Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. WEMA: MIMI NA WANAUME TU

Added by GLOBAL on May 25, 2013

3. BREAKING NEWS: MTWARA KIMENUKA

Added by GLOBAL on May 22, 2013

5. WOLPER, BABY MADAHA BIFU LA KIFO!

Added by GLOBAL on May 24, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

3. Photo0631_001

Added by Tatu Majaliwa on April 11, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

ZITTO KABWE AONGELEA KUHUSU USIKU WA MATUMAINI 2013

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:44pm 0 Comments

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Zitto Kabwe akiongelea kuhusu Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini 2013 litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Julai 7 mwaka huu.

MPIGIE KURA MWAKILISHI WETU 'NANDO' ABAKI BIG BROTHER AFRICA 8 THE CHASE

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 5:30pm 0 Comments

Ammy Nando.

Our Tanzania representative for 2013 Big Brother Africa 8 The Chase "Nando"  is up for eviction this weekend

To save him from being evicted please do vote for him:

*       Sms - name Nando to 15456

*       Website go to www.bigbrotherafrica.com/a>;http://www.bigbrotherafrica.com>; and login in your details. Then select VOTE & WIN icon which will give you names of nominated…

VIONGOZI WA CHADEMA NA WANANCHI JIJINI ARUSHA WAACHIWA KWA DHAMANA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43pm 0 Comments

Jeshi la polisi nchini limewaachilia kwa dhamana viongozi wa Chadema na wananchi wote waliokuwa wanashikiliwa na limemtaka mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe kuwasilisha ushahidi wa mtu aliyelipua bomu kwenye mkutano kwa Mh. Rais kama hana imani na jeshi la polisi.

(VIDEO: ITV)

DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 2:30pm 3 Comments

Diamond akilonga na Sauda kuhusu shoo kali atakayotoa Usiku wa Matumaini 2013.

Sauda na Diamond wakiwa mbele ya kamera.…

KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 9 Comments

Richard Bukos na Issa Mnally

KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.

Mwanamke huyo akila kichapo kutoka kwa waumini.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu majira ya usiku jirani na msikiti huo uliopo nyuma ya Corner Bar, Kijitonyama jijini Dar ambapo mwanamke huyo na…

LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 11 Comments

Na Dustan Shekidele, Morogoro

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.

Mrembo Saphina Chumba akiwa jukwaani na vazi lililomtia matatani.

Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa akiwania kuvaa taji la…

MAAJABU MAZISHI YA LANGA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 8 Comments

Na Waandishi Wetu

MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya  Kinondoni jijini Dar.

Mwili wa marehemu Langa Kileo.

MAAJABU

Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa aitwaye Chris Ruhuza a.k.a 'Ngeleja' aliinama na kuushika mwili wake…

GERALD HANDO NUSURA AUAWE

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 8 Comments

Na Sifae Paul

MTANGAZAJI  mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’  ameponea chupuchupu kuuawa baada ya kutishiwa kwa bastola.

Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala Kwa Kopa, Dar alfajiri ya Jumatatu wiki hii.

Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’ .

Ilikuwaje?

Baada ya kutonywa mkasa huo, gazeti hili liliwasiliana na Hando ambaye siku hiyo alishindwa kutokea kwenye kipindi chake cha Power Breakfast na  alielezea kisa kizima.…

OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43am 6 Comments

Na Mwandishi Wetu

KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.

Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.

Katika akaunti hiyo yenye jina la Ommy Dimpoz- Omary Faraji, mwishoni mwa wiki iliyopita ilijaa matusi na maneno makali yakimnanga jamaa huyo kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwenye Tuzo za…

BOSI WA GERVINHO AIPA YANGA SC KIFAA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 2 Comments

Na Saleh Ally

YANGA sasa wameula, hasa kama watakuwa kweli wanataka mambo yabadilike baada ya bilionea wa Ivory Coast aliyesaidia kukua kwa kipaji cha Gervais Lombe Yao, maarufu kama Gervinho, kusema yupo tayari kuwapa kipa au wachezaji wengine nyota.

Gervais Lombe Yao 'Gervinho'.

Pamoja na Yanga, bilionea huyo, Aziz Alibhai, mwenye asili ya Tanzania, amesema pia yupo tayari kuwatoa wachezaji wake kwa mkopo au kwa makubaliano tofauti ili kusaidia timu za Tanzania.

“Nina kipa anaitwa Badra Ali (Sangare),…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

UKIMYA WA VYOMBO VYA DOLA KUTOA TAARIFA ZA MATUKIO YA MAUAJI NA UTEKAJI NI ISHARA KUWA WANAHUSIKA?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies

Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…

Tags: UTEKAJI, NA, MAUAJI, NI, ISHARA

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Latest Activity

Melissa Sanchez posted a status
21 minutes ago
Julian Jefferson posted a status
""
1 hour ago
Louie Crouch posted a status
1 hour ago
Julian Jefferson posted a status
1 hour ago
Jamey Close posted a status
1 hour ago
Julian Jefferson posted a status
2 hours ago
nellicy maluli commented on GLOBAL's blog post TAARIFA YA MSIBA: MWANDISHI CHARLES HILILA AFARIKI DUNIA
"R.I.P. CHARLES"
2 hours ago
GLOBAL posted blog posts
2 hours ago
GLOBAL's 18 blog posts were featured
2 hours ago
Quentin Burchfield posted a status
3 hours ago
Quentin Burchfield posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
3 hours ago
Quentin Burchfield posted a status
""
3 hours ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service