Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

NISHA ADAIWA KUWATOSA WATOTO YATIMA

Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

3. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

DIAMOND, NEY WA MITEGO WAFANYA KUFURU DAR LIVE

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 6 Comments

Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki.

Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.…

NGASSA AKATAA MAMILIONI YA SIMBA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:30am 5 Comments

Na Mwandishi Wetu

JUHUDI za Simba kutaka kuona kiungo Mrisho Khalfan Ngassa anaifunga Yanga juzi zilikwama pamoja na kumuahidi mamilioni ya fedha kama angefunga bao katika mechi hiyo ya watani.

Katika mechi hiyo iliyomalizika kwa Simba kulala kwa mabao 2-0, Ngassa aliahidiwa kulipwa Sh milioni tatu kwa kila bao atakalofunga, lakini yeye hakufanya hivyo, badala yake akasisitiza yeye ni “Yanga damu.”

“Simba walimuahidi Ngassa shilingi milioni tatu kwa kila bao ambalo angefunga dhidi ya Yanga, alikubaliana nao lakini akaniambia asingeweza kufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Yanga damu,” alieleza ndugu yake…

TUMEMUUA DK. MASSAU

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:00am 7 Comments

Na Mwandishi Wetu

JIJI la Dar es Salaam bado linazizima kufuatia kifo cha aliyekuwa mwasisi wa Taasisi ya Moyo Tanzania (THI), Dk. Ferdinand Massau Magessa aliyefariki dunia, majira ya saa 12 jioni ya Mei 16, mwaka huu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kukutoa machozi.

Jeneza lenye mwili wa Dk. Massau.

Kwa mujibu wa msemaji wa familia, Cosmas Mkama, Dk. Massau aliyekuwa bingwa wa magonjwa ya moyo, alifariki dunia baada ya kusumbuliwa na…

POLISI AMCHARANGA MAPANGA MWANAYE KISA MAPENZI

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:45am 3 Comments

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

KATI ya stori za mwaka zinazosikitisha, hii ni mojawapo! Polisi mstaafu, mkazi wa Kitongoji cha Sango, Kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani hapa, Samson Bwire (54), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga binti yake, Devotha Gerald (4), kisa kikidaiwa ni wivu wa kimapenzi.

Wataalamu wakipigania uhai wa mtoto Devotha Gerald, baada ya kukatwa mapanga na baba yake.

Tukio hilo lilitokea Mei 16, mwaka huu, majira ya jioni nyumbani kwa Bwire alipokuwa…

KILICHOMPATA MADAM RITA KINASIKITISHA!

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 5 Comments

Na Imelda Mtema

KILICHOMPATA Madam Rita kinasikitisha! Ndivyo unavyoweza kusema ukibahatika kumuona the big boss wa Benchmark Production inayoratibu Shindano la Bongo Star Search, Rita Poulsen ‘Madam’ anayetembelea magongo baada ya kupata ajali mbaya ya gari.

Rita Poulsen ‘Madam’.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda baada ya kuwa kimya muda mrefu ikielezwa kuwa alipata ajali hiyo kitambo, Madam Rita alisema kuwa kwanza kabisa anamshukuru Mungu kwani anaamini kila kitu kinachotokea chini ya jua kina sababu yake…

MSANII WA ZE COMEDY AFANYA UCHAFU ‘BICHI’

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 5 Comments

Na Mwandishi Wetu

MSANII memba wa Kundi la Ze Comedy linaloruka kupitia Runinga ya East Africa, Master Face amenaswa akifanya uchafu wa kushikana ‘kimalovee’ na msanii mwenzake aitwaye Happy ambaye alikuwa ametinga kivazi cha nusu utupu.

Master Face akijiachia na msanii mwenzie aitwaye Happy.

Kwa mujibu wa chanzo makini, wasanii hao walikuwa wakirekodi filamu katika ‘bichi’ ya Chadibwa iliyopo maeneo ya Kigamboni, jijini Dar ndipo walipopitiliza na kuanza kufanya madudu hayo ambayo hayakuwepo kwenye muswada wa filamu…

KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI AU KUSAHAU?

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:18pm 0 Comments

Prodyuza Tudd Thomas.

MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All Stars na zingine nyingi, Tudd Thomas, wamekuwa wakiulizana maswali mengi wao kwa wao pasipo  kupata majibu.

Safari ya Tudd Thomas katika muziki, ilianzia mkoani Iringa akiwa Iringa Records aliporekodi wimbo wa mwanamuziki Marlaw unaoitwa Bembeleza. Wimbo huo ulipata tuzo ya wimbo bora wa mwaka kutoka Kilimanjaro Tanzania Music Awards mwaka 2008 na pia kumfanya Marlaw apate tuzo ya msanii bora wa kiume kupitia tuzo hizo. Baadae alihamia jijini Dar es Salaam na ndipo…

VODACOM YATAWALA MBAGALA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:30pm 0 Comments

Dogo Tundu akiwapa burudani wakazi wa Mbagala Kizuiani. Wateja wakijiunga na mtandao wa Vodacom.

MC Chaku akiwasihi wananchi wa Mbagala Kizuiani kujiunga na mtandao wa…

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm 0 Comments

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.

3 737a2

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Adam Malima, akizungumza na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa ndani ya ukumbi wa Bunge leo.

1 89ca1

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akizungumza na Naibu wake Mhe. Amos Makalla bungeni kabla ya kusomwa…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 10 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service