Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

BONGO FLEVA MPYA

Members

ADVERTISE HERE..!!

TOP PHOTOS ZA WIKI

1. chagua mwenyewe

Added by julius manning on May 11, 2012

3. urembo wa asili

Added by julius manning on May 12, 2012

ZILIZO TOP WIKI HII

2. OH! SAJUKI

Added by GLOBAL on May 11, 2012

Advertisement

 

 

News Posts

SAJUKI AAGWA KWA VILIO

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 9:30am 23 Comments

Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiagwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea nchini India.…

Caf yaifungia Al Ahli Shandi

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 9:02am 5 Comments

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Al Ahli Shandi ya Sudan.

Na Khatimu Naheka

UONGOZI wa Simba umekubali matokeo ya kufungwa na kutolewa na wapinzani wao Al Ahli Shandi ya Sudan, lakini wekundu hao wameacha hasara kubwa kwa Waarabu hao kwa kusababisha kufungiwa kuutumia uwanja wao.

Simba ilitolewa na Shandi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, Jumapili iliyopita kwa mikwaju ya penalti 9-8, baada ya timu hizo kutoka sare ya jumla ya mabao 3-3.

Akizungumza na Championi Jumatano, mwenyekiti wa timu hiyo, Ismail Aden Rage, alisema kufuatia matukio kadhaa ya hatari waliyofanyiwa…

MAHOJIANO NA MHE. ZITTO KABWE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 5:27pm 0 Comments

 
Hii ni moja ya mfululizo wa mahojiano na Mhe. Zitto Kabwe.

Katika sehemu hii, anazungumzia kuhusu NIA YAKE YA KUWA RAIS, Msimamo wa Chama na wake kuhusu Muungano, suala la CHADEMA kuondoa kinga ya kikatiba kwa Rais, anaeleza kwa nini anaamini ni vema uchaguzi wa Rais na Wabunge vitenganishwe, haki na wajibu wa raia katika katiba, kilichotokea Mwanza kwenye vurugu zilizosababisha wabunge kushambuliwa na kujeruhiwa na mengine…

SHILOLE NA KUNDI LAKE WAMWAGA RADHI KATIKA SHOO MOROGORO

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:30pm 0 Comments

Shilole na kundi lake wakimwaga radhi ndani ya ukumbi wa DDC iliopo mkoani Morogoro.…

MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI (SUGU) AANZA ZIARA YA KUZUNGUKA JIMBONI MWAKE

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 4:09pm 0 Comments

Wananchi wa kata wa Ituha wakimsikiliza kwa makini mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu).

Mbunge wa Mbeya Mjini,  Joseph Mbilinyi akielezea shughuli za utekelezaji ahadi zilizofanyika mpaka kufikia kipindi hiki.

Mheshimiwa Joseph Mbilinyi (katikati), Katibu wa CHADEMA wilaya Criss Mwamasiku (kushoto) na Kamanda Kwame Elly Anangisye…

MVUA YAWATESA WAKAZI WA JIJI

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:00pm 0 Comments

Paa la kituo cha daladala cha Karume jijini Dar likiwa limeanguka huku limezingirwa na dimbwi la maji hivyo kuwa adha kubwa kwa watumiaji wa kituo hicho. Wahusika wanaombwa kuchukua hatua za haraka.

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamesitisha safari zao na kujibanza nje ya maduka eneo la makutano ya barabara za Uhuru na Msimbazi kukwepa iliyokuwa ikinyesha.…

Zantel yakabidhi simu 75 Manispaa ya Ilala

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:00pm 0 Comments

Afisa Mkuu wa Biashara wa Zantel, Ahmed Mokhles (kushoto) akimkabidhi Meya wa Ilala Mhe. Jerry Slaa moja ya simu 75 zilizotolewa na kampuni ya Zantel kuisaidia Manispaa ya Ilala kurahisisha mawasiliano kati ya madiwani na watendaji kazi wote wa Manispaa. Makabidhiano haya yalifanyika ofisini kwa Meya jijini Dar es Salaam.

STARS YAANZA KUJINOA KWA MICHUANO IJAYO

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:01pm 0 Comments

Wachezaji wa Stars wakitoka uwanjani baada ya kumaliza mazoezi.

Kocha mpya wa Taifa Stars, Kim Poulsen (kulia) na Msaidizi wake, Sylivester Marsh, wakibadilishana mawazo baada ya mazoezi leo.

Timu ya taifa, Taifa Stars, leo imeanza mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiwinda na michuano ya kimataifa dhidi ya Malawi na baadaye Ivory Coast.

(PICHA:RICHARD…

MIILI YA WAFANYAKAZI WA JOHANNESBURG HOTEL YAAGWA

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 2:00pm 5 Comments

Waombolezaji wakiuaga mwili wa aliyekuwa meneja wa hoteli ya Johannesburg, Hadson Msalali.…

Kisa Cha Rais Aliyekatwa Masikio; Ni Sajenti Samuel Doe (2)

Posted by GLOBAL on May 15, 2012 at 11:30am 3 Comments

Ndugu zangu,
Naendelea na simulizi niliyoianza jana.
Sajenti Samuel Doe alibaki madarakani Liberia kwa miaka kumi. Nchi ilikuwa kama imesimama vile.  Sehemu kubwa ya nchi haikuwa na umeme. Maduka mengi hayakuwa na bidhaa.
Doe mwenyewe alinusurika majaribio takribani 34 ya kutaka kumwua. Na wote waliojaribu kumwua wakashindwa waliishia kupigwa risasi.
Kwamba alinusurika majaribio 35 ikasemwa kuwa Sajenti Samuel Doe alikuwa akilindwa na ’ nguvu’ za kishirikina. Na Doe mwenyewe alikuwa akitamba hadharani kuwa ni ’ mjanja’ kwenye mambo hayo.
Kimsingi Samuel Doe aliingia Ikulu lakini hakujua afanye nini kama Rais.   
Na  kwa vile Doe alikuwa na sura ya kitoto alipenda sana kuvaa miwani ya jua ya mviringo ili aonekane ’ siriaz’ fulani. Na kwa vile cheo cha sajenti ni cheo cha chini sana…

Forum

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Aggrey Feb 23. 21 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by john samwel Mar 12. 7 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

HIVI KWELI VIONGOZI WETU WANA UCHUNGU NA WANANCHI WANAOSAFIRI KUPITIA RELI YA KATI?

Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by Daniel Sanga Apr 12. 9 Replies

Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…

Viongozi Tanzania ni WANASIASA ua WAPIGAPOROJO?

Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies

Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…

DOWANS

Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies

Swala la Dowans bado ni kitendawili. Je Ilipwe au isilipwe?

matokeo ya form 4

Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Sware Apr 10. 8 Replies

hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?

BONGO MOVIES SUBTITLES

Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Brian Timboi Apr 23. 8 Replies

Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…

Videos

  • Add Videos
  • View All

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT

TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

rosemary winchester posted a status
"the more people you love,the weaker you are"
18 minutes ago
harieth george mng'andile left a comment for mathew timoth
"helloooo"
18 minutes ago
harieth george mng'andile and mathew timoth are now friends
19 minutes ago
Regius Kasomo liked GLOBAL's blog post MAHOJIANO NA MHE. ZITTO KABWE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
23 minutes ago
kheri zewe commented on Man K's photo
Thumbnail

maisha bora kwa kila mtanzania

"we man K hawa sio watanzania ni watanganyika au wadanganyika maisha bora hayawahusu"
41 minutes ago
lilian mosha posted a status
"tuzidi kumuombea sajuki mungu amsaidie arudi salama"
2 hours ago
lilian mosha and TB are now friends
2 hours ago
Rajabu mgaya liked GLOBAL's blog post KINACHOMTESA LULU NI HIKI
3 hours ago
Atubariki Yessaya Ngumba updated their profile
3 hours ago
Alberto De Safari updated their profile
4 hours ago
KIVUYO updated their profile
4 hours ago
KIVUYO shared GLOBAL's blog post on Facebook
4 hours ago

ISSA MICHUZI

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website