Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:32am 0 Comments 0 Likes
Na Erick Evarist & Gladness Mallya
HALI ya msanii ‘jembe’ wa Orijino Komedi, Joseph Shamba ‘Vengu’ (pichani) imeelezwa bado ni tete huku kauli mbiu ikiendelea kuwa ileile ‘jamani tumuombeeni Vengu.’
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mtanzania mmoja anayefuatilia afya ya staa huyo nchini India alipo kwa matibabu, hali si nzuri licha ya kukutana na madaktari bingwa wa huko.
“Jamani cha kusisitiza ni kwa Watanzania huko nyumbani tuzidi kumwombea Vengu, bado hayuko vizuri, hali ni tete,” alisema Mtanzania huyo kwa kuweka mada kwenye…

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:24am 1 Comment 1 Like
Na ; Musa mateja
SUPA staa wa Bongo, Wema Isaac Sepetu juzikati alionesha jeuri kubwa ya fedha pale alipomwaga minoti jukwaani akiwatuza wanamuziki wa Bendi ya Mapacha Watatu, Risasi Jumamosi limeinyaka.
Tukio hilo lilitokea Januari 24, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Star Coco Beach, Dar ambapo bendi hiyo ilikuwa ikitumbuiza.
Awali, wakati nyota huyo anaingia kwa mbwembwe, mwimbaji wa bendi hiyo, Kalala Hamza ‘Junior’ alipeleka kinywa kwenye ‘maiki’ na kumtaja jina hali iliyowafanya mashabiki wageuke kumwangalia.
Hapo sasa, Wema alikwenda moja kwa moja…

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:21am 0 Comments 0 Likes
Na Mwandishi wetu
Dawa za Kichina za kuongeza makalio zimeleta kizaazaa cha aina yake kufuatia baadhi ya wanawake waliozitumia kwa lengo la ‘kuwachanganya’ wanaume kukiona cha mtemakuni.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, baadhi ya wanawake hao wakiwemo mastaa wa Bongo sasa wanahaha kutafuta njia za kupunguza miili yao baada ya kubaini uamuzi waliochukua awali haukuwa sahihi.
Imebainika kuwa, kufuatia matumizi ya dawa hizo wapo ambao sasa hawatamaniki kutokana na kuwa na maumbile ‘kichekesho’ hivyo kukosa ule mvuto…

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:19am 0 Comments 0 Likes
Na Shakoor Jongo
Ndoa ya staa wa sanaa za maigizo Bongo, Nuru Nassor ‘Nora’ (pichani)inashikiliwa na nyuzi moja dhaifu kwa sababu yupo kwenye ‘gogoro’ zito na mume wake, Masoud Ali ‘Luqman’.
Habari kuwa Nora na Luqman hapatoshi, zimemiminwa kwenye gazeti hili na mnyetishaji wetu makini ambaye ameeleza kuwa chanzo ni kauli ya mrembo huyo aliyoitoa hivi karibuni.
Chanzo chetu kimeeleza kuwa kauli aliyoitoa Nora kuwa yupo tayari kuomba talaka endapo mume wake hatamruhusu kucheza filamu ndiyo iliyoibua ‘timbwili’ ndani ya familia hiyo yenye wanachama wawili.
“Mume wake aliposoma…

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:00am 0 Comments 0 Likes
Na Brighton Masalu
BAADA ya kunusurika kifo mara mbili, msanii mwenye jina kubwa katika tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’, amesema kwa sasa hataki tena kuendesha magari, Risasi Jumamosi linanukuu.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa gazeti hili katikati ya wiki hii, Johari aliweka wazi kuwa kutokana na kunusurika huko kifo, sasa hataki tena kuendesha magari na badala yake atakuwa anamtumia dereva wake mwenye utaalamu.
Msanii huyo aliyasema hayo baada ya hivi karibuni kupata ajali ya gari iliyotokea Ubungo, Dar katika Barabara ya Mandela huku…

Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:12am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on January 28, 2012 at 8:12am 0 Comments 0 Likes
Na Luqmani maloto
Mfano wa uhusiano wa Sherry na Mosses ambao tulianza nao wiki iliyopita katika mada hii, tunaukamilisha leo katika sehemu ya mwisho ya makala haya.
Kama tulivyoona, ipo wazi kuwa Mosses ndiye huonesha hisia zake kwa Sherry na hata marafiki zao hufikia kusema kwamba jamaa ndiye anayesababisha uhusiano wao uendelee kuwepo, vinginevyo wangekuwa wamekwishapigana mwereka.
Sherry anapoambiwa amependeza anajibu ‘asante’ halafu imetoka. Akiambiwa yeye ni mwanamke mzuri jibu ni ‘thank you’. Hathubutu kumwambia Mosses kuwa amependeza au ni mwanaume anayemvutia kuliko wote, ila akiwa kazini kwake, pongezi huzimwaga huko. “James umependeza!” Sherry anamwambia mfanyakazi mwenzake.
Wakati mwingine Sherry anakosa hekima, anamueleza Mosses: “Unajua sisi…

Posted by GLOBAL on January 26, 2012 at 4:01pm 3 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 4:10pm 10 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 9:00am 26 Comments 1 Like

Kajala Masanja.
Wema.
Na Mwandishi Wetu
KIMENUKA! Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja, wanadaiwa kuingia kwenye bifu ‘babkubwa’ kisa kikidaiwa ni kugombea mwanaume, Ijumaa lina fulu data.
NI KIGOGO WA IKULU
Kwa mujibu wa chanzo kisicho na shaka, hivi karibuni warembo hao ‘wanaokinukisha’ katika tasnia ya filamu Bongo, walijikuta wakiingia kwenye gogoro kufuatia Kajala kutuhumiwa ‘kumtokea’ mwanaume mpya wa Wema aliyetajwa kwa jina moja la Clemence ambaye anadaiwa…

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Hans Guy Jan 19. 39 Replies 1 Like
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Gysper Dec 13, 2011. 19 Replies 2 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by lucas mgaya Jan 2. 5 Replies 5 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by kaka Dec 24, 2011. 7 Replies 3 Likes
Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…
Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies 1 Like
Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…
Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies 1 Like
Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Alfred uisso Nov 23, 2011. 4 Replies 1 Like
hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?
Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Halifa Rama Nov 20, 2011. 6 Replies 5 Likes
Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…
Added by GLOBAL 0 Comments 2 Likes
Added by GLOBAL 31 Comments 17 Likes
Added by GLOBAL 16 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 10 Comments 6 Likes