Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 2:50pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:00pm 0 Comments 0 Likes
KIJANA Ramadhan Suleiman Mussa ‘Rama mla watu’ na mama yake Khadija Ally, leo wameachiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kubainika kuwa mshitakiwa namba moja katika kesi hiyo (mla watu) alifanya kosa la mauaji akiwa na matitizo ya akili. Hata hivyo Rama Mla Watu, ataendelea kukaa katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Isanga mkoani Dodoma mpaka akili yake itakapokuwa sawa ndipo ataachiwa kuwa huru mtaani ili asije akawadhuru watu wengine. Rama alijizolea umaarufu mkubwa mwaka 2008 baada ya kukamatwa akiwa na kichwa cha mtu kinachodaiwa kuwa ni cha mtoto Salome. PICHA ZA TUKIO HILI KUWAJIA HIVI…

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:31pm 0 Comments 0 Likes
HOW FAR IS THE UNITED STATES OF AFRICA?
Dr. Motsoko Pheko
The 50th anniversary of the African Union (AU), the successor to the African Organisation of African Unity (OAU) is upon the African people this 25th May 2013. Both Organisations were formed with the main objective of ultimately bringing about the United States of Africa.
Why was there to be a United States of Africa? Let me remind by quoting three African leaders on this important subject of deep concern to Pan Africanists. Dr. Kwame Nkrumah, the first President of Ghana wrote, “If we [Africa’s people], are to remain free, if we are to enjoy the full benefit of Africa’s resources, we must be united to plan for our total defence and the full exploitation of our material and human means in…

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 1:18pm 0 Comments 0 Likes
Release No. 089
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mei 24, 2013
Wakati mechi za kwanza za raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) zinachezwa wikiendi hii, Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesisitiza kuwa wasimamizi wa mechi za ligi hiyo ni wenyeviti wa mikoa wa vyama vya mpira wa miguu.
Kamati hiyo chini ya uenyekiti wa Ramadhan Nassib ilikutana jana (Mei 23 mwaka huu) kupitia ripoti za makamishna kwa mechi za raundi ya kwanza ya RCL iliyomalizika wikiendi ya Mei 18 na 19 mwaka huu.
Kuhusu viwanja…

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:30am 2 Comments 1 Like
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 11:37am 1 Comment 0 Likes
Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki. Kazi ni kwako.
Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 9:00am 1 Comment 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
MASHABIKI wa soka watakaoingia kwenye Ukumbi wa Dar Live kwenye shoo ya wakali wa Hip Hop, kesho Jumamosi, watapata nafasi ya kushuhudia mechi ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye ‘skrini’ kubwa.
Mbali na kutazama mechi hiyo kati ya Bayern Munich na Borussia Dortmund ambayo itaanza saa 3:45 usiku, pia mashabiki 100 wa kwanza kuingia ukumbini hapo watapata zawadi ya tisheti ambazo zitatolewa na kampuni va simu za mkononi ya Vodacom.
Akizungumza na gazeti hili, Mratibu wa Ukumbi wa Dar Live, Abdallah Mrisho alisema wameandaa mazingira mazuri kwa ajili ya mashabiki wa soka.
“Wale ambao wanataka kutazama mechi kali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hawatakiwi kuwa na shaka kwa kuwa ndani ya Dar Live kuna skrini kubwa yetu ukubwa wa mita 6 kwa 6 (upana na urefu wa…

Posted by GLOBAL on May 24, 2013 at 8:00am 9 Comments 1 Like
Na Issa Mnally
INAUMA sana! Wakati wazazi wakihenyeka na wakati mwingine kujinyima ili mabinti zao waweze kupata elimu bora itakayowasaidia maishani mwao wapo wapuuzi wanaokatisha jitihada hizo.
Taliki Juma baada ya kunaswa akiwa na denti wa kidato cha pili wakijivinjari.
Mwanaume mmoja aitwaye Taliki Juma mkazi wa Temeke – Wailesi jijini Dar es Salaam ameingia kwenye kumi na nane za Oparesheni Fichua Maovu inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers baada ya kunaswa akiwa na mwanafunzi wa kidato cha pili…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




