Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

LISA JENSEN ATUNDIKWA MIMBA BILA NDOA!

Na Musa Mateja
STAA mrembo wa Kibongo aliyewakilisha Tanzania kwenye Shindano la Miss World 2012, Lisa Jensen kwa sasa anaitwa mama kijacho baada ya kutundikwa mimba kabla ya ndoa.

Akizungumza ‘exclusively’ na Ijumaa Wikienda, Lisa alithibitisha kuwa ni mjamzito na kusema mimba hiyo ni ya halali kwa kuwa…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

3. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:22pm 0 Comments

Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.

Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.

Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb …

DIAMOND, NEY WA MITEGO WAFANYA KUFURU DAR LIVE

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 4 Comments

Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki.

Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.…

SOMA HOTUBA YA SUGU ILIYOLETA KIZAAZAA BUNGENI LEO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 1:45pm 0 Comments

Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani-Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi (Mb).

MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI MHESHIMIWA JOSEPH O. MBILINYI (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

(Inatolewa chini ya Kanuni ya 99 (9) ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2013)

1. UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika,

Dira ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ni “kuwa na taifa lililohabarishwa vizuri, lina vijana wenye uwezo na malezi bora,…

USIKU WA HIP HOP & THE MIC KING KURINDIMA DAR LIVE MEI 25, 2013

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!

DK. MASSAU; SHUJAA, MKOMBOZI, KIFO CHAKE NI CHACHU YA MABADILIKO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 2 Comments

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

TUNAWEZA tusifike mahali pazuri kama hatutawathamini wataalamu wetu. Wazalendo wanaojitoa kulisaidia taifa lao, tunawakatisha tamaa, tunawazuia wasifanikishe malengo yao mema kwa taifa hili. Tunawaonea kijicho, wakati mwingine ni kwa sababu za kifisadi.

Padri akisoma ibada wakati wa kuaga mwili wa Dk. Massau katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam…

NGASSA AKATAA MAMILIONI YA SIMBA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:30am 0 Comments

Na Mwandishi Wetu

JUHUDI za Simba kutaka kuona kiungo Mrisho Khalfan Ngassa anaifunga Yanga juzi zilikwama pamoja na kumuahidi mamilioni ya fedha kama angefunga bao katika mechi hiyo ya watani.

Katika mechi hiyo iliyomalizika kwa Simba kulala kwa mabao 2-0, Ngassa aliahidiwa kulipwa Sh milioni tatu kwa kila bao atakalofunga, lakini yeye hakufanya hivyo, badala yake akasisitiza yeye ni “Yanga damu.”

“Simba walimuahidi Ngassa shilingi milioni tatu kwa kila bao ambalo angefunga dhidi ya Yanga, alikubaliana nao lakini akaniambia asingeweza kufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Yanga damu,” alieleza ndugu yake…

TASWIRA ZA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 12:30pm 3 Comments

Mashabiki wa Simba na Yanga wakiwa uwanjani baada ya mechi.…

VIONGOZI WA MANCHESTER UNITED KUTETA NA AIRTEL JUMATANO JUU YA MRADI WA AIRTEL RISING STARS NCHINI‏

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 11:47am 0 Comments

Viongozi wawili kutoka Manchester United -- Anthony Benerjee, Mkurugenzi wa Uhusiano na Michael Higham, Meneja Uhusiano -- wanatua jijini Dar es Salaam Jumatano hii kufanya manzungumzo na viongozi wa Airtel Tanzania namna bora ya kuendesha michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars mwaka huu.

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando amesema mkutano huo utakaojumuisha wadau mbalimbali utafanyika makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam na kutathimini ARS ya miaka miwili iliyopita ili kuona namna nzuri ya kuendesha michuano siku za usoni kuanzia mwaka huu.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ni moja ya wadau wataoshiriki mkutano huo ili kutoa mchango wao hasa katika masuala ya kifundi kama vile upangaji wa ratiba ya mashindano. Ratiba ya kuanza kwa ARS 2013 inatarajiwa kutangazwa…

ABDALLAH KITWARA ALONGA NA VIJIMAMBO‏

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 11:14am 0 Comments

Hii ni sehemu ya kwanza ya Rais wa Vizion One Inc, Bwn. Abdallah Kitwara akilonga na Vijimambo anaelezea maisha yake kwa ufupi, shule alizosoma na alishawishika na nini kufungua kampuni na kwa nini alitumia VIZION yenye Z badala ya S mbali na Vizion One Inc ana kampuni gani zingine hapa Marekani na Tanzania. MSIKILIZE

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 2 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service