Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

3. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

HAYAWIHAYAWI, SASA YAMEKUWA! USIKU WA HIP HOP, THE VODACOM MIC KING KURINDIMA J’MOSI HII DAR LIVE

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 11:30am 0 Comments

Wakali tisa wa Hip Hop wanaowania gari aina ya Toyota FunCargo (new model), katika pozi mbele ya gari lao.

Na Mwandishi Wetu

ILIPANGWA, ikapangika. Baada ya kusubiririwa kwa muda mrefu, hatimaye msimu mpya wa shoo ya Usiku wa Hip Hop (2013) unachukuwa nafasi Jumamosi hii ndani ya Ukumbi wa Dar live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar.

Wasanii wanaotamba kwenye gemu la Hip Hop, Kala Jeremiah, Fid Q, Nay wa Mitego, Joh Makini, Stamina na wengine kibao pamoja na washiriki wa Shindano la The Vodacom Mic King watakamua shoo baab’kubwa kuweka…

KAKA, DADA WANASWA WAKIDUU

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:00am 15 Comments

-Ni mchana kweupe kwenye ufukwe wa Coco, polisi wawabana, nusura zipigwe

Na Issa Mnally

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni. Usemi huu unakamilishwa na tukio la kunaswa kwa vijana wawili wenye undugu wa damu wakifanya mapenzi ‘wakiduu’ kando ya Ufukwe wa Bahari ya Hindi!

Vijana wawili wenye undugu wa damu baada ya kunaswa wakifanya mapenzi.

Imefahamika kwamba vijana  hao, kaka na dada (majina tunayo) …

WASTARA RUKSA... KUOLEWA

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:00am 6 Comments

Na Imelda Mtema

MWIGIZAJI mwenye uwezo mkubwa wa kucheza na hisia, Wastara Juma amemaliza eda, kwa mujibu wa imani yake ya Dini ya Kiislamu ni ruksa kuolewa wakati wowote kutoka sasa.

Wastara Juma.

Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika kilicho karibu na msanii huyo, zinasema kwamba Wastara amemaliza salama eda yake baada ya kufiwa na mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ Januari, mwaka huu.

Staa huyo bado yupo Muscat, Oman alikoitwa na ndugu zake kwa ajili ya kukaa eda hiyo…

ODAMA AANGUA KILIO UPYA

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:10am 3 Comments

Na Mwandishi Wetu

IKIWA ni miezi tisa imekatika tangu msanii Rose Thomas Maguzo afariki dunia, mwigizaji mwenzake Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameshindwa kujizuia na kuangua kilio upya makaburini wakati wakijengea kaburi la msanii huyo.

Odama (katikati) na ndugu wa marehemu wakiangua kilio.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Makaburi ya Mabibo, Dar ambapo Odama na ndugu, jamaa na marafiki wengine wa marehemu walifika hapo kwa shughuli ya kujengea kaburi hilo.

Marehemu Rose, ingawa alifanya kazi na watu…

SIMBA YAMPANDISHA NGASSA MAHAKAMANI

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am 1 Comment

Na Mwandishi Wetu

UONGOZI wa Simba umechukua uamuzi wa kumpandisha kizimbani kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa kutokana na uamuzi wake wa kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.

Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi bada ya kujiunga na Yanga.

Ngassa aliyekuwa akiichezea Simba kwa mkopo kutoka Azam FC, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga lakini Simba wamesema walishasaini naye mkataba wa mwaka mmoja.

Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Msimbazi wameamua kufanya mambo yao…

Brandts akabidhi usajili Yanga SC

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am 0 Comments

Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts.

Na Wilbert Molandi

KOCHA Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts, tayari amekabidhi ripoti yake ya usajili ya wachezaji atakaowasajili na atakaowatema kwenye usajili wa msimu ujao.

Kwenye timu hiyo, jumla ya wachezaji 14 mikataba yao imemalizika, kati ya hao, wapo baadhi wamependekezwa kubakizwa na wengine kutupiwa virago.

Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Abdallah Bin Kleb, alisema ripoti hiyo ameikabidhi hivi karibuni.

Bin Kleb…

TAARIFA KUHUSU MATANGAZO YA KAZI SERIKALINI

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 4:11pm 0 Comments

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira, Bw. Xavier Daudi akifafanua jambo. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira, Bw. Bakari Mahiza.

Waombaji waliotuma maombi ya fursa za ajira kwa ajili ya matangazo yaliyokuwa yametolewa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma  kwa niaba ya Waajiri mbalimbali nchini mnamo  tarehe 26 Machi, 2013 moja likiwa katika lugha ya Kiingereza na lingine katika lugha ya Kiswahili ambapo mwisho wa kutuma maombi ilikuwa tarehe 9 Aprili, 2013 wametakiwa kutembelea tovuti ya Sekretarieti ya Ajira mara kwa mara ili kupata ratiba ya usaili kwa nafasi walizoomba.

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi amesema  hayo leo alipokuwa akiongea na…

DK. ASHA-ROSE MIGIRO AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI DODOMA LEO

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 3:17pm 0 Comments

Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akizungunza na waandishi wa habari, leo katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Amezungumzia masuala mbalimbali yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichomalizika jana. (Picha na Bashir…

BREAKING NEWS: MTWARA KIMENUKA

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 2:00pm 2 Comments

Habari zilizotufikia kutoka Mtwara zinaeleza kuwa kumeibuka vurugu ambazo zimepelekea mabomu ya machozi na risasi za moto kutumika baada ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kusomwa bungeni na kueleza kuwa mradi wa gesi Mtwara utatekelezwa bila kutaja faida za moja kwa moja watakazozipata wananchi hao. Inadaiwa kuwa kwa sasa kauli mbiu ya wananchi walio katika maeneo hayo ni  "Gesi haitoki hata kwa bomba la…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service