Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…
Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on May 10, 2013 at 5:32pm 1 Comment 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 19, 2013 at 9:30am 6 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:30am 5 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
JUHUDI za Simba kutaka kuona kiungo Mrisho Khalfan Ngassa anaifunga Yanga juzi zilikwama pamoja na kumuahidi mamilioni ya fedha kama angefunga bao katika mechi hiyo ya watani.
Katika mechi hiyo iliyomalizika kwa Simba kulala kwa mabao 2-0, Ngassa aliahidiwa kulipwa Sh milioni tatu kwa kila bao atakalofunga, lakini yeye hakufanya hivyo, badala yake akasisitiza yeye ni “Yanga damu.”
“Simba walimuahidi Ngassa shilingi milioni tatu kwa kila bao ambalo angefunga dhidi ya Yanga, alikubaliana nao lakini akaniambia asingeweza kufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Yanga damu,” alieleza ndugu yake…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:00am 7 Comments 2 Likes
Na Mwandishi Wetu
JIJI la Dar es Salaam bado linazizima kufuatia kifo cha aliyekuwa mwasisi wa Taasisi ya Moyo Tanzania (THI), Dk. Ferdinand Massau Magessa aliyefariki dunia, majira ya saa 12 jioni ya Mei 16, mwaka huu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kukutoa machozi.
Jeneza lenye mwili wa Dk. Massau.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia, Cosmas Mkama, Dk. Massau aliyekuwa bingwa wa magonjwa ya moyo, alifariki dunia baada ya kusumbuliwa na…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:45am 3 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
KATI ya stori za mwaka zinazosikitisha, hii ni mojawapo! Polisi mstaafu, mkazi wa Kitongoji cha Sango, Kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani hapa, Samson Bwire (54), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga binti yake, Devotha Gerald (4), kisa kikidaiwa ni wivu wa kimapenzi.
Wataalamu wakipigania uhai wa mtoto Devotha Gerald, baada ya kukatwa mapanga na baba yake.
Tukio hilo lilitokea Mei 16, mwaka huu, majira ya jioni nyumbani kwa Bwire alipokuwa…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 5 Comments 0 Likes
Na Imelda Mtema
KILICHOMPATA Madam Rita kinasikitisha! Ndivyo unavyoweza kusema ukibahatika kumuona the big boss wa Benchmark Production inayoratibu Shindano la Bongo Star Search, Rita Poulsen ‘Madam’ anayetembelea magongo baada ya kupata ajali mbaya ya gari.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda baada ya kuwa kimya muda mrefu ikielezwa kuwa alipata ajali hiyo kitambo, Madam Rita alisema kuwa kwanza kabisa anamshukuru Mungu kwani anaamini kila kitu kinachotokea chini ya jua kina sababu yake…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am 5 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
MSANII memba wa Kundi la Ze Comedy linaloruka kupitia Runinga ya East Africa, Master Face amenaswa akifanya uchafu wa kushikana ‘kimalovee’ na msanii mwenzake aitwaye Happy ambaye alikuwa ametinga kivazi cha nusu utupu.
Master Face akijiachia na msanii mwenzie aitwaye Happy.
Kwa mujibu wa chanzo makini, wasanii hao walikuwa wakirekodi filamu katika ‘bichi’ ya Chadibwa iliyopo maeneo ya Kigamboni, jijini Dar ndipo walipopitiliza na kuanza kufanya madudu hayo ambayo hayakuwepo kwenye muswada wa filamu…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:18pm 0 Comments 0 Likes
MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All Stars na zingine nyingi, Tudd Thomas, wamekuwa wakiulizana maswali mengi wao kwa wao pasipo kupata majibu.
Safari ya Tudd Thomas katika muziki, ilianzia mkoani Iringa akiwa Iringa Records aliporekodi wimbo wa mwanamuziki Marlaw unaoitwa Bembeleza. Wimbo huo ulipata tuzo ya wimbo bora wa mwaka kutoka Kilimanjaro Tanzania Music Awards mwaka 2008 na pia kumfanya Marlaw apate tuzo ya msanii bora wa kiume kupitia tuzo hizo. Baadae alihamia jijini Dar es Salaam na ndipo…

Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm 0 Comments 0 Likes
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Adam Malima, akizungumza na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa ndani ya ukumbi wa Bunge leo.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akizungumza na Naibu wake Mhe. Amos Makalla bungeni kabla ya kusomwa…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 10 hours ago. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
abdullah Nassor left a comment for tina babi© 2013 Created by Global Publishers.



