Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. WEMA: MIMI NA WANAUME TU

Added by GLOBAL on May 25, 2013

3. BREAKING NEWS: MTWARA KIMENUKA

Added by GLOBAL on May 22, 2013

5. WOLPER, BABY MADAHA BIFU LA KIFO!

Added by GLOBAL on May 24, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

3. Photo0631_001

Added by Tatu Majaliwa on April 11, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

SIKU YA UGONJWA WA SIKOSELI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 6:00pm 0 Comments

Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Grace Rubambey (katikati) akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya ugonjwa wa  Sikoseli Duniani jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mfuko huo, Dk Julie Makani,  Balozi wa Canada nchini, Alexandre Leveque na mmoja wa watu wanoishi na ugonjwa huo, Arafa Salim Said.

Balozi wa Canada nchini, Alexandre Leveque (katikati) akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya ugonjwa wa Sikoseli Duniani…

WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WABEBESHWA MZIGO WA UALIMU WA SAYANSI ROMBO

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 6:43pm 0 Comments

Baadhi ya wanafunzi Sekondari ya Nduweni wakiwa darasani.

Baadhi ya wanafunzi wa Sekondari ya Urauri, Wilaya ya Rombo.…

MASHUJAA , VICTORIA NA B BAND ZAMPONGEZA VICTOR BUGURUNI

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:00pm 0 Comments

Mwimbaji wa Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel  ‘Chaz Baba (kulia), akiwa kwenye pozi  na Mkurugenzi wa bendi hiyo, Mama Sakina (kati) na Victor Buguruni (kushoto).

Chaz Baba akiongoza safu ya waimbaji wa bendi yake.…

MPIGIE KURA MWAKILISHI WETU 'NANDO' ABAKI BIG BROTHER AFRICA 8 THE CHASE

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 5:30pm 0 Comments

Ammy Nando.

Our Tanzania representative for 2013 Big Brother Africa 8 The Chase "Nando"  is up for eviction this weekend

To save him from being evicted please do vote for him:

*       Sms - name Nando to 15456

*       Website go to www.bigbrotherafrica.com/a>;http://www.bigbrotherafrica.com>; and login in your details. Then select VOTE & WIN icon which will give you names of nominated…

SAIDA KAROLI: NIPO HAI, HAKUNA CHOCHOTE KILICHOTOKEA (MSIKILIZE)

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:30pm 2 Comments

Mwanamuziki Saida Karoli.

Kuanzia juzi taarifa zilizagaa mtaani pamoja na katika mitandao ya Kijamii kuwa Mwanamuziki nguli wa nyimbo za asili kutoka mkoani Kagera, Saida Karoli ameaga dunia. Saida mwenyewe akiongea na Mtandao wa…

HIVI NDIVYO MLIPUKO WA BOMU ULIVYOUA WATU JIJINI ARUSHA (VIDEO)

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:30pm 1 Comment

Hivi ndivyo mlipuko wa bomu ulivyokatisha maisha ya Watanzania waliokuwa katika mkutano wa Chadema Juni 15 mwaka huu,kwenye Uwanja wa Soweto Kata ya Kaloteni jijini Arusha.

DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 2:30pm 3 Comments

Diamond akilonga na Sauda kuhusu shoo kali atakayotoa Usiku wa Matumaini 2013.

Sauda na Diamond wakiwa mbele ya kamera.…

USIKU WA MATUMAINI 2013: MABONDIA WABUNGE WAJIFUA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 1:00pm 4 Comments

UKIACHANA na mapambano yatakayopigwa kuwania Ngao ya Amani Afrika Mashariki kati ya Wakenya, Patrick Amote na Shadrack Muchanje na Watanzania, Thomas Mashali na Francis Miyeyusho, ushindani mkali unatarajiwa kuoneshwa na wabunge wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya wasanii wa filamu ambapo wote wameanza kujifua kwa mazoezi.

Mhe. Ester Bulaya akijifua kumkabili Aunt Ezekiel.

Mratibu wa tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Julai 7, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini…

SIMBA SC YAENDELEA KUJIFUA LICHA YA KUJITOA KAGAME CUP

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 12:10pm 2 Comments

Kipa Abuu Hashim akitibiwa baada ya kubanwa na misuli kutokana na mazoezi makali.

Edward Christopher (kushoto) akipiga pande kwa Jerald Mkude.

Mashabiki wakishuhudia mazoezi…

MAAJABU MAZISHI YA LANGA

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 6 Comments

Na Waandishi Wetu

MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya  Kinondoni jijini Dar.

Mwili wa marehemu Langa Kileo.

MAAJABU

Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa ambaye hakufahamika jina lake, aliinama na kuushika mwili wake uliokuwa…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

UKIMYA WA VYOMBO VYA DOLA KUTOA TAARIFA ZA MATUKIO YA MAUAJI NA UTEKAJI NI ISHARA KUWA WANAHUSIKA?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies

Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…

Tags: UTEKAJI, NA, MAUAJI, NI, ISHARA

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Latest Activity

Melissa Sanchez posted a status
7 minutes ago
Melissa Sanchez posted a status
8 minutes ago
Newton Atherton posted a status
13 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013
"mmependezajeee hayaa tunasubilia tu tuone wenyewe na sio maneno matupuuu"
17 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post HIVI NDIVYO MLIPUKO WA BOMU ULIVYOUA WATU JIJINI ARUSHA (VIDEO)
"mhmm kwa mtaji huu tatakimbia nchi kwa kweliii hatujazoea haya mambo lol poleni sana"
17 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post SAIDA KAROLI: NIPO HAI, HAKUNA CHOCHOTE KILICHOTOKEA (MSIKILIZE)
"makubwaaa watu wanawazimu usijizushie wewe kifoo ukamzushie mwenzio kisaa nini shenzi kbsaaaaaa…"
17 minutes ago
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI
"Jamani maisha ni magumu sana. Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Hali ni mbaya sana mitaani…"
17 minutes ago
Mama Wawili Jr. commented on GLOBAL's blog post LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI
"Huko tulikotoka ndio walikuwa hawajua kuwa wanakiuka maadili ila sasa wametambua ndio sheria…"
17 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post GERALD HANDO NUSURA AUAWE
"aisee mbona majangaaa pole sana handro wanataka wakudedishee wkt mda wako badooo kisaaaaa aiseeee…"
17 minutes ago
kadama J'z commented on GLOBAL's blog post MSAUZI AKUFURU, AJITANGAZA YEYE NI YESU
"we kama unaishi polini kisa huna nyumba omba wasamalia wema wakujengee nyumba ukae na nywele zako…"
17 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post MAAJABU MAZISHI YA LANGA
"mhmm kafanana kweli na baba yake huyo mirajiii aisee poleni sanaa"
17 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post USIKU WA MATUMAINI 2013: MABONDIA WABUNGE WAJIFUA
"jamani jamaniii watoto wa watuuuuu ohooo mdeee na ester hawana utaniii wasijewakawatoa nyuso watt…"
17 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service