Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 7:42pm 0 Comments 0 Likes
Pichani juu ni taswira za ajali mbaya iliyohusisha magari matatu ambayo imetokea katika barabara ya Chang'ombe jijini Dar es Salaam na kusababisha msongamano mkubwa wa magari. Lori la mafuta ya kupikia lenye namba za usajili T 219 lililokuwa likitoka bandarini kuelekea Ubungo, limegongana na daladala kisha kupinduka na kuziba barabara ya Chang'ombe. Baadhi ya wananchi waliofika eneo la tukio…

Posted by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:32pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 11:30am 0 Comments 1 Like
Wakali tisa wa Hip Hop wanaowania gari aina ya Toyota FunCargo (new model), katika pozi mbele ya gari lao.
Na Mwandishi Wetu
ILIPANGWA, ikapangika. Baada ya kusubiririwa kwa muda mrefu, hatimaye msimu mpya wa shoo ya Usiku wa Hip Hop (2013) unachukuwa nafasi Jumamosi hii ndani ya Ukumbi wa Dar live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar.
Wasanii wanaotamba kwenye gemu la Hip Hop, Kala Jeremiah, Fid Q, Nay wa Mitego, Joh Makini, Stamina na wengine kibao pamoja na washiriki wa Shindano la The Vodacom Mic King watakamua shoo baab’kubwa kuweka…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:00am 18 Comments 0 Likes
-Ni mchana kweupe kwenye ufukwe wa Coco, polisi wawabana, nusura zipigwe
Na Issa Mnally
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni. Usemi huu unakamilishwa na tukio la kunaswa kwa vijana wawili wenye undugu wa damu wakifanya mapenzi ‘wakiduu’ kando ya Ufukwe wa Bahari ya Hindi!
Vijana wawili wenye undugu wa damu baada ya kunaswa wakifanya mapenzi.
Imefahamika kwamba vijana hao, kaka na dada (majina tunayo) …

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:00am 6 Comments 2 Likes
Na Imelda Mtema
MWIGIZAJI mwenye uwezo mkubwa wa kucheza na hisia, Wastara Juma amemaliza eda, kwa mujibu wa imani yake ya Dini ya Kiislamu ni ruksa kuolewa wakati wowote kutoka sasa.
Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika kilicho karibu na msanii huyo, zinasema kwamba Wastara amemaliza salama eda yake baada ya kufiwa na mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ Januari, mwaka huu.
Staa huyo bado yupo Muscat, Oman alikoitwa na ndugu zake kwa ajili ya kukaa eda hiyo…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:10am 4 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
IKIWA ni miezi tisa imekatika tangu msanii Rose Thomas Maguzo afariki dunia, mwigizaji mwenzake Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameshindwa kujizuia na kuangua kilio upya makaburini wakati wakijengea kaburi la msanii huyo.
Odama (katikati) na ndugu wa marehemu wakiangua kilio.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Makaburi ya Mabibo, Dar ambapo Odama na ndugu, jamaa na marafiki wengine wa marehemu walifika hapo kwa shughuli ya kujengea kaburi hilo.
Marehemu Rose, ingawa alifanya kazi na watu…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am 2 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Simba umechukua uamuzi wa kumpandisha kizimbani kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa kutokana na uamuzi wake wa kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.
Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi bada ya kujiunga na Yanga.
Ngassa aliyekuwa akiichezea Simba kwa mkopo kutoka Azam FC, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga lakini Simba wamesema walishasaini naye mkataba wa mwaka mmoja.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Msimbazi wameamua kufanya mambo yao…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:00am 1 Comment 0 Likes
Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts.
Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts, tayari amekabidhi ripoti yake ya usajili ya wachezaji atakaowasajili na atakaowatema kwenye usajili wa msimu ujao.
Kwenye timu hiyo, jumla ya wachezaji 14 mikataba yao imemalizika, kati ya hao, wapo baadhi wamependekezwa kubakizwa na wengine kutupiwa virago.
Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Abdallah Bin Kleb, alisema ripoti hiyo ameikabidhi hivi karibuni.
Bin Kleb…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 4:11pm 0 Comments 0 Likes
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira, Bw. Xavier Daudi akifafanua jambo. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira, Bw. Bakari Mahiza.
Waombaji waliotuma maombi ya fursa za ajira kwa ajili ya matangazo yaliyokuwa yametolewa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri mbalimbali nchini mnamo tarehe 26 Machi, 2013 moja likiwa katika lugha ya Kiingereza na lingine katika lugha ya Kiswahili ambapo mwisho wa kutuma maombi ilikuwa tarehe 9 Aprili, 2013 wametakiwa kutembelea tovuti ya Sekretarieti ya Ajira mara kwa mara ili kupata ratiba ya usaili kwa nafasi walizoomba.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi amesema hayo leo alipokuwa akiongea na…

Posted by GLOBAL on May 22, 2013 at 3:17pm 0 Comments 0 Likes
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for Nasibu Nassib
tina babi left a comment for majura John
tina babi left a comment for jk-magege
tina babi left a comment for john sanga
tina babi left a comment for deol charles
tina babi left a comment for kassim said
tina babi left a comment for tabley jerico
tina babi left a comment for kivuyo
tina babi left a comment for Regius Kasomo
tina babi left a comment for Patric de Zyne
tina babi left a comment for Deogratius King'ota
tina babi left a comment for BARAKA MBURA© 2013 Created by Global Publishers.



