Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 1:00pm 0 Comments 0 Likes
Meneja Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kushoto) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo. Wengine pichani kutoka kushoto ni DJ John Dilinga (JD), Prodyuza Ally Baucha na Prodyuza Tudd Thomas.
Kutoka kushoto waliokaa ni msanii Stamina, DJ John Dilinga, Abdallah Mrisho, Ally Baucha na Tudd Thomas katika picha ya pamoja na washiriki wa The Vodacom Mic King waliosimama…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 7:45pm 0 Comments 0 Likes
Mshindi wa milioni 100 katika droo kubwa ya VODACOM MAHELA, Bw. Valelian Nickodemus (22) ambaye ni mkazi wa mkoa wa Kigoma akiongea na mwandishi Khatimu Naheka wa Mtandao huu leo alipotembelea ofisi zake zilizopo Mwenge Bamaga jijini Dar es Salaam. Msikilize!
(Video: Gladness Mallya / GPL)
Posted by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:32pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am 8 Comments 0 Likes
Na Gladness Mallya
SAKATA la kijana Bonny Fabian Kavishe kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi baba yake, mzee Livingstone Kavishe akiamini ni mwizi sasa ni simulizi ya machozi kufuatia kusomwa kwa waraka mzito ulioandikwa na mtuhumiwa huyo ambaye bado yupo mahabusu ya Polisi Mlandizi, Bagamoyo, Pwani.
Majonzi na simanzi wakati wa kuuaga mwili wa marehemu, mzee Livingstone Kavishe.
Waraka huo ulizidi kuwatoa machozi baadhi ya waombolezaji siku ya mazishi yaliyofanyika Marangu, Wilaya ya Moshi Vijijini,…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am 4 Comments 2 Likes
Na Mwandishi Wetu
TUKIO la kuuawa kwa mfanyabiashara kijana mwenye mafanikio, Ayoub Mlay, siyo tu linaacha simanzi kwa Watanzania bali pia ni fundisho kwa jamii na serikali.
Mwili wa marehemu Ayoub Mlay baada ya kupigwa risasi.
MLAY, alifariki dunia usiku wa Alhamisi iliyopita, Mei 16, mwaka huu baada ya kupigwa risasi kwenye Klabu ya Ambrosia, iliyopo Kawe Beach jijini Dar es Salaam.
Simanzi inakuja kwa sababu Mlay, 38, alikuwa mfanyabiashara kijana aliyeonesha mafanikio na kupiga…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am 4 Comments 0 Likes
Na Makongoro Oging'
FAMILIA ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi imejikuta matatani kufuatia nyumba namba 13, kitalu 33F iliyopo Mtaa wa Mwinjuma, Kinondoni, jijini Dar anayoishi mjukuu wake, Abood Hassan Mwinyi kupigwa kufuli kwa amri ya mahakama.
Geti la nyumba anayoishi mjukuu wa mzee Mwinyi, Abood Hassan Mwinyi likiwa limepigwa kufuli.
Tukio hilo lilijiri saa 6:11 Jumamosi ya Mei 17, mwaka huu ambapo ilidaiwa Abood anaishi kwenye nyumba hiyo na mama mkwe…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 7:18pm 0 Comments 0 Likes
Mkurugenzi Mkuu wa Helvetic Solar Contractors Eng. Patrick Ngowi akiwa na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuu wa IPP Media, Bi. Joyce Mhavile, alipofika katika ofisi hizo mapema leo kwa ajili ya mazungumzo na kuhojiwa katika kipindi cha Business Edition, kitakachorushwa Ijumaa hii saa 2 na dakika 45 usiku, Capital TV. (Picha na habari na Amani Nkurlu.)
Dar es Salaam. 21 Mei, 2013 Mkurugenzi Mkuu wa Helvetic Solar Contractors Eng. Patrick Ngowi ameendelea kutoa rai kwa vijana nchini Tanzania kuwa na moyo na bidii ili kuweza kutimiza ndoto zao za maendeleo na kujikwamua kiuchumi.
Eng. Ngowi ambaye pia ni mshindi wa ‘Forbes 2013: 30 under 30: Africa’s Best Young Entrepreneurs’ alisema maneno hayo…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 3:30pm 0 Comments 0 Likes
Release No. 086
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mei 21, 2013
LIUNDA KUTATHMINI WAAMUZI MECHI YA FIFA
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua Leslie Liunda wa Tanzania kuwa mtathmini wa waamuzi (referee assessor) katika mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia.
Mechi hiyo ya Kundi B, Kanda ya Afrika kati ya Cape Verde na Equatorial Guinea itafanyika Juni 8 mwaka huu saa 10.30 jioni kwenye Uwanja wa Verzea mjini Praia.
Waamuzi…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 4:30pm 0 Comments 0 Likes
Mwanamitindo Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi ya wananchi waliopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita katika ajli ya MV Bukoba.
Flaviana akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo.…

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 3:22pm 0 Comments 0 Likes
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



