Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
Added by Global Publishers 3 Comments 0 Likes
Added by GLOBAL 0 Comments 3 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 6:00pm 0 Comments 0 Likes
Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Grace Rubambey (katikati) akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya ugonjwa wa Sikoseli Duniani jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mfuko huo, Dk Julie Makani, Balozi wa Canada nchini, Alexandre Leveque na mmoja wa watu wanoishi na ugonjwa huo, Arafa Salim Said.
Balozi wa Canada nchini, Alexandre Leveque (katikati) akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya ugonjwa wa Sikoseli Duniani…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 6:43pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 5:30pm 0 Comments 0 Likes
Our Tanzania representative for 2013 Big Brother Africa 8 The Chase "Nando" is up for eviction this weekend
To save him from being evicted please do vote for him:
* Sms - name Nando to 15456
* Website go to www.bigbrotherafrica.com/a>;http://www.bigbrotherafrica.com>; and login in your details. Then select VOTE & WIN icon which will give you names of nominated…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:30pm 2 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 4:30pm 1 Comment 0 Likes
Hivi ndivyo mlipuko wa bomu ulivyokatisha maisha ya Watanzania waliokuwa katika mkutano wa Chadema Juni 15 mwaka huu,kwenye Uwanja wa Soweto Kata ya Kaloteni jijini Arusha.
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 2:30pm 3 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 1:00pm 4 Comments 0 Likes
UKIACHANA na mapambano yatakayopigwa kuwania Ngao ya Amani Afrika Mashariki kati ya Wakenya, Patrick Amote na Shadrack Muchanje na Watanzania, Thomas Mashali na Francis Miyeyusho, ushindani mkali unatarajiwa kuoneshwa na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya wasanii wa filamu ambapo wote wameanza kujifua kwa mazoezi.
Mhe. Ester Bulaya akijifua kumkabili Aunt Ezekiel.
Mratibu wa tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Julai 7, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini…

Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 12:10pm 2 Comments 0 Likes
Posted by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am 6 Comments 0 Likes
Na Waandishi Wetu
MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwili wa marehemu Langa Kileo.
MAAJABU
Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa ambaye hakufahamika jina lake, aliinama na kuushika mwili wake uliokuwa…

| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
Matilanga Lukingita |
| 3 |
hope |
| 4 |
Tatu Majaliwa |
| 5 |
LJH_3 |
| 6 |
NDAUKA the GREAT |
| 7 |
julius manning |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
cownapher28 |
| 10 |
mayalilwa |
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies 0 Likes
Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 1 Like
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 10 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 5 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post HIVI NDIVYO MLIPUKO WA BOMU ULIVYOUA WATU JIJINI ARUSHA (VIDEO)
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post SAIDA KAROLI: NIPO HAI, HAKUNA CHOCHOTE KILICHOTOKEA (MSIKILIZE)
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post GERALD HANDO NUSURA AUAWE
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post MAAJABU MAZISHI YA LANGA
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post USIKU WA MATUMAINI 2013: MABONDIA WABUNGE WAJIFUA© 2013 Created by Global Publishers.




