Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

BONGO FLEVA MPYA

Members

  • mariona
  • marichui
  • allen mwasi
  • Jackson chengula
  • marichui
  • mawani pk
  • Sanguro
  • kalisa bruno taifa
  • Daudi
  • Festo Mshabaha
  • ANDERSON SOGOLE
  • Sophia Edgar Brayan
  • Hancy mrishou
  • Shaka zulu
  • munira masoud
  • MIKU TEWELI MWORIA
  • innocent mwita
  • Geofrey
  • Anthony Michael
  • ELIA KIBGA

ADVERTISE HERE..!!

TOP PHOTOS ZA WIKI

1. CHABO FULU NONDO....

Added by Sixbert on January 23, 2012

2. MITIHANI MINGINE DUUH!

Added by kadama J'z on January 4, 2012

3. HAYA NDIO MAMBO YA UTALII

Added by kadama J'z on January 23, 2012

ZILIZO TOP WIKI HII

1. MAMA UWOYA ANENA MAZITO

Added by GLOBAL on January 23, 2012

2. MREMBO AVUA NGUO KORTINI

Added by GLOBAL on January 24, 2012

3. LIBYA DAMU UPYA

Added by GLOBAL on January 24, 2012

4. AIBU KUBWA

Added by GLOBAL on January 26, 2012

5. LULU SKENDO NO 1 2012

Added by GLOBAL on January 23, 2012

Advertisement

 

 

 


News Posts

GLOBAL

maskini vengu

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:32am 0 Comments

Na Erick Evarist & Gladness Mallya

HALI ya msanii ‘jembe’ wa Orijino Komedi, Joseph Shamba ‘Vengu’ (pichani) imeelezwa bado ni tete huku kauli mbiu ikiendelea kuwa ileile ‘jamani tumuombeeni Vengu.’

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mtanzania mmoja anayefuatilia afya ya staa huyo nchini India alipo kwa matibabu, hali si nzuri licha ya kukutana na madaktari bingwa wa huko.

“Jamani cha kusisitiza ni kwa Watanzania huko nyumbani tuzidi kumwombea Vengu, bado hayuko vizuri, hali ni tete,” alisema Mtanzania huyo kwa kuweka mada kwenye…

GLOBAL

Wema aonesha jeuri ya fedha

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:24am 1 Comment

Na ; Musa mateja

SUPA staa wa Bongo, Wema Isaac Sepetu juzikati alionesha jeuri kubwa ya fedha pale alipomwaga minoti jukwaani akiwatuza wanamuziki wa Bendi ya Mapacha Watatu, Risasi Jumamosi limeinyaka.

Tukio hilo lilitokea Januari 24, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Star Coco Beach, Dar ambapo bendi hiyo ilikuwa ikitumbuiza.

Awali, wakati nyota huyo anaingia kwa mbwembwe, mwimbaji wa bendi hiyo, Kalala Hamza ‘Junior’ alipeleka kinywa kwenye ‘maiki’ na kumtaja jina hali iliyowafanya mashabiki wageuke kumwangalia.

Hapo sasa, Wema alikwenda moja kwa moja…

GLOBAL

Kizaazaa cha Mchina

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:21am 0 Comments

Na Mwandishi wetu

Dawa za Kichina za kuongeza makalio zimeleta kizaazaa cha aina yake kufuatia baadhi ya wanawake waliozitumia kwa lengo la ‘kuwachanganya’ wanaume kukiona cha mtemakuni.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, baadhi ya wanawake hao wakiwemo mastaa wa Bongo sasa wanahaha kutafuta njia za kupunguza miili yao baada ya kubaini uamuzi waliochukua awali haukuwa sahihi.

Imebainika kuwa, kufuatia matumizi ya dawa hizo wapo ambao sasa hawatamaniki kutokana na kuwa na maumbile ‘kichekesho’ hivyo kukosa ule mvuto…

GLOBAL

Nora, mume hapatoshi

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:19am 0 Comments

Na Shakoor Jongo

Ndoa ya staa wa sanaa za maigizo Bongo, Nuru Nassor ‘Nora’ (pichani)inashikiliwa na nyuzi moja dhaifu kwa sababu yupo kwenye ‘gogoro’ zito na mume wake, Masoud Ali ‘Luqman’.

Habari kuwa Nora na Luqman hapatoshi, zimemiminwa kwenye gazeti hili na mnyetishaji wetu makini ambaye ameeleza kuwa chanzo ni kauli ya mrembo huyo aliyoitoa hivi karibuni.

Chanzo chetu kimeeleza kuwa kauli aliyoitoa Nora kuwa yupo tayari kuomba talaka endapo mume wake hatamruhusu kucheza filamu ndiyo iliyoibua ‘timbwili’ ndani ya familia hiyo yenye wanachama wawili.

“Mume wake aliposoma…

GLOBAL

Johari hataki tena magari

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:00am 0 Comments

Na Brighton Masalu

BAADA ya kunusurika kifo mara mbili, msanii mwenye jina kubwa katika tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’, amesema kwa sasa hataki tena kuendesha magari, Risasi Jumamosi linanukuu.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa gazeti hili katikati ya wiki hii, Johari aliweka wazi kuwa kutokana na kunusurika huko kifo, sasa hataki tena kuendesha magari  na badala yake atakuwa anamtumia dereva wake mwenye utaalamu.

Msanii huyo aliyasema hayo baada ya hivi karibuni kupata ajali ya gari iliyotokea Ubungo, Dar katika Barabara ya Mandela huku…

GLOBAL

KATUNI MIX...

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:12am 0 Comments

chakunogela

hamnazo.

katun…

GLOBAL

Mwaka 2012, badilisha fikra chakavu kuhusu mapenzi-4

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:12am 0 Comments

Na Luqmani maloto

Mfano wa uhusiano wa Sherry na Mosses ambao tulianza nao wiki iliyopita katika mada hii, tunaukamilisha leo katika sehemu ya mwisho ya makala haya.

Kama tulivyoona, ipo wazi kuwa Mosses ndiye huonesha hisia zake kwa Sherry na hata marafiki zao hufikia kusema kwamba jamaa ndiye anayesababisha uhusiano wao uendelee kuwepo, vinginevyo wangekuwa wamekwishapigana mwereka.

Sherry anapoambiwa amependeza anajibu ‘asante’ halafu imetoka. Akiambiwa yeye ni mwanamke mzuri jibu ni ‘thank you’. Hathubutu kumwambia Mosses kuwa amependeza au ni mwanaume anayemvutia kuliko wote, ila akiwa kazini kwake, pongezi huzimwaga huko. “James umependeza!” Sherry anamwambia mfanyakazi mwenzake.

Wakati mwingine Sherry anakosa hekima, anamueleza Mosses: “Unajua sisi…

GLOBAL

Majambazi Yapanga Mawe Na Kupora Manyoni..

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 4:10pm 10 Comments

Ndugu zangu,



Niliondoka Singida Mjini saa kumi na moja alfajiri kuelekea Dodoma. Kilomita 40 kutoka Manyoni nilikutana na hali hiyo pichani kunako saa kumi na mbili na nusu. Eneo la…

GLOBAL

WEMA, KAJALA WAGOMBEA BWANA

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 9:00am 26 Comments

http://api.ning.com/files/v864S1k6upToZ0emQVN2OKNteDAr7*RTYRd59YJ-d0COBm8rzsqlCtO8-6wgFoDvuPyFIRql0RMhoufytkdPCNWTF7RvTXf2/kajalal.jpg

Kajala Masanja.

Wema.

Na Mwandishi Wetu

KIMENUKA! Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja, wanadaiwa kuingia kwenye bifu ‘babkubwa’ kisa kikidaiwa ni kugombea mwanaume, Ijumaa lina fulu data.

NI KIGOGO WA IKULU

Kwa mujibu wa chanzo kisicho na shaka, hivi karibuni warembo hao ‘wanaokinukisha’ katika tasnia ya filamu Bongo, walijikuta wakiingia kwenye gogoro kufuatia Kajala kutuhumiwa ‘kumtokea’ mwanaume mpya wa Wema aliyetajwa kwa jina moja la Clemence ambaye anadaiwa…

Forum

Gysper

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Gysper Dec 13, 2011. 19 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kulikoni Ughaibuni

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by lucas mgaya Jan 2. 5 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Sebastian Salatiel Shemhilu

HIVI KWELI VIONGOZI WETU WANA UCHUNGU NA WANANCHI WANAOSAFIRI KUPITIA RELI YA KATI?

Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by kaka Dec 24, 2011. 7 Replies

Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…

Fadhili Hezekiah

Viongozi Tanzania ni WANASIASA ua WAPIGAPOROJO?

Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies

Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…

Bena Mushi

DOWANS

Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies

Swala la Dowans bado ni kitendawili. Je Ilipwe au isilipwe?

saleh mohamed

matokeo ya form 4

Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Alfred uisso Nov 23, 2011. 4 Replies

hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?

VICKY WILSON

BONGO MOVIES SUBTITLES

Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Halifa Rama Nov 20, 2011. 6 Replies

Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…

Videos

  • Add Videos
  • View All

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT

TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Profile Icon
mawani pk commented on kadama J'z's photo
kadama  haya kama ni original mpaka umempig picha  kashakuonjesha  hebu simulia…
6 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Geofrey
happy birth day
41 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for ELIA KIBGA
happy birth day
44 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for E-sir Hezron
happy birth day
45 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Charlz Gudboy Marick
happy birth day
47 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Baharia Kengwah
happy birth day
47 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Anosigwe nyingi
happy birth day
50 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Amos Nkomali
happy birth day
51 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Amon Nestory
happy birth day
53 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Alex Mulaki
happpy birth day
54 minutes ago
Profile Icon
ANDERSON SOGOLE left a comment for Administrator
happy birth day
55 minutes ago
Profile Icon
Ukweli100 commented on GLOBAL's blog post 'KATUNI MIX...'
hahahha! nyunyuzia!!
1 hour ago

ISSA MICHUZI

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service