Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…
Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm 0 Comments 0 Likes
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Adam Malima, akizungumza na Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ndani ya ukumbi wa Bunge leo.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akizungumza na Naibu wake Mhe. Amos Makalla bungeni kabla ya kusomwa…

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments 1 Like
Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:27pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:32pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:59pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:22pm 2 Comments 0 Likes
Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)
Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.
Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.
Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb …

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 6 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 1:45pm 1 Comment 1 Like
Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani-Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi (Mb).
MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI MHESHIMIWA JOSEPH O. MBILINYI (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014
(Inatolewa chini ya Kanuni ya 99 (9) ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2013)
1. UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika,
Dira ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ni “kuwa na taifa lililohabarishwa vizuri, lina vijana wenye uwezo na malezi bora,…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 2 Comments 0 Likes
Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.
TUNAWEZA tusifike mahali pazuri kama hatutawathamini wataalamu wetu. Wazalendo wanaojitoa kulisaidia taifa lao, tunawakatisha tamaa, tunawazuia wasifanikishe malengo yao mema kwa taifa hili. Tunawaonea kijicho, wakati mwingine ni kwa sababu za kifisadi.
Padri akisoma ibada wakati wa kuaga mwili wa Dk. Massau katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 5 hours ago. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for waheed muhammad ibrahim
tina babi left a comment for ezra sanga
tina babi left a comment for Kutua kutuas
tina babi left a comment for Elvis Dan
tina babi left a comment for Dany
tina babi left a comment for Isdory Pancras
tina babi left a comment for Rockland David
tina babi left a comment for Bigambo Thomas
tina babi left a comment for EMMANUEL DAUD
tina babi left a comment for king kong
tina babi left a comment for steven leonce
tina babi left a comment for issa lyuba© 2013 Created by Global Publishers.



