Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

BONGO FLEVA MPYA

Members

  • saada Yussuf hussein
  • Hafidh suleiman al-harasi
  • dominic sule
  • Boppy
  • milleyeodelice
  • youngchief
  • Constantine John Kasese
  • Hakim Ali
  • esther julius mkotto
  • ALEIN ERICK OMARI
  • Geofrey Andrew Sanga
  • Chakachua
  • Miss Malima
  • benson benny
  • Hancy mrishou
  • Kiwango Joseph Mumanyi
  • emmanuel amani
  • sammy
  • mwarabu
  • maureen slyvanus

ADVERTISE HERE..!!

TOP PHOTOS ZA WIKI

1. MITIHANI MINGINE DUUH!

Added by kadama J'z on January 4, 2012

2. CHABO FULU NONDO....

Added by Sixbert on January 23, 2012

ZILIZO TOP WIKI HII

1. Khadija Yusuf ajifungua...

Added by GLOBAL on January 20, 2012

2. MAMA UWOYA ANENA MAZITO

Added by GLOBAL on January 23, 2012

3. Nora arudi kwao

Added by GLOBAL on January 20, 2012

4. MSANII ANASWA KWA UKAHABA

Added by GLOBAL on January 20, 2012

Advertisement

 

 

 


News Posts

GLOBAL

Majambazi Yapanga Mawe Na Kupora Manyoni..

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 4:10pm 5 Comments

Ndugu zangu,



Niliondoka Singida Mjini saa kumi na moja alfajiri kuelekea Dodoma. Kilomita 40 kutoka Manyoni nilikutana na hali hiyo pichani kunako saa kumi na mbili na nusu. Eneo la…

GLOBAL

WEMA, KAJALA WAGOMBEA BWANA

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 9:00am 17 Comments

http://api.ning.com/files/v864S1k6upToZ0emQVN2OKNteDAr7*RTYRd59YJ-d0COBm8rzsqlCtO8-6wgFoDvuPyFIRql0RMhoufytkdPCNWTF7RvTXf2/kajalal.jpg

Kajala Masanja.

Wema.

Na Mwandishi Wetu

KIMENUKA! Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja, wanadaiwa kuingia kwenye bifu ‘babkubwa’ kisa kikidaiwa ni kugombea mwanaume, Ijumaa lina fulu data.

NI KIGOGO WA IKULU

Kwa mujibu wa chanzo kisicho na shaka, hivi karibuni warembo hao ‘wanaokinukisha’ katika tasnia ya filamu Bongo, walijikuta wakiingia kwenye gogoro kufuatia Kajala kutuhumiwa ‘kumtokea’ mwanaume mpya wa Wema aliyetajwa kwa jina moja la Clemence ambaye anadaiwa…

GLOBAL

Kocha mpya atua Simba kuiua Kiyovu

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 8:50am 3 Comments

Na Wilbert Molandi

KATIKA kuhakikisha inaimarisha kikosi, Simba imemuongeza kocha mpya wa makipa, James Kisaka, kwa ajili ya kazi maalum ya kuwanoa Juma Kaseja na mwenzake, Ally Mustapha ‘Barthez’.

Kocha huyo anatua Simba wakati timu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya kuivaa Kiyovu ya Rwanda katika michuano ya Kombe la Shirikisho mnamo Februari 18, 2012.

Katika mechi ya Kiyovu, Simba itaanzia ugenini jijini Kigali, kabla ya kurudiana Dar es Salaam kati ya Machi 2, 3 au 4, mwaka huu.

Ezekiel Kamwaga, ambaye ni Ofisa Habari wa Simba, amelithibitishia Championi Ijumaa kuwa, kocha huyo aliyewahi kuzidakia Simba na Pilsner wakati wa enzi zake uwanjani, ameanza kazi rasmi mwanzoni mwa mwezi huu.

“Lengo ni kuimarisha kikosi chetu, uongozi umefikia maamuzi ya kumuongeza kocha wa…

GLOBAL

FRANCIS CHEKA, KALAMA NYILAWILA WAPIMA UZITO KWA MPAMBANO WAO KESHO

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 3:10pm 1 Comment

Bondia Kalama Nyilawila (kushoto) akitunishiana misuli na Francis Cheka baada ya kupima uzito leo, tayari kwa mpambano wao utakaofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kesho. 

(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

GLOBAL

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA MASHAMBA YA MPUNGA KOROGWE, AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UKUMBI NA OFISI YA HALMASHAURI YA KOROGWE

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:58pm 1 Comment

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Jiwe la Msingi katika jengo jipya la Ukumbi na Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga jana Januari 26, 2012.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Madiwani wa Kata za Wilayani Korogwe, alipowasili eneo hilo kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi katika Jengo la Ukumbi na Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, wakati akiwa katika ziara yake ya Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga jana,…

GLOBAL

MISHEMISHE ZA KAMERA YA GLOBAL JIJINI DAR

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:48pm 2 Comments

Mshambuliaji wa Bunge FC, Adam Malima, akikokota mpira kabla ya kupiga bao lililomshinda kipa wa Twiga Stars, Fatuma Omary.

Wanenguaji wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ wakikamua kwenye onyesho lililofanyika Mzalendo Pub, jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo.

Mdau wa muziki wa dansi nchini, Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’, akiwa na mtoto mzuri aliyedai…

GLOBAL

MHE. JOHN MNYIKA ASITISHA SHUGHULI ZA BUNGE, AUNGANA NA MADAKTARI

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 2:28pm 7 Comments

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Mhe. John Mnyika.

Mgomo wa madaktari unaoendelea hivi sasa umedhihirisha kwamba tuna serikali dhaifu yenye ombwe la uongozi. Haiwezekani wananchi wakawa wanakufa kwa kukosa matibabu stahiki na wengine wakipata madhara kutokana na kuchelewa kupata matibabu sababu ya mgomo wa madaktari halafu viongozi wenye dhamana hawachukui hatua sahihi.

Rais Jakaya Kikwete ambaye ndiye mwenye dhamana kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 33 ndiye kiongozi wa shughuli za serikali na ibara ya 35 shughuli zote za utendaji wa serikali zinatekelezwa na watumishi wa serikali kwa niaba ya Rais; ameondoka kwenda nje ya nchi mgomo ulipoanza na hakuna kauli yoyote mpaka sasa toka kwa Makamu wa Rais wala kwa Ikulu.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda badala ya kwenda…

GLOBAL

TAARIFA KUTOKA TFF LEO

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 1:10pm 1 Comment

GLOBAL

WAZEE WA NGWASUMA WAENEZA MARAHA DAR LIVE MBAGALA

Posted by GLOBAL on January 27, 2012 at 12:00pm 2 Comments

Wanamuziki wa bendi hiyo Mule Mule (kushoto) na Jose Muzungu wakiimba.

Nyoshi El Sadat (kulia) akiimba na mnenguaji wa bendi hiyo, Queen Suzy.

Rapa wa bendi hiyo Kitokololo akionyesha akiwa kazini.…

Forum

Gysper

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Gysper Dec 13, 2011. 19 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kulikoni Ughaibuni

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by lucas mgaya Jan 2. 5 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Sebastian Salatiel Shemhilu

HIVI KWELI VIONGOZI WETU WANA UCHUNGU NA WANANCHI WANAOSAFIRI KUPITIA RELI YA KATI?

Started by Sebastian Salatiel Shemhilu in Siasa. Last reply by kaka Dec 24, 2011. 7 Replies

Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari kupitia television ya Taifa niliona kitu cha ajabu,pale nilipoona mpaka watoto wanahojiwa taabu wanayopata kupitia kukwama kwa safari yao kwa njia ya treni kwa mvua zinazoenelea kunyesha sasa,daraja la treni…

Fadhili Hezekiah

Viongozi Tanzania ni WANASIASA ua WAPIGAPOROJO?

Started by Fadhili Hezekiah in Siasa. Last reply by Revocatus Revelian Dec 27, 2011. 27 Replies

Tanzania hakuna wanasiasa,wote njaa tu na ulevi wa sifa ndo vinawasumbua! mwanasiasa ni mtu wa kuona mbali,sasa wenzangu na mimi wanataka kuingia madarakani au wapo madarakani kwa visera vyao vya miaka mitano mitano,tutafika wapi. Vi-sera vyao…

Bena Mushi

DOWANS

Started by Bena Mushi in Siasa. Last reply by Mushi Isaac Jun 13, 2011. 5 Replies

Swala la Dowans bado ni kitendawili. Je Ilipwe au isilipwe?

saleh mohamed

matokeo ya form 4

Started by saleh mohamed in Habari. Last reply by Alfred uisso Nov 23, 2011. 4 Replies

hivi mnaonaje wadau kuh matokeo ya form 4?je ni nani wa kulaumiwa kati ya wizara necta au wanafunzi?

VICKY WILSON

BONGO MOVIES SUBTITLES

Started by VICKY WILSON in Burudani. Last reply by Halifa Rama Nov 20, 2011. 6 Replies

Jamani watanzania wenzangu, katika suala zima la movie zetu za nyumbani subtitles za kingereza imekuwa tatizo sana kiukweli!!!!!! najiuliza inakuwaje movie imeandikwa majina kibao, utakuta producer, cjui editor, script writer, nk. ina maana wote hao…

Videos

  • Add Videos
  • View All

Advertisement

 
 
 

ADVERTISEMENT

TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

Profile Icon
Profile Icon
ALEIN ERICK OMARI commented on Dongonyo Juniour's photo
akili zake hazijatimia huyo  
1 hour ago
Profile Icon
kumekucha na makucha yakee!
Status posted by haji shehe (ustadh 2 hours ago
Profile Icon
Matilanga Lukingita commented on kadama J'z's photo
Kadama nipe namba yake mi nikafanye utafiti na kuwaondoa mashaka wadau. Uuuuwiiiiii !! hii kitu si…
3 hours ago
Profile Icon
kadama J'z commented on kadama J'z's photo
@ babjoga kila siku wana yaona kwenye TV kwanini wasi yajue
3 hours ago
Profile Icon
sammy updated their profile 3 hours ago
Profile Icon
kadama J'z commented on kadama J'z's photo
hahaa @ gervas angalia hayafai haya shauri zako @ babjoga angalia usije ukalia wewe @ miwani hilo…
3 hours ago
Profile Icon
kadama J'z commented on kadama J'z's photo
hahaa@ lumi, abbygirl,furaha & hadija acheni woga bana hao hatawakiingia ndani hawana issue…
3 hours ago
Profile Icon
Martha Jacob MJ's liked GLOBAL's blog post 'WEMA: DIAMOND ANA NUKSI' 4 hours ago
Profile Icon
bwire raphael updated their profile 5 hours ago
Profile Icon
13 blog posts by GLOBAL were featured 5 hours ago
Profile Icon
Mawazo Katota commented on GLOBAL's blog post 'Kivazi cha nusu utupu chamtia aibu Mona ukumbini'
Kaona ana miss headlines za udaku ameamua bora kulazimisha kidizaini. Hana haya wala hajui vibaya.…
5 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service