Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. WEMA: MIMI NA WANAUME TU

Added by GLOBAL on May 25, 2013

3. BREAKING NEWS: MTWARA KIMENUKA

Added by GLOBAL on May 22, 2013

5. WOLPER, BABY MADAHA BIFU LA KIFO!

Added by GLOBAL on May 24, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

3. Photo0631_001

Added by Tatu Majaliwa on April 11, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

SAIDA KAROLI: NIPO HAI, HAKUNA CHOCHOTE KILICHOTOKEA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Mwanamuziki Saida Karoli.

HIVI NDIVYO MLIPUKO WA BOMU ULIVYOUA WATU JIJINI ARUSHA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:57pm 0 Comments

Hivi ndivyo mlipuko wa bomu ulivyokatisha maisha ya Watanzania waliokuwa katika mkutano wa Chadema Juni 15 mwaka huu,kwenye Uwanja wa Soweto Kata ya Kaloteni jijini Arusha.

DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 2:30pm 1 Comment

Diamond akilonga na Sauda kuhusu shoo kali atakayotoa Usiku wa Matumaini 2013.

Sauda na Diamond wakiwa mbele ya kamera.…

USIKU WA MATUMAINI 2013: MABONDIA WABUNGE WAJIFUA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 1:00pm 2 Comments

UKIACHANA na mapambano yatakayopigwa kuwania Ngao ya Amani Afrika Mashariki kati ya Wakenya, Patrick Amote na Shadrack Muchanje na Watanzania, Thomas Mashali na Francis Miyeyusho, ushindani mkali unatarajiwa kuoneshwa na wabunge wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya wasanii wa filamu ambapo wote wameanza kujifua kwa mazoezi.

Mhe. Ester Bulaya akijifua kumkabili Aunt Ezekiel.

Mratibu wa tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Julai 7, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini…

SIMBA SC YAENDELEA KUJIFUA LICHA YA KUJITOA KAGAME CUP

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 12:10pm 2 Comments

Kipa Abuu Hashim akitibiwa baada ya kubanwa na misuli kutokana na mazoezi makali.

Edward Christopher (kushoto) akipiga pande kwa Jerald Mkude.

Mashabiki wakishuhudia mazoezi…

MAAJABU MAZISHI YA LANGA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 5 Comments

Na Waandishi Wetu

MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya  Kinondoni jijini Dar.

Mwili wa marehemu Langa Kileo.

MAAJABU

Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa ambaye hakufahamika jina lake, aliinama na kuushika mwili wake uliokuwa…

KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 6 Comments

Richard Bukos na Issa Mnally

KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.

Mwanamke huyo akila kichapo kutoka kwa waumini.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu majira ya usiku jirani na msikiti huo uliopo nyuma ya Corner Bar, Kijitonyama jijini Dar ambapo mwanamke huyo na…

OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43am 5 Comments

Na Mwandishi Wetu

KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.

Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.

Katika akaunti hiyo yenye jina la Ommy Dimpoz- Omary Faraji, mwishoni mwa wiki iliyopita ilijaa matusi na maneno makali yakimnanga jamaa huyo kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwenye Tuzo za…

LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 10 Comments

Na Dustan Shekidele, Morogoro

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.

Mrembo Saphina Chumba akiwa jukwaani na vazi lililomtia matatani.

Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa akiwania kuvaa taji la…

GERALD HANDO NUSURA AUAWE

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 7 Comments

Na Sifae Paul

MTANGAZAJI  mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’  ameponea chupuchupu kuuawa baada ya kutishiwa kwa bastola.

Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala Kwa Kopa, Dar alfajiri ya Jumatatu wiki hii.

Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’ .

Ilikuwaje?

Baada ya kutonywa mkasa huo, gazeti hili liliwasiliana na Hando ambaye siku hiyo alishindwa kutokea kwenye kipindi chake cha Power Breakfast na  alielezea kisa kizima.…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

UKIMYA WA VYOMBO VYA DOLA KUTOA TAARIFA ZA MATUKIO YA MAUAJI NA UTEKAJI NI ISHARA KUWA WANAHUSIKA?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies

Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…

Tags: UTEKAJI, NA, MAUAJI, NI, ISHARA

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Latest Activity

GLOBAL posted blog posts
7 minutes ago
Melissa Sanchez posted a status
8 minutes ago
Melissa Sanchez posted a status
13 minutes ago
Onyango Ochola posted a status
"mko powaaaaaa"
15 minutes ago
GLOBAL's 2 blog posts were featured
21 minutes ago
Jamey Close posted a status
21 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
52 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
52 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
52 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
53 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
53 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
53 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service