Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

NISHA ADAIWA KUWATOSA WATOTO YATIMA

Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

3. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm 0 Comments

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.

3 737a2

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Adam Malima, akizungumza na Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ndani ya ukumbi wa Bunge leo.

1 89ca1

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akizungumza na Naibu wake Mhe. Amos Makalla bungeni kabla ya kusomwa…

USIKU WA HIP HOP & THE MIC KING KURINDIMA DAR LIVE J'MOSI HII

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!

DIAMOND MUSICA YAFANYA KWELI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:30pm 0 Comments

Prezidaa wa Diamond Musica, Liver Hassan ‘Sultan’, akikamua.

Wanamuziki wa bendi hiyo wakiwajibika.

Prezidaa Liver na wanamuziki wake wakitekeleza majukumu…

MCHUNGAJI MSIGWA APANDISHWA KIZIMBANI, ATIMIZA MASHARTI YA DHAMANA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:27pm 0 Comments

 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari la  polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana  huu.
 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea  chumba cha mahakama.…

TASWA FC YAWAFUNGA MABONDIA 2-1 KWA TABU

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:59pm 0 Comments

Bondia Daudi Muhuzi (kulia) akiwania mpira na Majuto Omari wa Taswa wakati wa mpambano wao.

Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' akitoa maelekezo kuhusu mchezo wa mabondia na Taswa FC.…

MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:22pm 2 Comments

Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.

Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.

Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb …

DIAMOND, NEY WA MITEGO WAFANYA KUFURU DAR LIVE

Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 6 Comments

Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki.

Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.…

SOMA HOTUBA YA SUGU ILIYOLETA KIZAAZAA BUNGENI LEO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 1:45pm 1 Comment

Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani-Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi (Mb).

MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI MHESHIMIWA JOSEPH O. MBILINYI (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

(Inatolewa chini ya Kanuni ya 99 (9) ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2013)

1. UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika,

Dira ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ni “kuwa na taifa lililohabarishwa vizuri, lina vijana wenye uwezo na malezi bora,…

DK. MASSAU; SHUJAA, MKOMBOZI, KIFO CHAKE NI CHACHU YA MABADILIKO

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 2 Comments

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

TUNAWEZA tusifike mahali pazuri kama hatutawathamini wataalamu wetu. Wazalendo wanaojitoa kulisaidia taifa lao, tunawakatisha tamaa, tunawazuia wasifanikishe malengo yao mema kwa taifa hili. Tunawaonea kijicho, wakati mwingine ni kwa sababu za kifisadi.

Padri akisoma ibada wakati wa kuaga mwili wa Dk. Massau katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 5 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for waheed muhammad ibrahim
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
58 seconds ago
tina babi left a comment for ezra sanga
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for Kutua kutuas
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for Elvis Dan
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Dany
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Isdory Pancras
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Rockland David
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Bigambo Thomas
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for EMMANUEL DAUD
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for king kong
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
4 minutes ago
tina babi left a comment for steven leonce
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
7 minutes ago
tina babi left a comment for issa lyuba
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
7 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service