Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 9:30am 23 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 9:02am 5 Comments 0 Likes
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Al Ahli Shandi ya Sudan.
Na Khatimu Naheka
UONGOZI wa Simba umekubali matokeo ya kufungwa na kutolewa na wapinzani wao Al Ahli Shandi ya Sudan, lakini wekundu hao wameacha hasara kubwa kwa Waarabu hao kwa kusababisha kufungiwa kuutumia uwanja wao.
Simba ilitolewa na Shandi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, Jumapili iliyopita kwa mikwaju ya penalti 9-8, baada ya timu hizo kutoka sare ya jumla ya mabao 3-3.
Akizungumza na Championi Jumatano, mwenyekiti wa timu hiyo, Ismail Aden Rage, alisema kufuatia matukio kadhaa ya hatari waliyofanyiwa…

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 5:27pm 0 Comments 2 Likes
Hii ni moja ya mfululizo wa mahojiano na Mhe. Zitto Kabwe.
Katika sehemu hii, anazungumzia kuhusu NIA YAKE YA KUWA RAIS, Msimamo wa Chama na wake kuhusu Muungano, suala la CHADEMA kuondoa kinga ya kikatiba kwa Rais, anaeleza kwa nini anaamini ni vema uchaguzi wa Rais na Wabunge vitenganishwe, haki na wajibu wa raia katika katiba, kilichotokea Mwanza kwenye vurugu zilizosababisha wabunge kushambuliwa na kujeruhiwa na mengine…

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 4:09pm 0 Comments 0 Likes
Wananchi wa kata wa Ituha wakimsikiliza kwa makini mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu).
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akielezea shughuli za utekelezaji ahadi zilizofanyika mpaka kufikia kipindi hiki.
Mheshimiwa Joseph Mbilinyi (katikati), Katibu wa CHADEMA wilaya Criss Mwamasiku (kushoto) na Kamanda Kwame Elly Anangisye…

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:00pm 0 Comments 0 Likes
Paa la kituo cha daladala cha Karume jijini Dar likiwa limeanguka huku limezingirwa na dimbwi la maji hivyo kuwa adha kubwa kwa watumiaji wa kituo hicho. Wahusika wanaombwa kuchukua hatua za haraka.
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamesitisha safari zao na kujibanza nje ya maduka eneo la makutano ya barabara za Uhuru na Msimbazi kukwepa iliyokuwa ikinyesha.…

Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:00pm 0 Comments 0 Likes
Afisa Mkuu wa Biashara wa Zantel, Ahmed Mokhles (kushoto) akimkabidhi Meya wa Ilala Mhe. Jerry Slaa moja ya simu 75 zilizotolewa na kampuni ya Zantel kuisaidia Manispaa ya Ilala kurahisisha mawasiliano kati ya madiwani na watendaji kazi wote wa Manispaa. Makabidhiano haya yalifanyika ofisini kwa Meya jijini Dar es Salaam.
Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 3:01pm 0 Comments 0 Likes
Wachezaji wa Stars wakitoka uwanjani baada ya kumaliza mazoezi.
Kocha mpya wa Taifa Stars, Kim Poulsen (kulia) na Msaidizi wake, Sylivester Marsh, wakibadilishana mawazo baada ya mazoezi leo.
Timu ya taifa, Taifa Stars, leo imeanza mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiwinda na michuano ya kimataifa dhidi ya Malawi na baadaye Ivory Coast.
(PICHA:RICHARD…
Posted by GLOBAL on May 16, 2012 at 2:00pm 5 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 15, 2012 at 11:30am 3 Comments 0 Likes

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by filbondeni on Saturday. 62 Replies 8 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Aggrey Feb 23. 21 Replies 2 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by john samwel Mar 12. 7 Replies 6 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by Daniel Sanga Apr 12. 9 Replies 3 Likes
Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…
Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies 2 Likes
Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…
Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies 2 Likes
Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Sware Apr 10. 8 Replies 2 Likes
hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?
Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Brian Timboi Apr 23. 8 Replies 6 Likes
Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 35 Comments 23 Likes
Added by GLOBAL 16 Comments 3 Likes
Added by GLOBAL 10 Comments 8 Likes
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man K |
| 4 |
Devotha Meena |
| 5 |
kheri zewe |
| 6 |
zuleya rashid |
| 7 |
lawfibfan78 |
| 8 |
Idrugelf90 |
| 9 |
samora rajab albert |
| 10 |
midpawIm24 |
kheri zewe commented on Man K's photo
