Added by GLOBAL on May 21, 2012
Posted by GLOBAL on May 21, 2012 at 6:30pm 2 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:36am 5 Comments 0 Likes
Skendo ya matumizi ya dawa za kulevya imesababisha mastaa wawili wa filamu za kibongo, Irene Pancras Uwoya na Janet Mathias kuingia kwenye bifu zito na sasa hapatoshi huku kila mmoja akianika siri nzito za mwenzake, Risasi Jumamosi linafunguka.
Wiki mbili zilizopita, Uwoya ndiye aliyekuwa wa kwanza kufunguka kupitia gazeti hili kuwa alifikia hatua ya kusitisha urafiki wake na Janet kwa madai kuwa alikuwa na skendo hiyo.
UWOYA AIBUA SKENDO
Katika mazungumzo yake yaliyokuwa hayaandikiki gazetini, Uwoya alimsiliba Janet kwa kuanika siri zake nzito, jambo ambalo lilimpandisha hasira msanii huyo na kujikuta naye akimjibu kwa kumchana kama yeye alivyofanya.
Muda mfupi baada ya Uwoya kumwanika, Janet alizama mtandaoni akamlipua…

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:28am 18 Comments 1 Like
Stori Imelda Mtema na Erick Evarist
PENZI motomoto kati ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Mrembo Nambari 3 wa Tanzania 2006, Jokate Mwegelo limedaiwa kuvunjika, Risasi Jumamosi linatambaa nayo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, raia wa Tanzania anayecheza mpira wa kikapu nchini Marekani, Hasheem Thabit Manka anatajwa kuwa chanzo cha penzi la wawili hao kusambaratika.
KWA NINI?
Awali, Thabit aliwahi kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba ‘anatoka’ na Jokate, madai ambayo kwa upande wake mrembo huyo aliyakanusha vikali akisema anasingizwa licha ya kujikanyaga katika maelezo yake.
Hata hivyo, baadaye wawili hao ikasemekana wamemwagana kwa sababu ambazo hazikuwa wazi kwa vile uhusiano wao ulikuwa wa siri…

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 10:21am 1 Comment 1 Like
Na Luqman Maloto
Nikuombe msomaji wangu kwamba unaposoma makala haya, soma kwa mtindo wa katikati ya mstari (between the line). Kuna somo kubwa mno kwenye mada hii kwa sababu wengi wapo kwenye mateso makubwa ya kimapenzi kutokana na makosa yao wenyewe.
Ukisoma ujasiriamali, utaelekezwa kwamba mafanikio yako yatatokana pia na namna ulivyo na nidhamu katika fursa unazopata. Inawezekana ukawa na bahati kwenye maisha lakini utabaki kuwa si lolote endapo hutatumia nafasi zako vizuri.
Kama maisha, ndivyo yalivyo mapenzi. Hayatanyooka, wala hayatakaa vema upande wako ikiwa hutakuwa na heshima kwa fursa utakazopata. Si suala la ujana au kujipanga, muhimu kwako ni kuheshimu kile kilichopo jirani yako. Zingatia: Mapenzi ni changamoto nzito.
Ukichezea penzi lako leo kwa…

Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:55pm 0 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:36pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:28pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 3:23pm 0 Comments 0 Likes
Tabu Likoko Mkurugenzi wa Idara ya Uwezeshaji Wanawake katika Taasisi ya (WAMA) akifungua rasmi semina ya wanawake kutoka vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa vinavyosimamiwa na Taasisi ya (WAMA) kuhusu huduma za Mfuko wa Bima wa Afya NHIF inayofanyika kwenye viwanja vya Taasisi ya WAMA asubuhi hii jijini Dar es salaam kutoka kulia pichani ni Rehani Athumani Mkurugenzi mifuko ya Afya ya Jamii (CHF), Michael Mhando Mkurugenzi wa Tathmini ya Uhai wa Mfuko na Utafiti na Eugen Mikongoti Mkurugenzi wa Uendeshaji.…
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 2:44pm 2 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on May 26, 2012 at 2:08pm 1 Comment 0 Likes
Miss Kurasini Claudia Manda (Katikati) akiwa na mshindi wa pili Neema Dori (kulia) na Liliani Josef mshindi wa tatu mara baada kutangazwa matokea.
Warembo walio fanikiwa kuingia tano bora wakiwa katika picha ya pamoja.
Khadija Omar Kopa akiwapagawisha mashabiki katika kinyang’anyiro cha Miss Kurasini.…

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by lulu omar yesterday. 65 Replies 8 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Aggrey Feb 23. 21 Replies 2 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by john samwel Mar 12. 7 Replies 6 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by Daniel Sanga Apr 12. 9 Replies 3 Likes
Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…
Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies 2 Likes
Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…
Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies 2 Likes
Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Sware Apr 10. 8 Replies 3 Likes
hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?
Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Brian Timboi Apr 23. 8 Replies 6 Likes
Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 36 Comments 23 Likes
Added by GLOBAL 16 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 10 Comments 8 Likes
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
chama baby |
| 5 |
Sili Silali |
| 6 |
IL-YA |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
mohd nasser |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Hellen Attarsingh Gupta |
Sili Silali liked GLOBAL's blog post PSI YATOA SEMINA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KATIKA MABAA NA VILABU YA POMBE JIJINI MBEYA
Saleh Jadid Saleh commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
IL-YA replied to Hussein Marandu's discussion UMMA WA KIISLAM NA KUJENGA JUU YA MAKABURI:Kwanini ukweli huu unafichwa? in the group UKUMBI WA KISLAMU
chiya left a comment for Jazihina Jaziu
arthur moore commented on IL-YA's blog post Dubai:House girl,achanganya mkojo wake na chakula cha mwajiri wake!.Huko Singapore nako wembe ni ule ule!
