Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

ADVERTISE HERE..!!


ADVERTISEMENT


BONGO FLEVA MPYA

Advertisement

 

ZILIZO TOP WIKI HII

1. ANASWA!

Added by GLOBAL on April 27, 2013

2. PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Added by GLOBAL on April 29, 2013

3. WOSIA KIFO CHA JIDE

Added by GLOBAL on May 3, 2013

TOP PHOTOS ZA WIKI

2. Demu wa kininikimama huyu

Added by NDAUKA the GREAT on April 30, 2013

3. usiposema ni mrembo ni wivu tu

Added by julius manning on February 14, 2013

Members

SACHQUES FASHIONS

Videos

  • Add Videos
  • View All

Badge

Loading…
 

News Posts

KIJIWE CHA UGHAIBUNI‏

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 2:24pm 0 Comments

UTAMBULISHO WA USIKU WA HIP HOP & FAINALI ZA VODACOM MIC KING KWA WANAHABARI

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 1:00pm 0 Comments

Meneja Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kushoto) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo. Wengine pichani kutoka kushoto ni DJ John Dilinga (JD), Prodyuza Ally Baucha na Prodyuza Tudd Thomas.

Kutoka kushoto waliokaa ni msanii Stamina, DJ John Dilinga, Abdallah Mrisho, Ally Baucha na Tudd Thomas katika picha ya pamoja na washiriki wa The Vodacom Mic King waliosimama…

USIKU WA HIP HOP & THE MIC KING KURINDIMA DAR LIVE J'MOSI HII

Posted by GLOBAL on May 17, 2013 at 4:30pm 0 Comments

Ni usiku wa Hip Hop na The Mic King ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live Mei 25, 2013. Mkali wa MIC atapatikana siku hiyo na kujinyakulia zawadi yake ya gari. Show hii, si ya kukosa!

HADIJA SAID AIBUKA MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 KITAIFA‏

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 10:32am 1 Comment

MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 HADIJA SAID MISS UTALII MOROGORO  KATIKATI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA LUCY NOEL MISS UTALII DAR ES SALAAM KUSHOTO NA MSHINDI WA TATU KULIA THELESIA KILOMO MISS UTALII VYUO VIKUU.

 MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 HADIJA SAID MISS UTALII MOROGORO AKISHWA TAJI LA USHINDI NA MGENI RASMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA WA…

SIMULIZI YA MACHOZI

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am 6 Comments

Na Gladness Mallya

SAKATA la kijana Bonny Fabian Kavishe kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi baba yake, mzee Livingstone Kavishe akiamini ni mwizi sasa ni simulizi ya machozi kufuatia kusomwa kwa waraka mzito ulioandikwa na mtuhumiwa huyo ambaye bado yupo mahabusu ya Polisi Mlandizi, Bagamoyo, Pwani.

Majonzi na simanzi wakati wa kuuaga mwili wa marehemu, mzee Livingstone Kavishe.

Waraka huo ulizidi kuwatoa machozi baadhi ya waombolezaji siku ya mazishi yaliyofanyika Marangu, Wilaya ya Moshi Vijijini,…

FUNDISHO!

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am 3 Comments

Na Mwandishi Wetu

TUKIO la kuuawa kwa mfanyabiashara kijana mwenye mafanikio, Ayoub Mlay, siyo tu linaacha simanzi kwa Watanzania bali pia ni fundisho kwa jamii na serikali.

Mwili wa marehemu Ayoub Mlay baada ya kupigwa risasi.

MLAY, alifariki dunia usiku wa Alhamisi iliyopita, Mei 16, mwaka huu baada ya kupigwa risasi kwenye Klabu ya Ambrosia, iliyopo Kawe Beach jijini Dar es Salaam.

Simanzi inakuja kwa sababu Mlay, 38, alikuwa mfanyabiashara kijana aliyeonesha mafanikio na kupiga…

FAMILIA YA RAIS MWINYI MATATANI

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am 2 Comments

Na Makongoro Oging'

FAMILIA ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi imejikuta matatani kufuatia nyumba namba 13, kitalu 33F iliyopo Mtaa wa Mwinjuma, Kinondoni, jijini Dar anayoishi mjukuu wake, Abood Hassan Mwinyi kupigwa kufuli kwa amri ya mahakama.

Geti la nyumba anayoishi mjukuu wa mzee Mwinyi, Abood Hassan Mwinyi likiwa limepigwa kufuli.

Tukio hilo lilijiri saa 6:11 Jumamosi ya Mei 17, mwaka huu ambapo ilidaiwa Abood anaishi kwenye nyumba hiyo na mama mkwe…

ALIACHA MSHAHARA SHILINGI MILIONI 600 MAREKANI, AKAJA KUWAKOMBOA WATANZANIA, TUKAMSULUBU

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am 1 Comment

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

MTANDAO wa Health Care wa Marekani, unaeleza kuwa kwa wastani, kila daktari hulipwa dola 80 kwa saa akiwa kazini. Fedha hizo kwa shilingi za Kitanzania ni 128,000. Hii ina maana kuwa anapofanya kazi kwa saa 10, anaingiza shilingi 1, 280,000.

Mwili wa marehemu Dk. Ferdinand Massau ukiagwa.

Hesabu hiyo, inaleta majibu kuwa kwa mwezi…

MAJI NA JUISI YA LIMAU ASUBUHI KINGA KUBWA MWILINI

Posted by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am 1 Comment

TUMEZOEA kuanza siku kwa kunywa vinywaji moto kama vile kahawa au chai na hii imekuwa ndiyo desturi ya maisha ya watu wengi duniani. Lakini siyo lazima kuanza siku yako kwa kunywa vinywaji hivyo, ambavyo tafiti nyingi zimeonesha chai na kahawa vikitumiwa kupita kiasi vinaweza kuwa na athari kwa mtumiaji.

Katika kuangalia njia mbadala na bora ya kufungua kinywa na kuanza siku vizuri, imebainika kuwa glasi moja ya maji ya  uvuguvugu yaliyochanganywa na juisi ya limau kipande kimoja, yana faida kubwa mwilini na yanafaa kutumiwa kama kifungua kinywa asubuhi.

Zifuatazo ni baadhi ya faida kubwa za kunywa maji kwa kuchanganya na juisi ya limau asilia kama zilivyoanishwa na kuthibitishwa na…

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Donna Osgood posted a status
47 seconds ago
Donna Osgood posted a status
1 minute ago
tina babi left a comment for Kemp
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for george michael mayaka
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for abdul Rashid abdi
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for ahmed nahdi
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for nassoro mohamed kinyonga
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
Donna Osgood posted a status
2 minutes ago
tina babi left a comment for kizo brax
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Moses Olemonah
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
Donna Osgood posted a status
3 minutes ago
tina babi left a comment for Christopher Simwitta
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service