Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:44pm 0 Comments 0 Likes
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Zitto Kabwe akiongelea kuhusu Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini 2013 litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Julai 7 mwaka huu.
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 5:30pm 0 Comments 0 Likes
Our Tanzania representative for 2013 Big Brother Africa 8 The Chase "Nando" is up for eviction this weekend
To save him from being evicted please do vote for him:
* Sms - name Nando to 15456
* Website go to www.bigbrotherafrica.com/a>;http://www.bigbrotherafrica.com>; and login in your details. Then select VOTE & WIN icon which will give you names of nominated…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43pm 0 Comments 0 Likes
Jeshi la polisi nchini limewaachilia kwa dhamana viongozi wa Chadema na wananchi wote waliokuwa wanashikiliwa na limemtaka mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe kuwasilisha ushahidi wa mtu aliyelipua bomu kwenye mkutano kwa Mh. Rais kama hana imani na jeshi la polisi.
(VIDEO: ITV)
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 2:30pm 3 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 9 Comments 0 Likes
Richard Bukos na Issa Mnally
KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.
Mwanamke huyo akila kichapo kutoka kwa waumini.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu majira ya usiku jirani na msikiti huo uliopo nyuma ya Corner Bar, Kijitonyama jijini Dar ambapo mwanamke huyo na…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 11 Comments 1 Like
Na Dustan Shekidele, Morogoro
MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.
Mrembo Saphina Chumba akiwa jukwaani na vazi lililomtia matatani.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa akiwania kuvaa taji la…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 8 Comments 0 Likes
Na Waandishi Wetu
MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwili wa marehemu Langa Kileo.
MAAJABU
Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa aitwaye Chris Ruhuza a.k.a 'Ngeleja' aliinama na kuushika mwili wake…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am 8 Comments 0 Likes
Na Sifae Paul
MTANGAZAJI mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’ ameponea chupuchupu kuuawa baada ya kutishiwa kwa bastola.
Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala Kwa Kopa, Dar alfajiri ya Jumatatu wiki hii.
Ilikuwaje?
Baada ya kutonywa mkasa huo, gazeti hili liliwasiliana na Hando ambaye siku hiyo alishindwa kutokea kwenye kipindi chake cha Power Breakfast na alielezea kisa kizima.…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43am 6 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.
Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.
Katika akaunti hiyo yenye jina la Ommy Dimpoz- Omary Faraji, mwishoni mwa wiki iliyopita ilijaa matusi na maneno makali yakimnanga jamaa huyo kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwenye Tuzo za…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 2 Comments 0 Likes
Na Saleh Ally
YANGA sasa wameula, hasa kama watakuwa kweli wanataka mambo yabadilike baada ya bilionea wa Ivory Coast aliyesaidia kukua kwa kipaji cha Gervais Lombe Yao, maarufu kama Gervinho, kusema yupo tayari kuwapa kipa au wachezaji wengine nyota.
Pamoja na Yanga, bilionea huyo, Aziz Alibhai, mwenye asili ya Tanzania, amesema pia yupo tayari kuwatoa wachezaji wake kwa mkopo au kwa makubaliano tofauti ili kusaidia timu za Tanzania.
“Nina kipa anaitwa Badra Ali (Sangare),…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
Matilanga Lukingita |
| 3 |
hope |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
julius manning |
| 7 |
NDAUKA the GREAT |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
cownapher28 |
| 10 |
mayalilwa |
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies 0 Likes
Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 1 Like
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 10 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 5 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
nellicy maluli commented on GLOBAL's blog post TAARIFA YA MSIBA: MWANDISHI CHARLES HILILA AFARIKI DUNIA© 2013 Created by Global Publishers.




