Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

3. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

PAMBANO LA SIMBA, YANGA LAINGIZA MIL 500/-

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 12:00pm 0 Comments

Timu za Simba na Yanga zikiingia uwanjani jana.

Pambalo la watani wa jadi Simba na Yanga la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa jana (Mei 18 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa mabingwa wapya Yanga kushinda mabao 2-0 limeingiza sh. 500,390,000.

Mechi hiyo namba 180 ambayo ilikuwa kati ya saba la kuhitimisha ligi hiyo msimu wa 2012/2013 ilishuhudiwa na watazamaji 57,406 waliokata tiketi kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 15,000, sh. 20,000 na sh. 30,000.

Kila klabu imepata mgawo wa sh. 123,970,927.45 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 76,330,677.97.

Kiingilio cha sh. 5,000 ndicho kilichovutia watazamaji wengi ambapo…

SUMAYE AENDESHA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA CHUO KIKUU TUMAINI MKOANI IRINGA

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 11:30am 0 Comments

Askofu wa KKKT Dayosisi ya  Iringa, Dkt Mdegella (kushoto), Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye (katikati) na Mkuu  wa Mkoa  wa Iringa, Dkt Ishengoma (kulia) wakiwa katika harambee ya ujenzi wa kanisa katika Chuo Kikuu cha Tumaini mkoani Iringa leo.

Mbunge  wa Jimbo la Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa akiwa katika harambee ya ujenzi  wa  kanisa katika Chuo Kikuu Tumaini ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye.…

DIAMOND, NEY WA MITEGO WAFANYA KUFURU DAR LIVE

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 0 Comments

Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki.

Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.…

VUGURU ZATOKEA MJINI IRINGA, POLISI WATUMIA MABOMU KUREJESHA AMANI

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 12:00pm 0 Comments

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa baada ya Machinga kufunga barabara kuu ya Iringa - Dodoma na ile ya Mashine Tatu mjini Iringa leo.

Hali ikiwa tete eneo hilo.…

YANGA YAIGONGA SIMBA 2-0, YATWAA KOMBE LA VPL

Posted by GLOBAL on May 18, 2013 at 6:30pm 3 Comments

Wachezaji wa Yanga SC wakishangilia na kombe lao baada ya mechi dhidi ya Simba SC.

Timu ya Yanga leo imewaadhibu watani wao wa jadi, Simba SC baada ya kuwalaza kwa bao 2-0  katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yamefungwa na Didier Kavumbagu na Hamis Kiiza. Baada a mchezo huo, Yanga SC ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom mwaka huu, walikabidhiwa kombe lao.

NYUMBANI KWA MAREHEMU DK MASAU LEO

Posted by Global Publishers on May 18, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Pichani ni baadhi ya waombolezaji waliokutwa na mtandao huu nyumbani kwa marehemu Dk. Masau, Mbweni Kwajumbe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Imeelezwa kuwa Dk. Masau anatarajiwa kuagwa kesho katika Hospitali ya Aghakan saa 5:00 asubuhi. Baada ya hapo mwili utarudishwa nyumbani kwake kabla ya kusafirishwa keshokutwa kwenda kwa maziko kijijini kwao Murutunguru, Wilaya ya Ukerewe.

Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani…

DR. FERDINAND MASAU WA TANZANIA HEART INSTITUE AFARIKI DUNIA

Posted by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:47pm 4 Comments


 Taarifa zilizotufikia zinasema muasisi wa hospitali ya moyo ya Tanzania Heart Institue Dr. Ferdinand Masau amefariki dunia usiku wa kuamkia leo hata hivyo bado tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi juu ya msiba huo mkubwa kwa taifa kutokana na umuhimu wa Marehemu Dr. Ferdinand Masau, Tutawaletea taarifa zaidi kadiri tutakavyozipata.
Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya marehemu Dr. Ferdinand Masau AMIN

UZINDUZI WA WIKI YA FISTULA ULIVYOFANA BUKOBA‏

Posted by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:16pm 1 Comment

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Zaipora Pangani akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa wiki ya maadhimisho ya wiki ya fistula leo mjini Bukoba. Wa kwanza kulia ni Balozi wa Chapa Vodacom Msanii Mwana FA na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacam Salum Mwalim. Wengine pichani kushoto ni Mwakilishi wa CCBRT Kasper Mmuya na Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Nassor Mnambila.Maadhimisho hayo yanafadhiliwa na Vodacom, Vodafone na CCBRT

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Zaipora Pangani akikabidhi funguo ya gari kwa Balozi wa Chapa Vodacom…

SEVERINE EMMANUEL AIBUKA MISS USTAWI

Posted by GLOBAL on May 18, 2013 at 12:02pm 2 Comments

Miss  Ustawi 2013 Severine Emmanua (katikati), akiwa katika pozi la pamoja na mshindi namba mbili Cecilia Francis (kulia), na kushoto ni mshindi namba tatu Angela Evarist.

Washiriki wa shindano hilo wakitoa shoo ya utangulizi kabla ya mchakato wa kutafuta washindi kuanza.…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Profile IconGlobal Publishers via Facebook
Thumbnail

PAMBANO LA SIMBA, YANGA LAINGIZA MIL 500/- Timu za Simba na Yanga zikiingia uwanjani jana.…

See More
Facebook18 minutes ago · Reply
Olga Bliss posted a status
20 minutes ago
Olga Bliss posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
26 minutes ago
Terese Forsyth posted a status
28 minutes ago
Olga Bliss posted a status
32 minutes ago
GLOBAL's 5 blog posts were featured
43 minutes ago
Katherina Magnuson posted a status
43 minutes ago
GLOBAL posted blog posts
43 minutes ago
Katherina Magnuson posted a status
""
43 minutes ago
Katherina Magnuson posted a status
46 minutes ago
Alecia Purdy posted a status
"These cables will allow you to use your computer with the television in your hotel room."
48 minutes ago
Katherina Magnuson posted a status
48 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service